Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Jan 19, 2018 00:44

    Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa kuunga mkono Quds uliofanyika katika Chuo Kikuu cha al-Azhar huko Cairo Misri umesisitiza umuhimu wa kutangazwa Baytul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

  • Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Russia: Habari kwamba tunataka kufungua kambi za kijeshi Libya na Misri ni uongo

    Jan 13, 2018 10:32

    Mkuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Baraza la Shirikisho la Russia amesema kuwa, serikali ya Moscow, haina nia yoyote ya kuanzisha kambi za kijeshi katika nchi za Misri na Libya.

  • Qatar: Iran ingelitaka ingeliweza kututesa kwa njaa

    Qatar: Iran ingelitaka ingeliweza kututesa kwa njaa

    Jan 11, 2018 12:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, lau ingelitaka, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ingeliweza kutumia tofauti zake za kisiasa na Doha kuwatesa kwa njaa wananchi wa Qatar, lakini kamwe haikufanya hivyo.

  • Misri yatangaza hali ya hatari kwa miezi mingine mitatu

    Misri yatangaza hali ya hatari kwa miezi mingine mitatu

    Jan 10, 2018 04:19

    Bunge la Misri limetangaza kurefusha muda wa hali ya hatari nchini humo kwa miezi mitatu mingine ambao ulianza kutekelezwa mwezi Aprili mwaka jana baada ya kujiri mashambulizi makubwa katika makanisa ya Wakristo wa Kikopti nchini humo.

  • Iran na Misri zatoa wito wa kuendelea kuungwa mkono Palestina

    Iran na Misri zatoa wito wa kuendelea kuungwa mkono Palestina

    Jan 09, 2018 12:28

    Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuendelea kuungwa mkono kadhia ya Palestina.

  • Sudan yaishitaki Misri UNSC kuhusiana na eneo la Hala'ib, mzozo watokota

    Sudan yaishitaki Misri UNSC kuhusiana na eneo la Hala'ib, mzozo watokota

    Jan 09, 2018 04:16

    Serikali ya Sudan kwa mara nyingine imewasilisha mashitaka yake dhidi ya Misri katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa baada ya Cairo kudhibiti eneo la Hala'ib linalozozaniwa.

  • Magaidi kadhaa waangamizwa al Arish, Misri

    Magaidi kadhaa waangamizwa al Arish, Misri

    Jan 08, 2018 12:12

    Duru za kiusalama za Misri zimetangaza habari ya kuuawa magaidi kadhaa katika opereseheni iliyofanywa na jeshi la nchi hiyo mashariki mwa mji wa al Arish, makao makuu wa jimbo la Sinai Kaskazini.

  • Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuharibika; Khartoum yamwita nyumbani balozi wake

    Uhusiano wa Sudan na Misri wazidi kuharibika; Khartoum yamwita nyumbani balozi wake

    Jan 05, 2018 00:52

    Uhusiano wa Sudan na Misri umezidi kuharibika baada ya serikali ya Khartoum kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Cairo Misri.

  • Misri yawanyonga washukiwa wengine wanne wa ugaidi

    Misri yawanyonga washukiwa wengine wanne wa ugaidi

    Jan 02, 2018 10:53

    Mamlaka ya Magereza ya Misri imetekeleza hukumu ya kuwanyonga watu watano wakiwemo wanne waliopatikana na hatia ya kutekeleza mashambulizi ya bomu yalioua maafisa usalama miaka miwili iliyopita.

  • Mursi aendelea kuandamwa na vifungo, ahukumiwa miaka mitatu mingine jela

    Mursi aendelea kuandamwa na vifungo, ahukumiwa miaka mitatu mingine jela

    Dec 30, 2017 11:20

    Rais aliyeuzuliwa madarakani wa Misri, Muhammad Mursi amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa tuhuma za kuvivunjia heshima vyombo vya mahakama vya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS