-
Iran yawatia mbaroni wanachama wa ISIS waliotaka kushambulia maombolezo ya Muharram
Aug 05, 2022 01:15Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni wanachama kumi wenye mfungamano na Wazayuni wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS (Daesh).
-
Kikao cha Moscow cha maulamaa wa Kishia na Kisuni chatilia mkazo umoja na mshikamano
Jul 27, 2022 08:04Sambamba na kukaribia mwezi wa Muharram, maulamaa na mashekhe wa madhehebu za Suni na Shia wamefanya mkutano wa pamoja katika kituo cha Kiislamu mjini Moscow Russia wakisisitiza juu ya kuwepo umoja baina ya Waislamu na kujiepusha na mifarakano.
-
Kufa shahidi Hadhrat Ruqayyah binti Hussein (as)
Oct 15, 2019 11:04Tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria ilitokea hamasa na mapambano makubwa yatakayobakia hai katika historia ya mwanadamu.
-
Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video
Oct 14, 2019 14:20Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.
-
Kwa mnasaba wa kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Sajjad AS + Sauti
Sep 11, 2019 07:16Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika dakika hizi ambazo ndani yake tutazungumzia kuuawa shahidi Imam Ali bnil Husain Zaynul Abidin AS. Karibuni. ******
-
Jumamosi, Septemba 22, 2018
Sep 22, 2018 03:03Leo ni Jumamosi tarehe 12 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 22 Septemba 2018 Miladia.
-
Ijumaa, Septemba 14, 2018
Sep 14, 2018 02:25Leo ni Ijumaa tarehe 4 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 14, mwaka 2018 Milaadia.
-
Arubaini ya Imam Husain AS katika Picha
Nov 05, 2017 10:54Waislamu kutoka kona mbalimbali za dunia wanazidi kumiminika Karbala kwa ajili ya Arubaini ya Imam Husain AS.
-
Arubaini ya Imam Hussein AS kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Nov 03, 2017 06:24Assalam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuhu. Karibuni kujiunga nasi katika makala hii inayowajieni kwa munasaba wa siku hizi za Arubaini ya Imam Hussein AS. Makala yetu ya leo itaangazia siri hii kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei. Karibuni kujiunga nami hadi mwisho.
-
Al-Kaaba na Imam Hussein (as)
Sep 24, 2017 12:29Kaaba ni jina kongwe, tukufu na linalovutia zaidi la nyumba ya ibada ya Mwenyezi Mungu ambayo inapatikana katika mji mtakatifu wa Makka na katika ardhi ya Hijaz.