-
Misri: Israel inazuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza
Nov 14, 2023 12:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa nchi hiyo haijafunga kivuko cha Rafah, lakini utawala wa Kizayuni wa Israel unazuia misaada kuingia Gaza.
-
Sheikh Al-Azhar wa Misri asisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina
Nov 11, 2023 06:12Sheikh wa Chuo Kikuu cha Al Azhar cha Misri amesisitiza juu ya ulazima wa kukomeshwa jinai na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.
-
Misri yapinga mpango wa kuindoa Hamas mamlakani Gaza
Nov 09, 2023 13:32Serikali ya Misri imeripotiwa kukataa pendekezo la Marekani la kutwaa kwa muda mamlaka katika Ukanda wa Gaza, ikisisitiza kuwa Cairo haitakuwa na nafasi yoyote katika kuondolewa madarakani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Wataalamu wailaumu vikali Misri kwa msimamo dhaifu mbele ya jinai za Israel huko Ghaza
Oct 28, 2023 14:32Wataalamu na wachambuzi mbalimbali wameendelea kutoa lawama kali dhidi ya serikali ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri kwa msimamo dhaifu inaoonesha mbele ya jinai za kuchumpa mipaka zinazofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Ghaza.
-
Viongozi wa nchi za Kiarabu walaani mashambulizi ya Israel huko Gaza, wahimiza juhudi mpya za amani Palestina
Oct 22, 2023 03:20Viongozi wa nchi za Kiarabu wametoa wito wa kuanzishwa upya juhudi za amani kati ya Israel na Palestina ili kukomesha uvamizi wa Israel na kutatua mzozo unoendelea kwa miongo kadhaa kati ya pande hizo mbili, huku utawala haramu Israel ukiendeleza mashambulizi ya kikatili dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.
-
Maandamano dhidi ya Wazayuni yashtadi, Israel yafunga balozi zake Rabat, Cairo
Oct 20, 2023 02:58Maandamano yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi mbalimbali duniani kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, yameilazimisha Tel Aviv kuwahimisha wafanyakazi wa balozi zake katika nchi za Misri na Morocco.
-
Al Azhar yawataka Waislamu kukabiliana na adui Mzayuni
Oct 18, 2023 06:16Chuo Kikuu cha Al Azhar cha nchini MIsri kimewataka Waislamu duniani kote kukabiliana kwa uwezo na nguvu zote na jinai za utawala wa Kizayuni.
-
Watalii kadhaa wa utawala wa Kizayuni wauawa Misri
Oct 08, 2023 12:53Watalii kadhaa wa utawala wa Kizayuni wameuliwa kwa kupigwa risasi huko Misri. Kwa mujibu wa Al Jazeera, duru moja ya usalama ya Misri imetangaza kuwa askari polisi wa nchi hiyo amewauwa kwa kuwapiga risasi watalii wawili wa Israel nchini humo. Polisi huyo wa Misri alitumia silaha yake binafsi kutekeleza mauaji hayo
-
Misri na Russia zasisitiza kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Oct 08, 2023 06:38Katika mazungumzo ya simu, Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Misri na Russia wamesisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa mara moja mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (82)
Oct 03, 2023 17:36Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu.