Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu 10 wauawa katika shambulizi la silaha nchini Nigeria

    Watu 10 wauawa katika shambulizi la silaha nchini Nigeria

    Jun 16, 2020 03:42

    Kwa akali watu 10 wamepoteza maisha baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia vijiji katika jimbo la Benue, kaskazini mwa Nigeria.

  • Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Raia 40, wanajeshi 20 wauawa katika hujuma nchini Nigeria

    Jun 14, 2020 02:34

    Raia zaidi ya 40 na wanajeshi wasiopungua 20 wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Watu 69 wauawa na wanagambo wa Boko Haram Nigeria

    Jun 10, 2020 03:31

    Watu 69 wameauwa katika shambulio lililofanywa na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Nigeria yalegeza sheria za kudhibiti corona, yafungua misikiti

    Nigeria yalegeza sheria za kudhibiti corona, yafungua misikiti

    Jun 06, 2020 03:32

    Nigeria imeanza kuondoa zuio na kulegeza sheria kali ilizokuwa imeweka kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Covid-19 ulioua mamia ya watu nchi humo.

  • Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria

    Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria

    Jun 02, 2020 23:26

    Miji mikuu ya Kenya na Nigeria jana ilishuhudia maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na mauaji ya George Floyd, raia wa Marekani mwenye asili ya Afrika aliyeuliwa kikatili na polisi mmoja mzungu katika mji wa Minneapolis, katika jimbo la Minnesota nchini Marekani wiki iliyopita.

  • Genge la wabeba silaha laua 18 Nigeria, laiba maelfu ya mifugo

    Genge la wabeba silaha laua 18 Nigeria, laiba maelfu ya mifugo

    Jun 01, 2020 05:52

    Genge la watu waliojizatiti kwa silaha limeshambulia kijiji kimoja huko kaskazini magharibi mwa Nigeria na kuua watu 18 mbali na kuiba maelfu ya mifugo ya wakazi wa kijiji hicho.

  • Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa

    Watu 241 waliotekwa nyara na Boko Haram Nigeria wanusuriwa

    May 29, 2020 23:12

    Jeshi la Nigeria limewaokoa watu 241 waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Washambuliaji wapanda-pikipiki wenye silaha waua watu 60 kaskazini mwa Nigeria

    Washambuliaji wapanda-pikipiki wenye silaha waua watu 60 kaskazini mwa Nigeria

    May 29, 2020 06:49

    Watu 60 Wameuawa na wengine wengi wamejeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na kundi la wapanda pikipiki wenye silaha kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza makumi ya magaidi kaskazini mwa nchi

    Jeshi la Nigeria laangamiza makumi ya magaidi kaskazini mwa nchi

    May 24, 2020 06:50

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Nigeria amesema wanajeshi wa nchi hiyo wamefanikiwa kuua wanachama 135 wa magenge ya kigaidi katika majimbo ya Zamfara na Katsina kaskazini magharibi mwa nchi.

  • Naibu wa Sheikh Zakzaky: Kadhia ya Palestina ni ya kidini, kiutu na kiakhlaqi kwa bara Afrika

    Naibu wa Sheikh Zakzaky: Kadhia ya Palestina ni ya kidini, kiutu na kiakhlaqi kwa bara Afrika

    May 18, 2020 22:55

    Naibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria amesema kadhia ya Palestina si tu suala la kidini, bali pia ni suala la kiutu na kiakhlaqi kwa mataifa ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS