Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu 10 wauawa katika shambulizi la Boko Haram, Maiduguri Nigeria

    Watu 10 wauawa katika shambulizi la Boko Haram, Maiduguri Nigeria

    Sep 08, 2020 03:19

    Watu wasiopungua 10 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram huko kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Sayyid Raisi: Kushambuliwa Waislamu wanaoomboleza mauaji ya Imam Husain AS nchini Nigeria ni kinyume cha katiba

    Sayyid Raisi: Kushambuliwa Waislamu wanaoomboleza mauaji ya Imam Husain AS nchini Nigeria ni kinyume cha katiba

    Aug 31, 2020 09:02

    Mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha wanajeshi wa Nigeria cha kuwashambulia Waislamu waliokuwa kwenye maomboleza ya Imam Husain AS na kusema kuwa kitendo hicho ni kinyume na katiba na kinakinzana na uhuru wa kila mtu kuwa na itikadi anayotaka.

  • Askari usalama washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura nchini Nigeria

    Askari usalama washambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura nchini Nigeria

    Aug 30, 2020 22:05

    Askari usalama nchini Nigeria jana viliwashambulia waombolezaji katika kumbukumbu ya Ashura na kuwajeruhi kadhaa miongoni mwao.

  • Waislamu watatu wauliwa shahidi kaskazini mwa Nigeria katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Waislamu watatu wauliwa shahidi kaskazini mwa Nigeria katika maombolezo ya Imam Hussein AS

    Aug 30, 2020 03:25

    Waislamu watatu wameuliwa shahidi katika mji wa Kaduna kaskazini mwa Nigeria katika shambulio lililofanywa na vikosi vya usalama dhidi ya washiriki wa maombolezo ya Imam Hussein AS.

  • Watu 75 wauawa katika shambulio la usiku mmoja la Boko Haram mashariki ya Nigeria

    Watu 75 wauawa katika shambulio la usiku mmoja la Boko Haram mashariki ya Nigeria

    Aug 27, 2020 06:24

    Afisa mmoja wa Nigeria amesema, watu 75 wameuliwa katika usiku mmoja baada ya magaidi wa kundi la ukufurishaji la Boko Haram kushambulia eneo la Gwoza katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

  • Harakati ya IMN yataka kufanyike uchunguzi kuhusu mashambulizi dhidi ya waomboleza wa Muharram, Nigeria

    Harakati ya IMN yataka kufanyike uchunguzi kuhusu mashambulizi dhidi ya waomboleza wa Muharram, Nigeria

    Aug 26, 2020 03:45

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu shambulizi lililofanywa na polisi ya nchi hiyo dhidi ya Waislamu waliokuwa katika shughuli ya kidini ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) katika jimbo la Kaduna.

  • Jeshi la Nigeria laua Waislamu wakimuomboleza Imam Hussein AS

    Jeshi la Nigeria laua Waislamu wakimuomboleza Imam Hussein AS

    Aug 23, 2020 03:29

    Wanajeshi wa Nigeria wamewashambulia Waislamu waliokuwa wamekusanyika kwa ajili ya maombolezo ya Muharram ya Imam Hussein AS, katika jimbo la Kaduna.

  • Nigeria yatishia kuwapiga marufuhu raia wa nchi zinazowazuia Wanigeria kuingia

    Nigeria yatishia kuwapiga marufuhu raia wa nchi zinazowazuia Wanigeria kuingia

    Aug 22, 2020 03:12

    Serikali ya Nigeria imetishia kuwapiga marufuku kuingia nchini humo raia wa nchi ambazo zinawazuia Wanigeria kuingia katika nchi hizo kutokana na janga la corona. Hayo yalisemwa jana na Waziri wa usafiri wa anga wa Nigeria, Hadi Sirika.

  • Genge la kigadi la ISWAP lashikilia mateka mamia ya watu kaskazini mwa Nigeria

    Genge la kigadi la ISWAP lashikilia mateka mamia ya watu kaskazini mwa Nigeria

    Aug 20, 2020 02:31

    Magaidi wa genge linalojiita Dola la Kiislamu la Mkoa wa Afrika Magharibi (The Islamic State West Africa Province) kwa kifupi ISWAP wanawashikilia mateka mamia ya raia wa mji wa Kukawa ulioko katika jimbo Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Wafuasi wa Sheikh Zakzaky waandamana Abuja wakitaka kuachiliwa huru kiongozi wao

    Wafuasi wa Sheikh Zakzaky waandamana Abuja wakitaka kuachiliwa huru kiongozi wao

    Aug 13, 2020 03:41

    Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu Abuja wakilalamikia kuendelea kushikiliwa kizuizini kiongozi wao pamoja na mkewe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS