Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Muharram

  • Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Araqchi: Hatutasahau wala hatutasamehe mauaji ya Sayyidi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Jun 26, 2026 11:23

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran amesema katika ujumbe wake kwamba: "Kuuliwa shahidi Sayyid na kinara wa mashahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu hakutasahaulika wala hakutasamehewa."

  • Jumanne, 16 Juni, 2026

    Jumanne, 16 Juni, 2026

    Jun 17, 2026 02:46

    Leo ni Jumanne tarehe Mosi Mfunguo Nne Muharram 1448 Hijria mwafaka na 16 Juni 2026.

  • Shughuli ya kumuaga Imam Khamenei kufanyika baada ya siku kumi za kwanza za Muharram

    Shughuli ya kumuaga Imam Khamenei kufanyika baada ya siku kumi za kwanza za Muharram

    Jun 10, 2026 03:47

    Makao makuu ya taasisi yanayosimamia shughuli za kumuenzi shahidi Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, yametangaza kuwa shughuli ya kumuaga na mazishi ya Shahidi huyo yatafanyika baada ya siku 10 za mwanzo za mwezi wa Muharram.

  • Iran yawatia mbaroni wanachama wa ISIS waliotaka kushambulia maombolezo ya Muharram

    Iran yawatia mbaroni wanachama wa ISIS waliotaka kushambulia maombolezo ya Muharram

    Aug 04, 2022 20:45

    Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni wanachama kumi wenye mfungamano na Wazayuni wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS (Daesh).

  • Kikao cha Moscow cha maulamaa wa Kishia na Kisuni chatilia mkazo umoja na mshikamano

    Kikao cha Moscow cha maulamaa wa Kishia na Kisuni chatilia mkazo umoja na mshikamano

    Jul 27, 2022 03:34

    Sambamba na kukaribia mwezi wa Muharram, maulamaa na mashekhe wa madhehebu za Suni na Shia wamefanya mkutano wa pamoja katika kituo cha Kiislamu mjini Moscow Russia wakisisitiza juu ya kuwepo umoja baina ya Waislamu na kujiepusha na mifarakano.

  • Kufa shahidi Hadhrat Ruqayyah binti Hussein (as)

    Kufa shahidi Hadhrat Ruqayyah binti Hussein (as)

    Oct 15, 2019 07:34

    Tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria ilitokea hamasa na mapambano makubwa yatakayobakia hai katika historia ya mwanadamu. 

  • Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Oct 14, 2019 10:50

    Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.

  • Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Sajjad AS + Sauti

    Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Sajjad AS + Sauti

    Sep 11, 2019 02:46

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika dakika hizi ambazo ndani yake tutazungumzia kuuawa shahidi Imam Ali bnil Husain Zaynul Abidin AS. Karibuni. ******

  • Jumamosi, Septemba 22, 2018

    Jumamosi, Septemba 22, 2018

    Sep 21, 2018 23:33

    Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 22 Septemba 2018 Miladia.

  • Ijumaa, Septemba 14, 2018

    Ijumaa, Septemba 14, 2018

    Sep 13, 2018 21:55

    Leo ni Ijumaa tarehe 4 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 14, mwaka 2018 Milaadia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS