-
Jeshi la Nigeria lawakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na Boko Haram
May 14, 2020 06:38Jeshi la Nigeria limefanikiwa kuwakomboa raia 72 waliokuwa wakishikiliwa mateka na kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno.
-
Wanamgambo 89 wauawa Nigeria, mateka 5 wanusuriwa
Apr 26, 2020 03:29Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaangamiza makumi ya wanamgambo katika operesheni iliyofanyika katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Nigeria: Watu 47 wauawa na 'majambazi' katika jimbo la Katsina
Apr 20, 2020 07:19Vyombo vya usalama nchini Nigeria vimetangaza kuwa, kwa akali watu 47 wameuawa katika shambulio la majambazi wenye silaha dhidi ya vijiji kadhaa katika jimbo la Katsina, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
-
18 wauawa na askari wanaotekeleza sheria za kudhibiti Corona Nigeria
Apr 16, 2020 23:57Kwa akali watu 18 wameuawa na maafisa usalama nchini Nigeria, waliokuwa katika operesheni za kuteleza sheria za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Nigeria yatakiwa kumwachia huru Sheikh Zakzaky wakati huu wa corona
Apr 11, 2020 06:45Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imetoa mwito wa kuachiwa huru kiongozi wake, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayekabiliwa na hatari ya kuambukizwa virusi vya corona akiwa kizuzini.
-
Watu 29 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria
Apr 04, 2020 03:19Kwa akali watu 29 wameuawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria
Mar 28, 2020 07:40Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa kwa akali wanachama 100 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni dhidi ya ugaidi iliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo.
-
Shambulio la kigaidi laua wanajeshi 70 kaskazini mwa Nigeria
Mar 24, 2020 10:14Askari wasiopungua 70 wa jeshi la Nigeria wameuawa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jimbo la Borno kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria
Mar 20, 2020 08:55Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imethibitisha habari za kuangamizwa makamanda wa ngazi za juu na wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.
-
Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona
Mar 20, 2020 08:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa njia ya simu na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Kenya, Nigeria na Bulgaria juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona unaoendelea kuzisumbua nchi mbali mbali duniani.