Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ndege ya abiria

  • Ndege za Russia kukarabatiwa Iran

    Ndege za Russia kukarabatiwa Iran

    Oct 09, 2022 11:58

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii ambayo huangazia baadhi ya mafanikio katika uga wa sayansi, tiba na teknolojia nchini Iran na maeneo mengine duniani. Ni matumaini yangu kuwa mtaweza kunufaika.

  • Rais Ebarahim Raisi: Iran ni tumaini la wanyonge na majuto kwa mabeberu

    Rais Ebarahim Raisi: Iran ni tumaini la wanyonge na majuto kwa mabeberu

    Aug 23, 2022 01:25

    Rais Ebrahim Raisi amesema kuwa, licha ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa chini ya mashinikizo makubwa ya kila upande kwa makumi ya miaka sasa, lakini vijana wa nchi hii wakiwemo wa sekta ya ulinzi wamepiga hatua kubwa ya kujivunia.

  • EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    EABC yazitaka nchi zote za Afrika Mashariki kufungua anga zao, kuruhusu utalii na biashara

    Jul 14, 2020 13:08

    Baraza la Biashara la Nchi za Afrika Mashariki (EABC), limezisihi nchi zote za kanda hiyo kufuata mfano wa Tanzania kwa kufungua anga zao ili kuruhusu safari za kimataifa kuingia na kutoka katika nchi zote za kanda hiyo.

  • Iran na Ukraine zasisitizia kutoingizwa siasa katika suala la kuanguka ndege ya Ukraine

    Iran na Ukraine zasisitizia kutoingizwa siasa katika suala la kuanguka ndege ya Ukraine

    Feb 11, 2020 07:59

    Katibu Mkuu wa Baraza la Uslama wa Taifa la Iran na Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Ukraine, kwa pamoja wamesisitiza kutoingizwa siasa katika faili la kuanguka ndege ya abiria ya Ukraine nchini hapa.

  • Jumatano, tarehe 3 Julai, 2019

    Jumatano, tarehe 3 Julai, 2019

    Jul 03, 2019 02:16

    Leo ni Jumatano tarehe 29 Shawwal 1440 Hijria sawa na Julai 3 mwaka 2019.

  • Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kutokana na ajali ya ndege

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kutokana na ajali ya ndege

    May 07, 2019 04:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Mousavi amesema kuwa Iran inatoa mkono wa pole kwa serikali na raia wa Russia kufuatia ajali ya ndege ya abiria ya nchi hiyo.

  • Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika

    Qassemi: Jinai ya Marekani ya kutungua ndege ya abiria ya Iran haitasahaulika

    Jul 03, 2018 15:22

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa Wairani kamwe hawatasahau jinai ya shambulizi la meli ya kivita ya Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya maji ya Ghuba ya Uajemi.

  • Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mabaki ya ndege ya ATR yameonekana

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mabaki ya ndege ya ATR yameonekana

    Feb 20, 2018 08:18

    Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH (IRGC) amesema mabaki ya ndege ya ATR ya shirika la ndege la Aseman yamepatikana.

  • Malaysia yathibitisha mabaki ya ndege yaliyopatikana Tanzania ni ya ndege yake iliyotoweka

    Malaysia yathibitisha mabaki ya ndege yaliyopatikana Tanzania ni ya ndege yake iliyotoweka

    Sep 15, 2016 15:56

    Waziri wa Usafirishaji wa Malaysia amesema kuwa kipande kikubwa cha sehemu ya ndege kilichopatikana katika kisiwa cha Pemba nchini Tanzania mwezi Juni mwaka huu ni cha ndege yake ya Boeing 777 iliyotoweka zaidi ya miaka miwili iliopita.

  • Miili mingine ya walioaga dunia katika ajali ya EgyptAir yapatikana

    Miili mingine ya walioaga dunia katika ajali ya EgyptAir yapatikana

    Jul 04, 2016 07:22

    Mabaki mengine ya viwiliwili vya watu waliofariki dunia kwenye ajali ya ndege ya abiria ya shirika la ndege la EgyptAir la Misri yamepatikana katika Bahari ya Mediterania.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS