Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Kuongezeka mizozo na mivutano baina ya Russia na NATO

    Kuongezeka mizozo na mivutano baina ya Russia na NATO

    Oct 19, 2021 13:06

    Sambamba na kuongezeka mIzozo na mivutano baina ya Russia na Shirika la Kijeshi la NATO, serikali ya Moscow imetangaza kuwa, itakata uhusiano wake na shirika hilo.

  • Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan

    Lavrov: Wanachama wa NATO waongoze ujenzi mpya wa Afghanistan

    Oct 09, 2021 07:56

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi wanachama katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Maghribi (NATO) zinapaswa kubeba jukumu kuu la kuijenga upya Afghanistan.

  • NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa

    NATO: Ikiwa Taliban itaidhibiti Afghanistan kwa njia ya kijeshi haitatambuliwa kimataifa

    Aug 14, 2021 07:44

    Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO ametangaza kuwa, ikiwa kundi la Taliban litaidhibiti Afghanistan yote kupitia mashambulio yake ya kijeshi halitatambuliwa kimataifa.

  • Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia

    Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia

    Jun 11, 2021 02:06

    Rais Joe Biden wa Marekani Jumatano wiki hii aliekelea barani Ulaya ikiwa safari yake ya kwanza nje ya nchi baada ya kushika hatamu za uongozi.

  • Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Kuanza mchakato wa kuondoka askari wa Marekani na wa NATO kutoka nchini Afghanistan

    Apr 27, 2021 04:21

    Jenerali Austin Scott Miller, kamanda wa askari wa Marekani na wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) nchini Afghanistan alitangaza Jumapili iliyopita katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, mchakato wa kuondoka wanajeshi wa Marekani na wa NATO huko Afghanistan umeanza katika baadhi ya vituo vya kijeshi nvya nchi hiyo na kwamba, vituo vyote vya kijeshi vitakabidhiwa kwa vikosi vya Kiafghani.

  • Jumapili, Aprili 4, 2021

    Jumapili, Aprili 4, 2021

    Apr 04, 2021 02:31

    Leo ni Jumapili tarehe 4 Aprili mwaka 2021 Miladia, inayosadifiana na tarehe 21 Shaaban mwaka 1442 Hijria.

  • Russia: Nato ichague njia ya ama makabiliano au ushirikiano

    Russia: Nato ichague njia ya ama makabiliano au ushirikiano

    Mar 25, 2021 11:27

    Viongozi wa ngazi ya juu wa Russia wamejibu matamshi ya Katibu Mkuu wa Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) kuhusu eti siasa za hujuma za Moscow na kusema Nato yenyewe ndio kitovi kikuu cha vitisho duniani. Wameongeza kuwa Brussels itatue matatizo yanayozikabili nchi wanachama wa muungano wa NATO na iweke wazi msimamo wake kuhusu Moscow.

  • Jumatano, Machi 24, 2021

    Jumatano, Machi 24, 2021

    Mar 24, 2021 02:44

    Leo ni Jumatano tarehe 10 Shaaban 1442 Hijria, mwafaka na tarehe 24 Machi 2021 Miladia.

  • Ongezeko la wanajeshi wa NATO nchini Iraq, juhudi za kujaza nafasi ya Marekani

    Ongezeko la wanajeshi wa NATO nchini Iraq, juhudi za kujaza nafasi ya Marekani

    Feb 21, 2021 02:39

    Majeshi ya nchi za Magharibi yalipelekwa kwa wingi nchini Iraq baada ya Marekani kuivamia ardhi ya nchi hiyo mwaka 2003 na bado yanaendelea kuwepo nchini humo.

  • Silaha za NATO zakamatwa katika makao ya Daesh Homs, nchini Syria

    Silaha za NATO zakamatwa katika makao ya Daesh Homs, nchini Syria

    Feb 18, 2021 08:16

    Jeshi la Syria limegundua ghala la silaha ziliundwa na Shirila la Kujihami la Nchi za Magharibi (NATO) katika mji wa Homs baada ya kuua magaidi kadhaa wa kundi la Daesh katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS