Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Mashabiki wa mpira wapiga nara za

    Mashabiki wa mpira wapiga nara za "Palestina Palestina" kwenye uwanja wa mpira Morocco

    Apr 28, 2022 02:45

    Nara ya "Palestina! Palestina!" imerindima katika uwanja wa mpira wa miguu kutoka kwa mashabiki wa mchezo huo nchini Morocco, nchi ambayo imetangaza uhusiano wa kawaida na Wazayuni kinyume na msimamo wa wananchi wa nchi hiyo.

  • Morocco yaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu wananchi wa Palestina

    Morocco yaendeleza siasa za kindumilakuwili kuhusu wananchi wa Palestina

    Apr 23, 2022 02:49

    Baada ya serikali ya kifalme ya Morocco kufanya usaliti dhidi ya kadhia ya Palestina ambayo ndiyo muhimu zaidi kwa Umma wa Kiislamu, na baada ya Rabbat kutangaza uhusiano wa kawaida na utawala pandikizi wa Kizayuni, hivi sasa nchi hiyo inajifanya kuguswa na jinai za Israel.

  • Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Apr 17, 2022 08:17

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Rabat kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, sanjari na kulaani kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kuuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa.

  • Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina

    Mar 31, 2022 10:30

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandamano mbele ya Bunge la nchi hiyo huko Rabat na katika miji mingine kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Ardhi na kuonyesha mshikamano wao kwa wananchi wa Palestina.

  • Mbunge: Ubeberu na uzayuni zinataka kuigawa Morocco katika maeneo matano madogo

    Mbunge: Ubeberu na uzayuni zinataka kuigawa Morocco katika maeneo matano madogo

    Mar 07, 2022 08:05

    Mwakilishi wa Bunge la Morocco amesema kuwa, ubeberu na uzayuni zinafanya njama za kuigawa nchi hiyo katika maeneo matano madogo.

  • Algiers: Morocco na Israel zinafanya fitina nchini Algeria

    Algiers: Morocco na Israel zinafanya fitina nchini Algeria

    Feb 17, 2022 08:03

    Rais wa Algeria amesema kuwa Israel na Morocco zinafanya njama ya kuibua hitilafu kati ya Ofisi ya Rais na Jeshi la Algeria na kuzusha fitna nchini humo.

  • Tahadhari iliyotolewa na Algeria kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kulidhibiti bara la Afrika

    Tahadhari iliyotolewa na Algeria kuhusu njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kulidhibiti bara la Afrika

    Dec 07, 2021 04:56

    Kwa muda mrefu sasa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umetumia sera na mbinu tofauti ili kujipenyeza na kuwa na satua katika nchi za Afrika, muhimu zaidi ikiwa ni ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na nchi za Kiarabu; sera ambayo imeweza kutekelezwa kivitendo katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita kwa msaada na uungaji mkono wa Marekani.

  • PLO yalaani makubaliano ya kijeshi ya Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel

    PLO yalaani makubaliano ya kijeshi ya Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 27, 2021 08:00

    Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) imelaani vikali makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa baina ya Morocco na utawala wa Kizayuni wa Israel na kueleza kuwa, mabaliano hayo ni zawadi kwa wavamizi.

  • Wanasheria Morocco wapinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Wanasheria Morocco wapinga chanjo ya lazima ya Covid-19

    Oct 24, 2021 15:13

    Muungano wa Mawakili nchini Morocco umepinga hatua ya serikali ya kuwalazimisha wananchi kupiga chanjo ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19.

  • Umoja wa Ulaya wafuta makubaliano yake ya biashara na Morocco

    Umoja wa Ulaya wafuta makubaliano yake ya biashara na Morocco

    Sep 30, 2021 06:26

    Mahakama Kuu ya Umoja wa Ulaya imefuta makubaliano ya biashara baina ya nchi za umoja huo na Morocco kutokana na mgogoro wa Polisario.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS