Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Jumanne tarehe 17 Machi 2020

    Jumanne tarehe 17 Machi 2020

    Mar 17, 2020 01:42

    Leo ni Jumanne tarehe 22 Rajab 1441 Hijria inayosadifiana na tarehe 17 Machi mwaka 2020.

  • Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi

    Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi

    Mar 01, 2020 10:39

    Uingiliaji wa wazi wa askari wa Uturuki katika mkoa wa Idlib nchini Syria, katika kuyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayoendesha harakati zake mkoani humo, umepata uungaji mkono wa Wamagharibi.

  • Ugiriki yazuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa NATO kwa Uturuki

    Ugiriki yazuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa NATO kwa Uturuki

    Mar 01, 2020 02:39

    Serikali ya Ugiriki imetumia haki yake ya turufu kuzuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) kwa Uturuki.

  • Mwamko wa walimwengu na kuchanganyikiwa NATO na Marekani kuhusu Luteni Soleimani

    Mwamko wa walimwengu na kuchanganyikiwa NATO na Marekani kuhusu Luteni Soleimani

    Jan 10, 2020 00:32

    Radiamali na hisia zilizooneshwa na baadh iya viongozi wa nchi za Magharibi baada ya Marekani kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH kwa mara nyingine zimeonesha undumilakuwili wa viongozi wa nchi za Magharibi kuhusu madai yao ya kupambana na magaidi.

  • Katibu Mkuu wa NATO akiri kushtadi mzozo ndani ya shirika hilo la kijeshi

    Katibu Mkuu wa NATO akiri kushtadi mzozo ndani ya shirika hilo la kijeshi

    Dec 18, 2019 12:52

    Nchi wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), zimershiriki katika kikao cha maadhimisho ya mwaka wa 70 tangu kuasisiwa taasisi hiyo ya kijeshi katika hali ambayo tofauti na changamoto kubwa ambazo hazijawahi kushuhudiwa huko nyuma, zinauweka mustakbali wake katika hali isiyojulikana.

  • Mpango wa Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa Marekani barani Ulaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa

    Mpango wa Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa Marekani barani Ulaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa

    Dec 11, 2019 08:11

    Donald Trump, rais machachari na mwenye makeke wa Marekani amewahi kusikika mara kadhaa akiwalaumu na kuwakosoa waitifaki wa Washington wa barani Ulaya na hata kutishia kwamba, nchi yake haitakuwa tayari kuendelea kugharimika kwa ajili ya usalama wa nchi za bara hilo; hata hivyo mpango uliotangazwa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa nchi hiyo barani Ulaya umeyatoa maanani madai hayo ya Trump.

  • Onyo kali la Russia juu ya kuharibika uhusiano wa nchi hiyo na Shirika la Kijeshi la NATO

    Onyo kali la Russia juu ya kuharibika uhusiano wa nchi hiyo na Shirika la Kijeshi la NATO

    Dec 10, 2019 02:53

    Katika miaka ya hivi karibuni uhusiano wa Russia na Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) hususan baada ya kuzuka mgogoro wa Ukraine mwaka 2014, umekuwa ni wa mzozo ambapo kiwango cha migogoro na makabiliano baina ya pande hizo mbili kimeendelea kukua mwaka baada ya mwaka.

  • NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    Dec 04, 2019 08:12

    Nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO zinakutana mjini London, Uingereza katika mkutano unaoadhimisha mwaka wa 70 tangu kuasisiwa shirika hilo la kijeshi, huku tofauti kubwa na changamoto za mivutano zilizopo ambazo hazijawahi kushuhudiwa, zikiuweka mashakani mustakabali wake.

  • Kuongozeka mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na Uturuki kuhusiana na shirika la NATO

    Kuongozeka mivutano ya kisiasa baina ya Ufaransa na Uturuki kuhusiana na shirika la NATO

    Dec 01, 2019 03:04

    Matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuhusu udhaifu wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) na kufananisha hali ya shirika hilo la kifo cha ubongo yamekabiliwa kwa hisia kali na baadhi ya wanachama wa jumuiya hiyo ikiwemo Uturuki. Matamshi hayo yameuzusha mivutano ya kisiasa baina ya Paris na Ankara.

  • Macron: Siombi samahani, nakariri tena kwamba NATO imekufa ubongo

    Macron: Siombi samahani, nakariri tena kwamba NATO imekufa ubongo

    Nov 29, 2019 08:08

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa kauli yake kwamba Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) limepatwa na kifo cha ubongo ilipiga kengele ya hatari kwa nchi wanachama na kwamba hataomba radhi kwa kutoa matamshi hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS