Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Iran yazitaka nchi za Waislamu kuunganisha nguvu zao kukabiliana na Israel

    Iran yazitaka nchi za Waislamu kuunganisha nguvu zao kukabiliana na Israel

    Jun 07, 2024 06:20

    Katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitizia ulazima wa kuunganishwa nguvu za nchi za Waislamu katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni.

  • Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi  Ebrahim Raisi na wenzake

    Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi Ebrahim Raisi na wenzake

    May 21, 2024 12:26

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za rambirambi kwa familia za shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wenzake aliokuwa amefuatana nao na kutoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran.

  • Misri: Gaza imefikia katika ukingo wa njaa

    Misri: Gaza imefikia katika ukingo wa njaa

    May 21, 2024 12:02

    Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Matiafa amesema kuwa hali ya mambo katika Ukanda wa Gaza imefikia katika ukingo wa njaa.

  • Misri yaungana na Afrika Kusini katika mashtaka dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Misri yaungana na Afrika Kusini katika mashtaka dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 13, 2024 06:24

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuungana na mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaofanya mauaji katika Ukanda wa Gaza.

  • Misri: Jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya Israel katika mji wa Rafah

    Misri: Jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya Israel katika mji wa Rafah

    May 08, 2024 11:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza. Sameh Shukry ameeleza haya katika mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa Ufaransa katika Masuala ya Lebanon.

  • Ujumbe wa Hamas umeondoka Cairo kwa ajili ya mashauriano zaidi

    Ujumbe wa Hamas umeondoka Cairo kwa ajili ya mashauriano zaidi

    Apr 30, 2024 11:12

    Ujumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) umeondoka Cairo, mji mkuu wa Misri ili kufanya mashauriano zaidi kuhusu pendekezo jipya lililotolewa kwa ajili ya kubadilishana mateka.

  • Ufaransa, Misri na Jordan zapinga shambulio la Rafah na kuunga mkono usitishaji vita Gaza

    Ufaransa, Misri na Jordan zapinga shambulio la Rafah na kuunga mkono usitishaji vita Gaza

    Apr 01, 2024 02:17

    Mkutano wa pande tatu wa mawaziri wa mambo ya nje wa Misri, Jordan na Ufaransa ulifanyika Jumamosi Cairo, mji mkuu wa Misri, kuhusiana na matukio ya hivi karibuni katika vita vya Gaza na mashauriano ya kusitisha mapigano hayo.

  • Misri: Operesheni ya kijeshi ya Israel huko Rafah itakuwa na matokeo mabaya

    Misri: Operesheni ya kijeshi ya Israel huko Rafah itakuwa na matokeo mabaya

    Mar 19, 2024 02:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema Marekani inapasa kuileza wazi Israel kuhusu taathira hasi na matokeo mabaya ya utawala wa Kizayuni kuushambulia kijeshi mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Jumatatu tarehe 18 Machi 2024

    Jumatatu tarehe 18 Machi 2024

    Mar 18, 2024 02:32

    Leo ni Jumatatu tarehe 7 Ramadhani 1445 Hijria inayosadifiana na tarehe 18 Machi 2024.

  • Mahakama ya Misri yamhukumu kifo kiongozi wa Ikhwanul Muslimin na wenzake 7

    Mahakama ya Misri yamhukumu kifo kiongozi wa Ikhwanul Muslimin na wenzake 7

    Mar 05, 2024 07:40

    Mahakama ya Misri imemhukumu kifo kiongozi wa chama cha Ikwanul Muslimin (Muslim Brotherhood), Mohamed Badie, na viongozi wengine saba wa harakati hiyo baada ya kuwatia hatiani kwa eti kupanga vitendo vya ukatili kwa "madhumuni ya kigaidi" wakati wa mgomo wa Cairo mwaka 2013.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS