Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Misri yatishia kusimamisha Mkataba wa Camp David endapo Israel itashambulia Rafah

    Misri yatishia kusimamisha Mkataba wa Camp David endapo Israel itashambulia Rafah

    Feb 12, 2024 10:19

    Misri imetishia kusitisha mkataba wa amani wa Camp David iliosaini na utawala wa Kizayuni wa Israel iwapo wanajeshi wa utawala huo ghasibu watapelekwa katika mji wa mpakani wa Gaza uliofurika watu wa Rafah na kusema mapigano huko yanaweza kulazimisha kufungwa kwa njia kuu ya kusambazia misaada katika eneo hilo.

  • Misri yaionya Israel kutoudhibiti Ukanda wa Philadelphi kwenye mpaka wa Palestina

    Misri yaionya Israel kutoudhibiti Ukanda wa Philadelphi kwenye mpaka wa Palestina

    Jan 23, 2024 05:34

    Misri imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba jaribio lolote la kuikalia kwa mabavu sehemu ya ardhi inayotenganisha eneo la Wapalestina lililozingirwa la Ukanda wa Gaza na Misri, linalojulikana kama Korido ya Philadelphi, litakuwa ni "tishio kubwa" kwa uhusiano kati ya pande hizo mbili.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuitembelea Misri karibuni

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuitembelea Misri karibuni

    Jan 22, 2024 12:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Hossein Amir-Abdollahian anataziwa kuitembelea Misri ndani ya siku chache zijazo, huku utawala wa Kizayuni ukiingiwa na kiwewe kutokana na kuendelea kuimarika uhusiano wa Tehran na Cairo.

  • "Iran na Misri kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia karibuni"

    Dec 30, 2023 12:09

    Afisa wa ngazi za juu wa Misri amesema nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na Iran zinatazamiwa kufufua kikamilifu uhusiano wa pande mbili wa kidiplomasia, na hata kubadilishana mabalozi.

  • Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Dec 28, 2023 09:31

    Karibuni wasikilizaji wapendwa wa Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran katika kipindi chetu cha makala ya wiki ambapo tutatupia jicho ongezeko la watumiaji wa intaneti duniani mwaka 2023.  

  • Mazungumzo ya kwanza ya simu baina ya Marais wa Iran na Misri; hatua ya kukuza uhusiano

    Mazungumzo ya kwanza ya simu baina ya Marais wa Iran na Misri; hatua ya kukuza uhusiano

    Dec 24, 2023 08:14

    Jana Jumamosi, Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alizungumza kwa simu na Rais Abdel Fattah El Sisi wa Misri, ikiwa ni mara ya kwanza kwa marais wa nchi hizi mbili kuzungumza kwa simu na ikiwa ni katika sehemu ya juhudi za kufufua uhusiano wa pande mbili.

  • Marais wa Iran na Misri wahimiza kustawishwa uhusino wa nchi mbili katika nyuga zote

    Marais wa Iran na Misri wahimiza kustawishwa uhusino wa nchi mbili katika nyuga zote

    Dec 24, 2023 02:38

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa simu na rais mwenzake wa Misri na kutilia mkazo udharura wa kustawishwa uhusiano wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.

  • Leo ni Ijumaa, tarehe 22 Disemba, 2023

    Leo ni Ijumaa, tarehe 22 Disemba, 2023

    Dec 22, 2023 02:29

    Leo ni Ijumaa tarehe 8 Mfunguo Tisa Jumadithani 1445 Hijria sawa na tarehe 23 Disemba 2023.

  • Misri: Mazungumzo na Bwawa la Renaissance yamefeli

    Misri: Mazungumzo na Bwawa la Renaissance yamefeli

    Dec 20, 2023 06:20

    Misri imetangaza kwamba mazungumzo kuhusu Bwawa la Renaissance nchini Ethiopia yamemalizika bila mafanikio, na imeishutumu Addis Ababa kuwa imekataa masuluhisho yote yaliyopendekezwa kwa ajili ya kutatua mzozo wa ujenzi wa bwawa bilo juu ya maji ya Mto Nile.

  • Jumatatu, 18 Disemba, 2023

    Jumatatu, 18 Disemba, 2023

    Dec 18, 2023 04:24

    Leo ni Jumatatu tarehe 4 Jamadithani 1445 Hijria sawa na tarehe 18 Disemba 2023.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS