-
Ali Akbar Velayati: Iran itasimama imara kukabiliana na njama chafu za maadui za kuzigawa nchi za Asia Magharibi
Dec 28, 2019 12:13Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa Iran inapinga aina yoyote ya uingiliaji wa kigeni katika masuala ya nchi za eneo la Asia Magharibi, kama ambavyo itasimama imara kukabiliana na dhulma, njama, uvamizi na ajenda chafu za maadui kwa ajili ya kuzidhoofisha na kuzigawa nchi za eneo.
-
Hamas: Silaha za muqawama ndizo pekee zinazoitia hofu Israel
Nov 18, 2019 02:33Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, silaha za muqawama ndizo pekee zinazodhamini usalama wa taifa la Palestina na kuilazimisha Israel ibaki kwenye makubaliano ya kusimamisha vita.
-
Makundi ya muqawama Palestina yaonya kuhusu hatua za Israel dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa
Oct 21, 2019 12:27Makundi ya wanamuqawama wa Palestina yametoa onyo kwa hatua za utawala haramu wa Israel dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Jihad Islami: Mapambano ndio njia pekee ya kuikomboa Palestina
Oct 06, 2019 11:50Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina amesema: "Mapambano na muqawama ndio njia pekee ya kuikomboa Palestina na Wapalestina ni mhimili mkuu wa mapambano hayo."
-
Salami: Stratijia ya muqawama imepelekea adui akose irada
Oct 01, 2019 02:48Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema stratijia ya muqawama au mapambano ya Kiislamu imepelekea adui adorore na akose irada. Ameongeza kuwa, hivi sasa maadui wameanza kudidimia kwa namna ambayo hawawezi kupata nguvu tena na hifadhi zao za kistratijia zinaelekea kumalizika.
-
Hizbullah: Muqawama una haki ya kujibu uchokozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 27, 2019 12:25Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, ni haki ya wanamapambano na wanamuqawama kutoa jibu dhidi ya uchokozi wa aina yoyote ile wa adui Mzayuni.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Vita vyovyote dhidi ya Iran vina maana ya kufutwa Israel katika uso wa dunia
Sep 10, 2019 12:41Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema mbele ya mjumuiko mkubwa wa Waislamu waliofurika kwa ajili ya maombolezo ya Siku ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Husain AS kwamba, vita vyovyote vile dhidi ya Iran vitakuwa na maana ya kuangamizwa na kufutwa katika uso wa dunia, dola pandikizi la Israel.
-
Tahadhari ya Batalioni za Hizbullah ya Iraq kwa Marekani
Aug 24, 2019 02:40Batalioni za Hizbullah ya Iraq zimetoa taarifa zikiitahadharisha Marekani kuhusiana na kuendeleza mashambulizi dhidi ya kambi na vituo vya harakati ya wananchi ya nchi hiyo ya al Hashdu al Shaabi.
-
Hizbullah: Marekani haijapata natija yoyote katika mapambano yake dhidi ya muqawama
Jul 28, 2019 04:26Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji katika Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba mashinikizo ya kiuchumi ya Marekani dhidi ya muqawama, yalikuwa na lengo la kufanya muqawama huo uachane na majukumu yake ya kuilinda Lebanon.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Jihadi ya Ujenzi ni sehemu ya muqawama
Jul 27, 2019 07:17Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amesema kuwa Jihad ya Ujenzi ni moja ya taasisi kongwe zaidi nchini Lebanon ambayo mbali na kutoa huduma za kiuchumi kwa wananchi wa Lebanon, jihadi hiyo inajishughulisha na kuondoa masalia ya mashambulio ya utawala wa Kizayuni nchini humo.