-
Alkhamisi tarehe 17 Machi 2022
Mar 17, 2022 02:22Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Shaaban 1443 Hijria sawa na tarehe 17 Machi 2022.
-
Kukiri EU kosa lake la kuiahidi Ukraine kujiunga na NATO
Mar 14, 2022 02:53Josep Borrell Fontelles, Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amekiri kuwa kitendo cha umoja huo cha kuipa ahadi Ukraine ya kuiunga na Jeshi la Nchi za Magharibi NATO, lilikuwa kosa.
-
Rais wa Ukraine azishambulia tena nchi za Magharibi, asema hazina hata uwezo wa kulinda wananchi wao
Mar 05, 2022 07:35Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amehamakishwa mno na uamuzi wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO kukataa ombi lake la kutangaza eneo lililo marufuku kupaa ndege na kuziambia nchi wanachama wa NATO kwamba, hivi nyinyi hata mna uwezo wa kulinda usalama wa nchi zenu?
-
Zakharova: Oparesheni za Kijeshi za Russia nchini Ukraine si uvamizi
Feb 27, 2022 07:57Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, muungano wa kijeshi wa NATO haupaswi kuzitaja oparesheni za kijeshi za Russia nchini Ukraine kuwa ni uvamizi.
-
Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia
Feb 27, 2022 03:52Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, na Rais wa Russia, Vladimir Putin, walifanya mazungumza ya simu Alhamisi iliyopita kuhusu masuala ya kimataifa na mazungumzo yanayoendelea huko Vienna kuhusu suala la kuondolewa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Iran.
-
Mkutano usio na matunda wa Russia-NATO na kuongezeka kwa mizozo ya pande mbili
Jan 15, 2022 00:44Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Alexander Grushko, ameuambia mkutano wa waandishi wa habari mjini Brussels mwishoni mwa mkutano wa Russia na NATO siku ya Jumatano kwamba, hitilafu za pande mbili zilikuwa wazi na kwamba katika kikao hicho kumejitokeza hitilafu nyingi.
-
Lavrov: Haiyumkiniki Russia kujiunga na shirika la kijeshi la NATO
Dec 28, 2021 02:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema haiyumkiniki nchi hiyo kujiunga na shirika la kijeshi la NATO.
-
Onyo la Rais wa Russia la kutoa jibu kijeshi kwa hatua za Marekani barani Ulaya
Dec 23, 2021 02:50Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake ina haki kamili ya kujihami dhidi ya hatua zisizo za kirafiki za Marekani na akabainisha kwamba Moscow itachukua hatua mwafaka za kijeshi na kiufundi juu ya suala hilo.
-
Kuongezeka kwa mzozo kati ya Russia na Magharibi juu ya Ukraine na upanuzi wa NATO kuelekea Mashariki
Dec 04, 2021 14:36Katika wiki za hivi karibuni, makabiliano kati ya Russia na Magharibi kuhusu Ukraine yamechukua sura mpya, huku pande mbili zikitoa maonyo ya mara kwa mara kuhusu hatua zozote za kijeshi.
-
Russia yasisitiza kuizuia Nato ili isipanue uwepo wake mashariki mwa Ulaya
Dec 04, 2021 02:37Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kwamba kuna haja ya kuzuia Muungano wa Kijeshi wa Nchi za Magharibi (NATO) kupanua uwepo wake mashariki mwa bara Ulaya.