Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; 'Muqawama (ukakamavu)', siri ya ushindi dhidi ya adui

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; 'Muqawama (ukakamavu)', siri ya ushindi dhidi ya adui

    Jun 06, 2019 02:31

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewaambia viongozi na wananchi wa Iran kutohadaika na ujanja wa kisiasa wa rais wa Marekani.

  • Rouhani: Iran itaendelea na muqawama wake hadi Marekani irejee katika mkondo sahihi

    Rouhani: Iran itaendelea na muqawama wake hadi Marekani irejee katika mkondo sahihi

    Jun 03, 2019 07:10

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kufungamana na sera yake ya muqawama hadi pale Marekani itakaporejea katika mkondo ulio sahihi na ikiri kuwa ilikuwa imefuata mkondo mbaya.

  • Njia pekee ya taifa la Iran kukabiliana na adui ni kusimama kidete

    Njia pekee ya taifa la Iran kukabiliana na adui ni kusimama kidete

    May 13, 2019 15:25

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Njia pekee ya kukabiliana na shari, fitina, vita vya kiuchumi, kisaikalojia na kisiasa vya adui ni muqawama na kusimama kidete taifa la Iran.

  • Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama

    May 09, 2019 04:31

    Msemaji Rasmi wa Brigedi ya Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa utumiwaji wa makombora aina ya Badr 3, unaonyesha ustawi wa uwezo katika sekta ya kijeshi ya muqawama wa Palestina.

  • Utawala wa Kizayuni wakiri kufeli ngao yake ya makombora mbele ya mashambulizi ya muqawama wa Palestina

    Utawala wa Kizayuni wakiri kufeli ngao yake ya makombora mbele ya mashambulizi ya muqawama wa Palestina

    May 07, 2019 04:13

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimekiri kushindwa ngao ya makombora inayoitwa 'Kuba la Chuma' ya utawala huo mbele ya mashambulizi ya makundi ya muqawama wa Palestina.

  • Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani

    Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani

    Apr 20, 2019 04:24

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo kikuu cha ugaidi na uharibifu katika eneo la Asia Magharibi na duniani kwa ujumla.

  • Sheikh Naim Qassim: Marekani haina ubavu wa kukabiliana na mhimili wa muqawama

    Sheikh Naim Qassim: Marekani haina ubavu wa kukabiliana na mhimili wa muqawama

    Apr 15, 2019 14:42

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani inataka kuupigisha magoti mhimili wa muqawama na kuufanya usalimu amri kupitia vikwazo vya kiuchumi, lakini inajidanganya kwani wananchi wa Lebanon katu hawatasalimu amri na muqawama utaendelea.

  • Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma

    Mar 16, 2019 15:02

    Sheikh Ali Damush, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, njia pekee ya kusambaratisha mipango ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati ni kuendeleza muqawama.

  • Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel

    Mar 08, 2019 07:45

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimethibitisha habari ya mashambulio ya makombora mawili ya Wapalestina yaliyovurumishwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelelekea vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.

  • Maduro: Wananchi wa Venezuela watasimama imara kupambana na madola ya kibeberu

    Maduro: Wananchi wa Venezuela watasimama imara kupambana na madola ya kibeberu

    Feb 23, 2019 16:31

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa serikali ya Caracas kwa ushirikiano na wananchi wa nchi hiyo watasimama kidete kupambana na madola ya kibeberu na hawatorudi nyuma katika suala hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS