-
Times: Mapinduzi ya Niger yameonyesha kushindwa kwa sera mbovu za Ufaransa barani Afrika
Aug 08, 2023 11:45Gazeti la Times linalochapishwa nchini Uingereza limekosoa kile lilichoeleza kuwa ni sera za "kutapatapa" za Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, katika makoloni ya zamani ya Ufaransa barani Afrika.
-
Mali yaonya kuhusu 'maafa' ECOWAS ikiishambulia kijeshi Niger
Aug 08, 2023 04:11Uingiliaji wa kijeshi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) nchini Niger kwa ajili ya kumrejesha madarakani Rais Mohamed Bazoum aliyepinduliwa Julai 26 unaweza kuibua maafa na maangamivu makubwa.
-
Changamoto ya nishati na vita vya kuwania madaraka nchini Niger
Aug 07, 2023 09:29Licha ya kumalizika muda uliowekwa na ECOWAS kwa baraza la kijeshi la Niger kuhusu kukabidhi madaraka, lakini hakuna ishara zozote zinazoonesha kuwa jumuiya hiyo ya kiuchumi ya magharibi mwa Afrika iko tayari kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya wanajeshi waliofanya mapinduzi nchini humo.
-
Russia yatahadharisha kuhusu uingiliaji kijeshi huko Niger
Aug 06, 2023 07:06Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetahadharisha kuhusu hatua yoyote ya kuingia kijeshi nchini Niger.
-
Algeria: Hatuungi mkono uingiliaji wa kijeshi nchini Niger
Aug 06, 2023 03:45Algeria imepinga vikali mpango wa kuingia kijeshi nchini Niger, kwa lengo la kuhitimisha mapinduzi ya kijeshi ya mwishoni mwa mwezi uliopita, yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum.
-
Waziri Mkuu aliyepinduliwa Niger ataka mazungumzo kuhitimisha mapinduzi
Aug 05, 2023 23:58Huku baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zikijiandaa kuingia kijeshi nchini Niger 'kurejesha' utawala wa kikatiba, Waziri Mkuu wa nchi hiyo aliyepinduliwa pamoja na serikali ya Rais Mohamed Bazoum wa nchi hiyo ametoa mwito wa kufanyika mazungumzo ili kuhitimisha mzozo huo.
-
Mgogoro wa Mapinduzi ya Kijeshi nchini Niger
Aug 05, 2023 04:53Mgogoro wa kisiasa uliosababishwa na mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini Niger umeendelea kutawala habari za eneo la Magharibi mwa Afrika.
-
Ujumbe wa ECOWAS waondoka Niger bila kukutana na kiongozi wa mapinduzi
Aug 04, 2023 08:39Ujumbe wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) umeondoka katika mji mkuu wa Niger, Niamey bila kukutana na kiongozi wa mapinduzi, Jenerali Abdourahmane Tchiani, huku rais aliyeondolewa madarakani, Mohamed Bazoum akitoa wito kwa jamii ya kimataifa kusaidia kurejesha utawala wa kikatiba.
-
Niger yasimamisha matangazo ya France 24 na RFI
Aug 04, 2023 04:37Serikali ya mpito ya kijeshi ya Niger imetangaza kusitisha nchini humo matangazo na shughuli za redio ya Kifaransa ya RFI na televisheni ya France 24 zinazofadhiliwa na serikali ya Ufaransa.
-
Maelfu waandamana Niger wakitaka kufukuzwa askari wa US, Ufaransa
Aug 03, 2023 23:27Maelfu ya wananchi wa Niger wamefanya maandamano katika mji mkuu Niamey, wakitaka kufukuzwa nchini humo mara moja wanajeshi wa Marekani na Ufaransa.