-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; 'Muqawama (ukakamavu)', siri ya ushindi dhidi ya adui
Jun 06, 2019 02:31Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewaambia viongozi na wananchi wa Iran kutohadaika na ujanja wa kisiasa wa rais wa Marekani.
-
Rouhani: Iran itaendelea na muqawama wake hadi Marekani irejee katika mkondo sahihi
Jun 03, 2019 07:10Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kufungamana na sera yake ya muqawama hadi pale Marekani itakaporejea katika mkondo ulio sahihi na ikiri kuwa ilikuwa imefuata mkondo mbaya.
-
Njia pekee ya taifa la Iran kukabiliana na adui ni kusimama kidete
May 13, 2019 15:25Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Njia pekee ya kukabiliana na shari, fitina, vita vya kiuchumi, kisaikalojia na kisiasa vya adui ni muqawama na kusimama kidete taifa la Iran.
-
Wapalestina waishukuru Iran kwa kuinua uwezo wa kijeshi wa muqawama
May 09, 2019 04:31Msemaji Rasmi wa Brigedi ya Quds, Tawi la Kijeshi la Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa utumiwaji wa makombora aina ya Badr 3, unaonyesha ustawi wa uwezo katika sekta ya kijeshi ya muqawama wa Palestina.
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kufeli ngao yake ya makombora mbele ya mashambulizi ya muqawama wa Palestina
May 07, 2019 04:13Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimekiri kushindwa ngao ya makombora inayoitwa 'Kuba la Chuma' ya utawala huo mbele ya mashambulizi ya makundi ya muqawama wa Palestina.
-
Hizbullah: Utawala haramu wa Israel ndio chimbuko kuu la ugaidi duniani
Apr 20, 2019 04:24Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah nchini lebanon, Sheikh Naim Qassem amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ndio chanzo kikuu cha ugaidi na uharibifu katika eneo la Asia Magharibi na duniani kwa ujumla.
-
Sheikh Naim Qassim: Marekani haina ubavu wa kukabiliana na mhimili wa muqawama
Apr 15, 2019 14:42Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani inataka kuupigisha magoti mhimili wa muqawama na kuufanya usalimu amri kupitia vikwazo vya kiuchumi, lakini inajidanganya kwani wananchi wa Lebanon katu hawatasalimu amri na muqawama utaendelea.
-
Hizbulllah: Njia pekee ya kuisambaratisha mipango ya Marekani ni muqawanma
Mar 16, 2019 15:02Sheikh Ali Damush, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, njia pekee ya kusambaratisha mipango ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati ni kuendeleza muqawama.
-
Mapigo ya makombora ya Wapalestina katika kujibu mashambulio ya Israel
Mar 08, 2019 07:45Vyombo vya habari vya Kizayuni vimethibitisha habari ya mashambulio ya makombora mawili ya Wapalestina yaliyovurumishwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelelekea vitongoji vya walowezi wa Kizayuni.
-
Maduro: Wananchi wa Venezuela watasimama imara kupambana na madola ya kibeberu
Feb 23, 2019 16:31Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa serikali ya Caracas kwa ushirikiano na wananchi wa nchi hiyo watasimama kidete kupambana na madola ya kibeberu na hawatorudi nyuma katika suala hilo.