Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mwandishi wa gazeti

  • MSF wawasilisha kesi mpya ICC dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa mauaji ya waandishi habari Gaza

    MSF wawasilisha kesi mpya ICC dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa mauaji ya waandishi habari Gaza

    May 28, 2024 02:44

    Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imewasilisha mashtaka mapya katika mahakama ya kKimataifa ya Jinai (ICC) kufuatia jinai za kivita za utawala wa Kizayuni dhidi ya waandishi wa habari katika Ukanda wa Gaza.

  • Ripoti: Wanahabari 80 wameuawa mwaka huu 2018

    Ripoti: Wanahabari 80 wameuawa mwaka huu 2018

    Dec 18, 2018 15:39

    Jumuiya ya Maripota Wasio na Mipaka (RSF) imesema waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashaji habari 80 wameuawa mwaka huu 2018 katika sehemu mbalimbali duniani.

  • Eritrea, Misri na Saudia zaongoza kwa kuwafunga jela waandishi wa habari

    Eritrea, Misri na Saudia zaongoza kwa kuwafunga jela waandishi wa habari

    Dec 14, 2018 15:56

    Ripoti mpya ya Kamati ya Kuwalinda Wanahabari CPJ imesema Eritrea ndiyo nchi yenye idadi kubwa ya waandishi wa habari waliofungwa jela katika eneo la Chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika.

  • Waandishi 100 wa habari waahidi kususia mkutano wa Mohammad Bin Salman

    Waandishi 100 wa habari waahidi kususia mkutano wa Mohammad Bin Salman

    Nov 26, 2018 04:45

    Waandishi wa habari 100 nchini Misri wametia saini hati ya kususia mkutano wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia atakapotembelea nchi hiyo.

  • AI: Jamii ya kimataifa ifuatilie mauaji ya mwandishi habari Msaudi

    AI: Jamii ya kimataifa ifuatilie mauaji ya mwandishi habari Msaudi

    Oct 08, 2018 14:30

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka jamii ya kimataifa isinyamazie kimya ukandamizaji unaofaywa na serikali ya Saudi Arabia dhidi ya wapinzani wa nchi hiyo na iishinikize serikali ya Riyadh kwa ajili ya kuweka wazi faili la mwandishi habari wa nchi hiyo aliyetoweka kwa njia ya kutatanisha.

  • The Independent: Kadhia ya Khashoggi imezidi kudhihirisha jinsi utawala wa Saudia ulivyo dhaifu

    The Independent: Kadhia ya Khashoggi imezidi kudhihirisha jinsi utawala wa Saudia ulivyo dhaifu

    Oct 07, 2018 15:30

    Gazeti la The Independent linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa kusadifiana mkasa wa kuuliwa mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Aal Saud sambamba na matamshi ya udhalilishaji yaliyotolewa na rais wa Marekani kuhusu Saudi Arabia kumezidi kudhihirisha jinsi utawala huo ulivyo dhaifu.

  • RSF: Wanahabari 65 wameuawa wakiwa kazini mwaka huu 2017

    RSF: Wanahabari 65 wameuawa wakiwa kazini mwaka huu 2017

    Dec 19, 2017 13:33

    Shirika la Maripota Wasio na Mipaka (RSF) limesema jumla ya waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashanaji habari 65 wameuawa mwaka huu 2017 katika sehemu mbali mbali duniani.

  • Mwandishi habari Mmarekani awaomba radhi Waislamu kutokana na ubaguzi wa Trump

    Mwandishi habari Mmarekani awaomba radhi Waislamu kutokana na ubaguzi wa Trump

    Feb 05, 2017 08:19

    Mwandishi habari maarufu nchini Marekani amewaomba radhi Waislamu wote duniani na kusema: "Wamarekani wanapaswa kusimama kidete dhidi ya watu wenye misimamo mikali."

  • Waandishi karibu 100 wa habari wameuawa mwaka huu wa 2016

    Waandishi karibu 100 wa habari wameuawa mwaka huu wa 2016

    Dec 31, 2016 15:07

    Federesheni ya Kimataifa ya Waandishi Habari (IFJ) imetangaza kuwa, waandishi habari 93 wameuawa kwa makusudi au katika machafuko yaliyotokea kwenye maeneo mbalimbali ya dunia katika mwaka huu unaomalizika leo wa 2016.

  • Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri

    Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri

    Nov 20, 2016 12:44

    Habari kutoka nchini Misi zinaonesha kuendelea kukandamizwa waandishi wa habari na serikali ya Rais Abdul Fattah el Sisi wa nchi hiyo na kuzidi kubanwa tasnia ya uandishi wa habari katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Hatua ya karibuni kabisa ni kitendo cha mahakama moja ya Misri cha kuwafunga jela miaka miwili mkuu wa chama cha waandishi wa habari na wanachama wawili wa chama hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS