Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Bagheri Kani: Iran itatoa jibu madhubuti kwa ugaidi wa Israel

    Bagheri Kani: Iran itatoa jibu madhubuti kwa ugaidi wa Israel

    Aug 07, 2024 07:06

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema utawala wa Israel ndio chanzo halisi cha ukosefu wa utulivu katika eneo la Asia Magharibi, na kwamba utawala huo wa Kizayuni unapata ujasiri wa kutenda jinai na vitendo vyake vya kigaidi kutokana na kimya cha nchi za Ulaya.

  • Makundi ya kisiasa Sudan yakataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo

    Makundi ya kisiasa Sudan yakataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo

    Jul 08, 2024 07:07

    Mkutano wa makundi ya kisiasa na kiraia ya Sudan ulimalizika jana mjini Cairo, Misri ambapo vyama vya Sudan vilijadili njia za kutatua mgogoro wa ndani wa nchi hiyo, huku baadhi ya makundi yakikataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo.

  • Misri yaikosoa Israel kwa kuiba misaada ya kibinadamu ya Wapalestina

    Misri yaikosoa Israel kwa kuiba misaada ya kibinadamu ya Wapalestina

    Jun 27, 2024 02:59

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Misri amekosoa hatua ya utawala haramu wa Israel ya kupora na kuzuia kuingizwa na kusambazwa misaada ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza, kupitia kivuko cha Rafah.

  • Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Ijumaa, 14 Juni, 2024

    Jun 14, 2024 02:13

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria mwafaka na tarehe 14 Juni 2024 Miladia.

  • Jumatano, 12 Juni 2024

    Jumatano, 12 Juni 2024

    Jun 12, 2024 02:37

    Leo ni Jumatano tarehe 5 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 12 Juni 2024 Miladia.

  • Iran yazitaka nchi za Waislamu kuunganisha nguvu zao kukabiliana na Israel

    Iran yazitaka nchi za Waislamu kuunganisha nguvu zao kukabiliana na Israel

    Jun 07, 2024 06:20

    Katika mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitizia ulazima wa kuunganishwa nguvu za nchi za Waislamu katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni.

  • Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi  Ebrahim Raisi na wenzake

    Katibu Mkuu wa UN atuma rambirambi kufuatia kufa shahidi Ebrahim Raisi na wenzake

    May 21, 2024 12:26

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametuma salamu za rambirambi kwa familia za shahidi Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wenzake aliokuwa amefuatana nao na kutoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran.

  • Misri: Gaza imefikia katika ukingo wa njaa

    Misri: Gaza imefikia katika ukingo wa njaa

    May 21, 2024 12:02

    Mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Matiafa amesema kuwa hali ya mambo katika Ukanda wa Gaza imefikia katika ukingo wa njaa.

  • Misri yaungana na Afrika Kusini katika mashtaka dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    Misri yaungana na Afrika Kusini katika mashtaka dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel

    May 13, 2024 06:24

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuungana na mashtaka ya Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaofanya mauaji katika Ukanda wa Gaza.

  • Misri: Jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya Israel katika mji wa Rafah

    Misri: Jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya Israel katika mji wa Rafah

    May 08, 2024 11:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa jamii ya kimataifa imeshindwa kuzuia mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza. Sameh Shukry ameeleza haya katika mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa Ufaransa katika Masuala ya Lebanon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS