Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Maelfu ya Wanigeria waandamana kupinga mashambulizi ya ECOWAS dhidi ya Niger

    Maelfu ya Wanigeria waandamana kupinga mashambulizi ya ECOWAS dhidi ya Niger

    Aug 13, 2023 08:21

    Maelfu ya watu nchini Nigeria wamefanya maandamano wakipinga uwezekano wa mashambulizi ya kijeshi ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Kanda ya Afrika Magharibi, (ECOWAS) nchini Niger.

  • Nigeria yatakiwa irejesha umeme Niger na ipunguze vikwazo

    Nigeria yatakiwa irejesha umeme Niger na ipunguze vikwazo

    Aug 13, 2023 02:35

    Wakili mwandamizi nchini Nigeria na mwanaharakati wa haki za binadamu Femi Falana ametoa wito kwa Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS) , kurejesha umeme nchini Niger na kupunguza vikwazo vilivyowekwa kwa nchi hiyo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya hivi karibuni.

  • Viongozi wa mapinduzi Niger waishutumu Ufaransa kwa kukiuka anga ya nchi hiyo

    Viongozi wa mapinduzi Niger waishutumu Ufaransa kwa kukiuka anga ya nchi hiyo

    Aug 10, 2023 02:55

    Baraza la kijeshi la viongozi wa mapinduzi nchini Niger limeishutumu Ufaransa kuwa imekiuka anga iliyofungwa ya nchi hiyo.

  • Baraza la kijeshi Niger lakataa mazungumzo na AU, ECOWAS na UN

    Baraza la kijeshi Niger lakataa mazungumzo na AU, ECOWAS na UN

    Aug 09, 2023 11:49

    Serikali ya mpito ya Niger inayoongozwa na wanajeshi waliofanya mapinduzi mnamo Julai 26 imepuuzilia mbali mwito wa kufanya mazungumzo uliotolewa na Umoja wa Afrika (AU), Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) na Umoja wa Matafa (UN).

  • Maseneta wa Ufaransa wakosoa sera ya Macron barani Afrika

    Maseneta wa Ufaransa wakosoa sera ya Macron barani Afrika

    Aug 09, 2023 11:40

    Maseneta karibu 100 wa Ufaransa wamekosoa vikali sera za Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo barani Afrika na kusisitiza kuwa, sera hizo zimechochea misimamo hasi dhidi ya Ufaransa katika nchi za bara hilo.

  • Times: Mapinduzi ya Niger yameonyesha kushindwa kwa sera mbovu za Ufaransa barani Afrika

    Times: Mapinduzi ya Niger yameonyesha kushindwa kwa sera mbovu za Ufaransa barani Afrika

    Aug 08, 2023 15:15

    Gazeti la Times linalochapishwa nchini Uingereza limekosoa kile lilichoeleza kuwa ni sera za "kutapatapa" za Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, katika makoloni ya zamani ya Ufaransa barani Afrika.

  • Mali yaonya kuhusu 'maafa' ECOWAS ikiishambulia kijeshi Niger

    Mali yaonya kuhusu 'maafa' ECOWAS ikiishambulia kijeshi Niger

    Aug 08, 2023 07:41

    Uingiliaji wa kijeshi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) nchini Niger kwa ajili ya kumrejesha madarakani Rais Mohamed Bazoum aliyepinduliwa Julai 26 unaweza kuibua maafa na maangamivu makubwa.

  • Changamoto ya nishati na vita vya kuwania madaraka nchini Niger

    Changamoto ya nishati na vita vya kuwania madaraka nchini Niger

    Aug 07, 2023 12:59

    Licha ya kumalizika muda uliowekwa na ECOWAS kwa baraza la kijeshi la Niger kuhusu kukabidhi madaraka, lakini hakuna ishara zozote zinazoonesha kuwa jumuiya hiyo ya kiuchumi ya magharibi mwa Afrika iko tayari kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya wanajeshi waliofanya mapinduzi nchini humo.

  • Russia yatahadharisha kuhusu uingiliaji kijeshi huko Niger

    Russia yatahadharisha kuhusu uingiliaji kijeshi huko Niger

    Aug 06, 2023 10:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetahadharisha kuhusu hatua yoyote ya kuingia kijeshi nchini Niger.

  • Algeria: Hatuungi mkono uingiliaji wa kijeshi nchini Niger

    Algeria: Hatuungi mkono uingiliaji wa kijeshi nchini Niger

    Aug 06, 2023 07:15

    Algeria imepinga vikali mpango wa kuingia kijeshi nchini Niger, kwa lengo la kuhitimisha mapinduzi ya kijeshi ya mwishoni mwa mwezi uliopita, yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS