Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Askari 10 wa Nigeria wauawa katika mashambulizi ya kigaidi

    Askari 10 wa Nigeria wauawa katika mashambulizi ya kigaidi

    Jul 14, 2020 03:29

    Duru za kiusalama nchini Nigeria zimetangaza habari ya kuuawa wanajeshi kumi wa nchi hiyo katika mashambulizi mawili tofauti ya kigaidi kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Wanajeshi 35 wa Nigeria  wauawa katika shambulio la kundi la Boko Haram

    Wanajeshi 35 wa Nigeria wauawa katika shambulio la kundi la Boko Haram

    Jul 10, 2020 07:17

    Maafisa usalama nchini Nigeria wametangaza kuwa, idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo waliouawa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram katika mji wa Maiduguri wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyo imeongezeka na kufikia 35.

  • Wanajeshi 23 wa Nigeria  wauawa katika shambulio la Boko Haram

    Wanajeshi 23 wa Nigeria wauawa katika shambulio la Boko Haram

    Jul 09, 2020 03:09

    Maafisa usalama nchini Nigeria wametangaza kuwa, wanajeshi 23 wa nchi hiyo wameuawa kufuatia shambulio la kundi la kigaidi la Boko Haram katika mji wa Maiduguri wa kaskazini madhariki mwa nchi hiyo.

  • Wafuasi wa Sheikh Zakzaky waandamana tena wakitaka kuachiwa huru kiongozi wao

    Wafuasi wa Sheikh Zakzaky waandamana tena wakitaka kuachiwa huru kiongozi wao

    Jul 08, 2020 03:45

    Wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja wakitangaza uungaji mkono wao kwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa harakati hiyo ambaye anaendelea kushikiliwa kizuizini licha ya hali yake mbaya ya afya.

  • Jeshi la Nigeria liliua wanachama 75 wa Boko Haram mwezi Juni

    Jeshi la Nigeria liliua wanachama 75 wa Boko Haram mwezi Juni

    Jul 05, 2020 22:59

    Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuuawa wanachama 75 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika operesheni 17 zilizofanyika baina ya Juni Mosi na Juni 30 mwaka huu.

  • Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria

    Makumi ya wapiganaji wa Boko Haram wauliwa katika shambulizi la jeshi, Nigeria

    Jun 27, 2020 22:07

    Makumi ya wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameuawa katika shambulizi lililofanywa na jeshi la taifa la Nigeria dhidi ya ngome za kundi hilo huko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa

    Jeshi la Nigeria lashambulia ngome muhimu ya Boko Haram, laua kadhaa

    Jun 20, 2020 02:56

    Kituo cha Kamandi ya kuendeshea operesheni za kundi la kigaidi la Boko Haram kimeharibiwa na kusambaratishwa kikamilifu katika mashambulizi kadhaa ya anga yaliyofanywa na jeshi la Nigeria, huko kaskazini mwa nchi.

  • Watu 10 wauawa katika shambulizi la silaha nchini Nigeria

    Watu 10 wauawa katika shambulizi la silaha nchini Nigeria

    Jun 16, 2020 03:42

    Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia vijiji katika jimbo la Benue, kaskazini mwa Nigeria.

  • Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Jun 14, 2020 02:34

    Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Jun 10, 2020 03:31

    Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS