-
Rais Bashar al-Assad: Muungano wa Marekani unaunga mkono genge la Daesh Syria
Mar 05, 2018 08:11Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, muungano wa kimataifa unaodaiwa kuwa 'dhidi ya Daesh' chini ya uongozi wa Marekani, kwa sasa umegeuka na kuwa kikosi cha anga cha kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) nchini Syria.
-
Njama za kuvuruga muungano wa vita dhidi ya ugaidi wa Iran, Russia na Uturuki
Jan 13, 2018 07:39Nchi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki zina muungano ambao si tu kuwa umeweza kufanikiwa katika medani ya vita dhidi ya ugaidi, bali pia katika mazungumzo ya kidiplomasia, muungano huo umeweza kuibua mabadiliko katika masuala yanayohusiana na tatizo la ugaidi.
-
Njama mpya ya Marekani ya kuiangusha serikali ya Syria katika kipindi hiki cha baada ya kuangamizwa ISIS (Daesh)
Dec 18, 2017 08:00Je, Marekani itaachana na Syria? Katika kipindi hiki cha baada ya kuangamizwa kundi la kigaidi la ISIS, hivi sasa Marekani inatekeleza njama chafu ya kuiangusha serikali halali ya Syria.
-
Rais wa Russia akutana na Rais wa Syria na kumpongeza kufuatia mafanikio dhidi ya magaidi
Nov 21, 2017 08:08Rais Vladimir Putin wa Russia amempongeza Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia ushindi mkubwa wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi.
-
Raia 29 wauawa katika jinai mpya za muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria
Jul 27, 2017 08:04Raia 29 wa Syria jana waliuawa katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani. Mashambulizi hayo yalifanywa katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria.
-
Maafisa wa Saudia waliwasaidia magaidi wa ISIS huko Mosul, Iraq
Jul 14, 2017 08:03Saudi Arabia ilituma maafisa wake wa kijasusi na kijeshi kujiunga na magaidi wa ISIS au Daesh Mosul wakati wa oparesheni ya jeshi la Iraq ya kuukomboa mji huo.
-
Waziri Mkuu wa Iraq atangaza rasmi ushindi dhidi ya ISIS Mosul
Jul 09, 2017 14:16Waziri Mkuu wa Iraq Haider al-Abadi ametangaza rasmi ushindi dhidi ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika mji wa Mosul miezi minane baada ya kuanza vita dhidi ya magaidi hao wakufurishaji.
-
Magaidi 350 raia wa Uingereza warejea nyumbani kutoka Syria
May 06, 2017 07:47Mashirika ya kijasusi ya Uingereza yameonya kuwa raia 350 wa nchi hiyo ambao ni magaidi wanachama wa kundi la kigaidi la ISIS wamerejea nchini humo kutoka Syria na sasa ni tishio kubwa kwa usalama.
-
Nguruwe mwitu wenye hasira waua magaidi wa ISIS nchini Iraq
Apr 26, 2017 13:11Magaidi watatu wa kundi la kitakifiri la ISIS au Daesh wameuawa na nguruwe mwitu waliokuwa na hasira katika eneo la kaskazini mwa Iraq.
-
Marekani yakiri imeua raia 400 Syria na Iraq
Apr 03, 2017 04:37Muungano unaodaiwa ni wa kupambana na genge la kigaidi la Daesh unaoongozwa na Marekani umekiri kwamba katika kipindi cha baina ya mwaka 2014 hadi 2017 umeua karibu raia 400 nchini Iraq na Syria katika mashambulizi yake ya anga.