-
MSF wawasilisha kesi mpya ICC dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa mauaji ya waandishi habari Gaza
May 28, 2024 02:44Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imewasilisha mashtaka mapya katika mahakama ya kKimataifa ya Jinai (ICC) kufuatia jinai za kivita za utawala wa Kizayuni dhidi ya waandishi wa habari katika Ukanda wa Gaza.
-
Ripoti: Wanahabari 80 wameuawa mwaka huu 2018
Dec 18, 2018 15:39Jumuiya ya Maripota Wasio na Mipaka (RSF) imesema waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashaji habari 80 wameuawa mwaka huu 2018 katika sehemu mbalimbali duniani.
-
Eritrea, Misri na Saudia zaongoza kwa kuwafunga jela waandishi wa habari
Dec 14, 2018 15:56Ripoti mpya ya Kamati ya Kuwalinda Wanahabari CPJ imesema Eritrea ndiyo nchi yenye idadi kubwa ya waandishi wa habari waliofungwa jela katika eneo la Chini ya Jangwa la Sahara barani Afrika.
-
Waandishi 100 wa habari waahidi kususia mkutano wa Mohammad Bin Salman
Nov 26, 2018 04:45Waandishi wa habari 100 nchini Misri wametia saini hati ya kususia mkutano wa Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia atakapotembelea nchi hiyo.
-
AI: Jamii ya kimataifa ifuatilie mauaji ya mwandishi habari Msaudi
Oct 08, 2018 14:30Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka jamii ya kimataifa isinyamazie kimya ukandamizaji unaofaywa na serikali ya Saudi Arabia dhidi ya wapinzani wa nchi hiyo na iishinikize serikali ya Riyadh kwa ajili ya kuweka wazi faili la mwandishi habari wa nchi hiyo aliyetoweka kwa njia ya kutatanisha.
-
The Independent: Kadhia ya Khashoggi imezidi kudhihirisha jinsi utawala wa Saudia ulivyo dhaifu
Oct 07, 2018 15:30Gazeti la The Independent linalochapishwa nchini Uingereza limeandika kuwa kusadifiana mkasa wa kuuliwa mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Aal Saud sambamba na matamshi ya udhalilishaji yaliyotolewa na rais wa Marekani kuhusu Saudi Arabia kumezidi kudhihirisha jinsi utawala huo ulivyo dhaifu.
-
RSF: Wanahabari 65 wameuawa wakiwa kazini mwaka huu 2017
Dec 19, 2017 13:33Shirika la Maripota Wasio na Mipaka (RSF) limesema jumla ya waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashanaji habari 65 wameuawa mwaka huu 2017 katika sehemu mbali mbali duniani.
-
Mwandishi habari Mmarekani awaomba radhi Waislamu kutokana na ubaguzi wa Trump
Feb 05, 2017 08:19Mwandishi habari maarufu nchini Marekani amewaomba radhi Waislamu wote duniani na kusema: "Wamarekani wanapaswa kusimama kidete dhidi ya watu wenye misimamo mikali."
-
Waandishi karibu 100 wa habari wameuawa mwaka huu wa 2016
Dec 31, 2016 15:07Federesheni ya Kimataifa ya Waandishi Habari (IFJ) imetangaza kuwa, waandishi habari 93 wameuawa kwa makusudi au katika machafuko yaliyotokea kwenye maeneo mbalimbali ya dunia katika mwaka huu unaomalizika leo wa 2016.
-
Kukandamizwa waandishi wa habari nchini Misri
Nov 20, 2016 12:44Habari kutoka nchini Misi zinaonesha kuendelea kukandamizwa waandishi wa habari na serikali ya Rais Abdul Fattah el Sisi wa nchi hiyo na kuzidi kubanwa tasnia ya uandishi wa habari katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika. Hatua ya karibuni kabisa ni kitendo cha mahakama moja ya Misri cha kuwafunga jela miaka miwili mkuu wa chama cha waandishi wa habari na wanachama wawili wa chama hicho.