Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    IHRC yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mateso ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 08, 2016 07:58

    Kamisheni ya Kiislamu ya Haki za Binadamu yenye makao yake London nchini Uingereza (IHRC) imesema kuwa kutokuwepo mashinikizo ya kimataifa ndiyo sababu ya kuendelea mateso na ukandamiza wa mabudha wenye misimamo mikali dhidi ya Waislamu nchini Myanmar.

  • UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    UN yataka kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa Myanmar

    Jul 02, 2016 08:00

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Haki za Binadamu nchini Myanmar ametoa wito wa kukomeshwa ubaguzi dhidi ya Waislamu wa nchi hiyo.

  • AI: Myanmar inapaswa kuchunguza mashambulizi ya msikiti

    AI: Myanmar inapaswa kuchunguza mashambulizi ya msikiti

    Jun 25, 2016 14:36

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeyataja mashambulizi yaliyofanywa na Mabudha wenye misimamo mikali wa Myanmar dhidi ya msikiti kuwa ni jinai na kusisitiza kuwa, machafuko mapya yanayolenga Waislamu nchini humo yanapaswa kufuatiliwa na wahusika wake kuadhibiwa.

  • Mabudha wenye chuki washambulia msikiti wa Waislamu Myanmar

    Mabudha wenye chuki washambulia msikiti wa Waislamu Myanmar

    Jun 25, 2016 02:42

    Katika kuendelea kwa maudhi dhidi ya jamii ya Waislamu nchini Myanmar, juzi usiku makumi ya Mabudha wenye misimamo mikali walishambulia msikiti mmoja katikati ya nchi hiyo na kuwaua Waislamu kadhaa waliokuwa msikitini hapo.

  • Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha

    Waislamu wa Myanmar waendelea kufanyiwa jinai za kutisha

    Jun 21, 2016 03:48

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuendelea jinai za mabudha dhidi ya Waislamu wa Myanmar.

  • Serikali ya Myanmar na hali mbaya ya Waislamu wa Rohingya

    Serikali ya Myanmar na hali mbaya ya Waislamu wa Rohingya

    May 04, 2016 07:53

    Katika hali ambayo matatizo ya Waislamu wa Rohingya katika kambi za wakimbizi yanaendelea kushuhudiwa, makundi yanayofungamana na Waislamu yametoa ripoti kuhusiana na matatizo mapya yanayowakabili Waislamu hao.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS