-
Hamas: Kujiuzulu kamanda wa makomandoo wa Israel ni ishara ya nguvu ya Wapalestina
Feb 20, 2019 08:06Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kujiuzulu kamanda wa vikosi maalumu vya makomandoo wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa na Wapalestina katika oparesheni ya Khan Yunus ni ishara ya nguvu kubwa za harakati za kupigania ukombozi Palestina au muqawama na kusambaratika mahesabu ya wakuu wa utawala wa Kizayuni.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Uwezo wa muqawama wa Hizbullah umeongezeka zaidi
Feb 17, 2019 05:11Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa uwezo wa muqawama ambao unazidi kuongezeka kila siku, ni urithi wa makamanda waliouawa shahidi na alama ya nguvu ya harakati hiyo na kwamba njia hiyo itaendelea daima.
-
Maandamano ya baharini ya kuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza; nembo nyengine ya mapambano ya Wapalestina
Feb 14, 2019 02:35Kamati ya Kitaifa ya Palestina ya kuvunja mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza, imetangaza habari ya kufanyika maandamano ya 23 ya baharini karibu na kambi ya kijeshi ya Zakim, kaskazini mwa ukanda huo.
-
Rais Rouhani: Vita dhidi ya teknolojia na mabadiliko mapya, ni jambo la zamani sana
Jan 21, 2019 16:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, sekta ya mawasiliano na tekonolojia ya habari ni nembo ya mabadiliko ya jamii mbalimbali katika suala zima la ustawi wa kisayansi na kusisitiza kwamba, kuwa na welewa sahihi na kuamiliana kwa njia nzuri na uhakika huo, ndiyo njia pekee ya kuweza kudhibiti na kuzuia matatizo yanayotokana na maendeleo ya kiteknolojia.
-
Siku ya Gaza, hatua athirifu katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina
Jan 19, 2019 12:01Siku ya Gaza ambayo ni nembo ya kuwaunga mkono wakazi wa eneo la Gaza huko Palestina wanaokabiliwa na mzingiro imewadia katika hali ambayo, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita, Palestina imeshuhudia kuongezeka harakati za wananchi zenye lengo la kuuvunja mzingiro wa Gaza.
-
Ujumbe wa ndege zisizo na rubani za Yemen kwa wavamizi na vibaraka wao ndani ya mwaka 2019
Jan 12, 2019 02:55Katika radiamali yake kufuatia kuendelea uvamizi na ubeberu wa muungano vamizi wa Saudia na vibaraka wake, jeshi la Yemen kwa kushirikiana na kamati za wananchi limeshambulia kambi ya kijeshi ya wavamizi hao kwa kutumia ndege isiyo na rubani (drone).
-
Hamas: Kushiriki kwa wingi Wapalestina katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati hiyo ni ishara ya kuungwa mkono muqawama
Dec 17, 2018 08:22Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa, kushiriki kwa wingi mamia ya maelfu ya watu katika maadhimisho ya mwaka wa 31 tangu kuasisiwa harakati hiyo ni ishara mpya ya uungaji mkono wa wananchi wa Palestina kwa mapambano ya ukombozi dhidi ya Wazayuni maghasibu.
-
Kuakisiwa gwaride la vikosi vya muqawama vya Palestina mjini Ghaza + Picha
Dec 16, 2018 11:08Bridegi za Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS jana Jumamosi zilifanya gwaride kubwa lililofana la kijeshi katika Ukanda wa Ghaza.
-
HAMAS: UN inapaswa izime mpango wa njama ya Marekani dhidi ya Muqawama wa Palestina
Dec 03, 2018 15:36Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa inapasa Umoja wa Mataifa uzime mpango wa njama ya Marekani dhidi ya Muqawama wa Palestina .
-
Amir Hatami: Iran inatoa uungaji mkono wa kimaanawi kwa mataifa madhulumu
Dec 02, 2018 03:42Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, taifa hili linatoa uungaji mkono wa kimaanawi kwa uwezo wake wote kwa mataifa madhlumu ulimwenguni.