Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • 18 wauawa na askari wanaotekeleza sheria za kudhibiti Corona Nigeria

    18 wauawa na askari wanaotekeleza sheria za kudhibiti Corona Nigeria

    Apr 16, 2020 23:57

    Kwa akali watu 18 wameuawa na maafisa usalama nchini Nigeria, waliokuwa katika operesheni za kuteleza sheria za kudhibiti maambukizi ya virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.

  • Nigeria yatakiwa kumwachia huru Sheikh Zakzaky wakati huu wa corona

    Nigeria yatakiwa kumwachia huru Sheikh Zakzaky wakati huu wa corona

    Apr 11, 2020 06:45

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) imetoa mwito wa kuachiwa huru kiongozi wake, Sheikh Ibrahim Zakzaky anayekabiliwa na hatari ya kuambukizwa virusi vya corona akiwa kizuzini.

  • Watu 29 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Watu 29 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria

    Apr 04, 2020 03:19

    Kwa akali watu 29 wameuawa katika shambulio la kigaidi nchini Nigeria na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria

    Wanachama 100 wa Boko Haram waangamizwa nchini Nigeria

    Mar 28, 2020 07:40

    Serikali ya Nigeria imetangaza kuwa kwa akali wanachama 100 wa kundi la kigaidi la Boko Haram wameangamizwa katika operesheni dhidi ya ugaidi iliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo.

  • Shambulio la kigaidi laua wanajeshi 70 kaskazini mwa Nigeria

    Shambulio la kigaidi laua wanajeshi 70 kaskazini mwa Nigeria

    Mar 24, 2020 10:14

    Askari wasiopungua 70 wa jeshi la Nigeria wameuawa katika shambulio la kigaidi lililotokea katika jimbo la Borno kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria

    Makamanda na wanachama wa Boko Haram wauawa katika hujuma za anga Nigeria

    Mar 20, 2020 08:55

    Wizara ya Ulinzi ya Nigeria imethibitisha habari za kuangamizwa makamanda wa ngazi za juu na wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi.

  • Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona

    Zarif azungumza na mawaziri wenzake wa Kenya na Nigeria kuhusu Corona

    Mar 20, 2020 08:42

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kwa njia ya simu na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Kenya, Nigeria na Bulgaria juu ya mlipuko wa ugonjwa wa Corona unaoendelea kuzisumbua nchi mbali mbali duniani.

  • Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria

    Watu 15 wauawa katika mlipuko wa bomba la gesi Lagos Nigeria

    Mar 16, 2020 04:37

    Mlipuko wa bomba la gesi uliotokea katika mji mkuu wa kibiashara wa Lagos nchini Nigeria umepelekea kwa uchache watu 15 kuaga dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa.

  • 50 wauawa katika shambulio la watu waliobeba silaha Nigeria

    50 wauawa katika shambulio la watu waliobeba silaha Nigeria

    Mar 02, 2020 23:53

    Watu wasiopungua 50 wameuawa baada ya genge la watu waliobeba silaha kushambulia vijiji kadhaa katika jimbo la Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.

  • Kirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika

    Kirusi cha corona chazidi kusambaa duniani kwa kutia mguu Magharibi mwa Afrika

    Feb 28, 2020 04:49

    Mtu wa kwanza aliye na kirusi cha corona katika eneo la chini ya jangwa la Sahara Magharibi mwa Afrika amegunduliwa nchini Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS