Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • Israel: Wazayuni kuanza kuitembelea Saudia kwa ziara za 'kidini' na kibiashara

    Israel: Wazayuni kuanza kuitembelea Saudia kwa ziara za 'kidini' na kibiashara

    Jan 26, 2020 09:37

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya utawala haramu wa Israel imesema utawala huo pandikizi utaanza kuwaruhusu Wazayuni kuitembelea Saudi Arabia katika kile kinachotajwa kama safari za kidini na kibiashara.

  • Netanyahu apatwa na kiwewe cha jibu kali la muuqawama kufuatia jinai dhidi ya Luteni Soleimani

    Netanyahu apatwa na kiwewe cha jibu kali la muuqawama kufuatia jinai dhidi ya Luteni Soleimani

    Jan 07, 2020 01:30

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Kizayuni wa Israel, amelegeza msimamo kunako msimamo wake wa awali wa kuunga mkono jinai ya kigaidi iliyofanywa na Marekani ya kuwaua shahidi viongozi wa mrengo wa muqawama, ambapo sasa amesema kuwa Israel haikuhusika katika shambulizi hilo la Marekani katika uwanja wa ndege wa Baghdad, Iraq.

  • Netanyahu: Israel kusaini 'makubaliano ya amani' na nchi za Kiarabu

    Netanyahu: Israel kusaini 'makubaliano ya amani' na nchi za Kiarabu

    Dec 30, 2019 04:01

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv karibuni hivi itasaini makubaliano ya amani na kuufanya wa kawaida uhusiano wake na nchi kadhaa za Kiarabu.

  • Netanyahu asalimu amri, akiri kushindwa kuunda serikali

    Netanyahu asalimu amri, akiri kushindwa kuunda serikali

    Oct 22, 2019 04:32

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu amekiri kuwa ameshindwa kuunda serikali ya muungano, baada ya mazungumzo ya kisiasa kati yake na mshindani wake mkuu katika uchaguzi uliopita wa bunge, Benny Gantz kugonga mwamba.

  • Netanyahu katika njiapanda baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi

    Netanyahu katika njiapanda baada ya kubwagwa kwenye uchaguzi

    Sep 19, 2019 09:31

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu ameingiwa na kiwewe baada ya kubwagwa katika uchaguzi wa Bunge la Israel (Knesset).

  • Netanyahu atimua mbio kuelekea mafichoni akikwepa makombora ya wanamuqawama

    Netanyahu atimua mbio kuelekea mafichoni akikwepa makombora ya wanamuqawama

    Sep 11, 2019 07:53

    Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni, vimeripoti habari ya kutimua mbio Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo, kufuatia kuvurumishwa na wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza makombora yaliyovilenga vitongoji vya walowezi wa utawala huo.

  • Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil

    Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil

    Sep 06, 2019 01:34

    Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Septemba Nne, kwa mara ya kwanza alifika katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kisha akaingia katika msikiti maarufu wa Masjid Ibrahimi katika mji huo. Kabla ya safari hiyo ya Netanyahu, rais wa utawala wa Kizayuni Reuven Rivlin naye pia alifika katika mji wa Al Khalil na kutembelea Masjid Ibrahimi.

  • Mfalme wa Jordan akataa kukutana na Netanyahu na hata kuzungumza naye kwa simu

    Mfalme wa Jordan akataa kukutana na Netanyahu na hata kuzungumza naye kwa simu

    Aug 04, 2019 03:42

    Mfalme Abdallah II wa Jordan amekataa ombi la Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel la kukutana naye na hata kufanya naye mazungumzo kwa njia ya simu.

  • Trump na Netanyahu wabwabwaja baada ya Iran kuongeza urutubishaji wa urani

    Trump na Netanyahu wabwabwaja baada ya Iran kuongeza urutubishaji wa urani

    Jul 08, 2019 02:22

    Hatua ya Iran ya kuingia kwenye awamu ya pili ya kupunguza kiwango cha ahadi zake ndani ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kwa mujibu wa kifungu nambari 36 cha mapatano hayo, imewatia kiwewe Rais Donald Trump wa Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, Mike Pompeo na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Mike Pompeo.

  • Netanyahu apata pigo la kihistoria, uchaguzi mpya waitishwa Israel

    Netanyahu apata pigo la kihistoria, uchaguzi mpya waitishwa Israel

    May 30, 2019 06:57

    Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel, Knesset, limepiga kura ya kujivunja baada ya waziri mkuu Benjamin Netanyahu kushindwa kuunda serikali ya mseto na hivyo kulazimika kuitisha uchaguzi mpya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS