-
Mazungumzo ya kwanza ya simu baina ya Marais wa Iran na Misri; hatua ya kukuza uhusiano
Dec 24, 2023 08:14Jana Jumamosi, Sayyid Ebrahim Raisi, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alizungumza kwa simu na Rais Abdel Fattah El Sisi wa Misri, ikiwa ni mara ya kwanza kwa marais wa nchi hizi mbili kuzungumza kwa simu na ikiwa ni katika sehemu ya juhudi za kufufua uhusiano wa pande mbili.
-
Marais wa Iran na Misri wahimiza kustawishwa uhusino wa nchi mbili katika nyuga zote
Dec 24, 2023 02:38Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa simu na rais mwenzake wa Misri na kutilia mkazo udharura wa kustawishwa uhusiano wa nchi hizi mbili katika nyuga tofauti.
-
Leo ni Ijumaa, tarehe 22 Disemba, 2023
Dec 22, 2023 02:29Leo ni Ijumaa tarehe 8 Mfunguo Tisa Jumadithani 1445 Hijria sawa na tarehe 23 Disemba 2023.
-
Misri: Mazungumzo na Bwawa la Renaissance yamefeli
Dec 20, 2023 06:20Misri imetangaza kwamba mazungumzo kuhusu Bwawa la Renaissance nchini Ethiopia yamemalizika bila mafanikio, na imeishutumu Addis Ababa kuwa imekataa masuluhisho yote yaliyopendekezwa kwa ajili ya kutatua mzozo wa ujenzi wa bwawa bilo juu ya maji ya Mto Nile.
-
Jumatatu, 18 Disemba, 2023
Dec 18, 2023 04:24Leo ni Jumatatu tarehe 4 Jamadithani 1445 Hijria sawa na tarehe 18 Disemba 2023.
-
Misri: Israel inazuia misaada ya kibinadamu kuingia Gaza
Nov 14, 2023 12:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imetangaza kuwa nchi hiyo haijafunga kivuko cha Rafah, lakini utawala wa Kizayuni wa Israel unazuia misaada kuingia Gaza.
-
Sheikh Al-Azhar wa Misri asisitiza juu ya ulazima wa kusitishwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina
Nov 11, 2023 06:12Sheikh wa Chuo Kikuu cha Al Azhar cha Misri amesisitiza juu ya ulazima wa kukomeshwa jinai na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina.
-
Misri yapinga mpango wa kuindoa Hamas mamlakani Gaza
Nov 09, 2023 13:32Serikali ya Misri imeripotiwa kukataa pendekezo la Marekani la kutwaa kwa muda mamlaka katika Ukanda wa Gaza, ikisisitiza kuwa Cairo haitakuwa na nafasi yoyote katika kuondolewa madarakani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Wataalamu wailaumu vikali Misri kwa msimamo dhaifu mbele ya jinai za Israel huko Ghaza
Oct 28, 2023 14:32Wataalamu na wachambuzi mbalimbali wameendelea kutoa lawama kali dhidi ya serikali ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri kwa msimamo dhaifu inaoonesha mbele ya jinai za kuchumpa mipaka zinazofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Ghaza.
-
Viongozi wa nchi za Kiarabu walaani mashambulizi ya Israel huko Gaza, wahimiza juhudi mpya za amani Palestina
Oct 22, 2023 03:20Viongozi wa nchi za Kiarabu wametoa wito wa kuanzishwa upya juhudi za amani kati ya Israel na Palestina ili kukomesha uvamizi wa Israel na kutatua mzozo unoendelea kwa miongo kadhaa kati ya pande hizo mbili, huku utawala haramu Israel ukiendeleza mashambulizi ya kikatili dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza.