-
Makamanda wawili wa Boko Haram watiwa mbaroni Nigeria
Mar 25, 2016 03:45Polisi ya Nigeria imewatia mbaroni makamanda wawili wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika jimbo la Taraba, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yajiondoa katika uchunguzi wa mauaji ya halaiki ya Zaria
Mar 23, 2016 15:00Taasisi inayoiwakilishi Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imeamua kutohudhuria mahakamani katika kesi ya kuchunguza mauaji ya halaiki yaliyofanywa na jeshi la Nigeria katika mji wa Zaria mwezi Disemba mwaka jana.
-
Ban Ki-moon alaani mashambulizi ya Boko Haram misikitini Nigeria
Mar 18, 2016 03:06Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amelaani vikali mashambulizi ya kigaidi dhidi ya misikiti mmoja yanayofanywa na na genge la kitakfiri la Boko Haram nchini Nigeria.
-
Iran yalaani shambulio la kigaidi nchini Nigeria
Mar 17, 2016 13:39Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililofanywa katika msikiti mmoja huko Nigeria.
-
Wanaigeria waandamana wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky
Mar 04, 2016 14:40Wananchi wa Nigeria wameandamana katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakitaka kuachiwa huru haraka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Serikali ya Nigeria yawapiga kalamu nyekundu wafanyakazi 20 elfu kufidia nakisi ya bajeti
Feb 29, 2016 15:24Serikali ya Nigeria imeamua kuwatimua wafanyakazi wake elfu 20 kwa lengo la kufidia nakisi ya bajeti nchini humo.
-
Buhari: Kuendelea kushuka bei ya mafuta duniani, hakukubaliki
Feb 29, 2016 15:23Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria, amesema kuwa kuendelea kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia, ni jambo lisilokubalika.