-
Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria
Mar 16, 2020 04:37Mlipuko wa bomba la gesi uliotokea katika mji mkuu wa kibiashara wa Lagos nchini Nigeria umepelekea kwa uchache watu 15 kuaga dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
50 wauawa katika shambulio la watu waliobeba silaha Nigeria
Mar 02, 2020 23:53Watu wasiopungua 50 wameuawa baada ya genge la watu waliobeba silaha kushambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
-
Kirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika
Feb 28, 2020 04:49Mtu wa kwanza aliye na kirusi cha corona katika eneo la chini ya jangwa la Sahara Magharibi mwa Afrika amegunduliwa nchini Nigeria.
-
Polisi Nigeria wampiga risasi na kumuua shahidi kijana mdogo kwa sababu ya kumuunga mkono Sheikh Zakzaky
Feb 27, 2020 23:50Askari Polisi wa Nigeria wamemuua shahidi kijana mdogo wa miaka 15 kwa sababu ya kushiriki katika maandamano ya amani ya kuonyesha uungaji mkono kwa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Mahakama ya Kaduna yawaondoa hatiani wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria
Feb 23, 2020 10:26Mahakama Kuu katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria imewafutia tuhuma zilizokuwa zikiwakabili wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN).
-
Lassa yaingia Lagos, idadi ya waliokufa kwa homa hiyo Nigeria yapindikua 100
Feb 20, 2020 23:12Kesi ya kwanza ya mlipuko wa homa ya Lassa imethibitishwa katika mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria, Lagos huku idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa huo nchini humo ikiongezeka.
-
Makundi yenye silaha yaendelea kumwaga damu Nigeria
Feb 18, 2020 04:35Watu waliojizatiti kwa silaha wameshambulia jimbo la Delta kusini mwa Nigeria na kuua watu 10. Mashuhuda wanasema waliotekeleza ukatili huo walikuwa wamevalia magwanda ya kijeshi.
-
Makumi wauawa katika hujuma ya wabeba silaha Nigeria
Feb 16, 2020 00:07Makumi ya watu wameuawa katika shambulizi la watu waliojizatiti kwa silaha katika jimbo la Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
Radiamali za nchi zilizowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani
Feb 02, 2020 04:04Serikali ya Eritrea imekosoa vikali hatua ya Washington ya kuwawekea vizingiti raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wanaotaka kwenda Marekani ikisisitiza kuwa, vikwazo hivyo vya usafiri havikubaliki.
-
Homa ya Lassa yaua watu 41 nchini Nigeria
Jan 30, 2020 03:41Kituo Kudhibiti Magonjwa ya Kuambukiza nchini Nigeria (NCDC) kimetangaza habari ya kufariki dunia watu 41 kutokana na kuzuka wimbi jipya la homa ya Lassa nchini humo.