Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Polisi Nigeria wampiga risasi na kumuua shahidi kijana mdogo kwa sababu ya kumuunga mkono Sheikh Zakzaky

    Polisi Nigeria wampiga risasi na kumuua shahidi kijana mdogo kwa sababu ya kumuunga mkono Sheikh Zakzaky

    Feb 27, 2020 23:50

    Askari Polisi wa Nigeria wamemuua shahidi kijana mdogo wa miaka 15 kwa sababu ya kushiriki katika maandamano ya amani ya kuonyesha uungaji mkono kwa kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Mahakama ya Kaduna yawaondoa hatiani wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Mahakama ya Kaduna yawaondoa hatiani wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria

    Feb 23, 2020 10:26

    Mahakama Kuu katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria imewafutia tuhuma zilizokuwa zikiwakabili wanachama 91 wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN).

  • Lassa yaingia Lagos, idadi ya waliokufa kwa homa hiyo Nigeria yapindikua 100

    Lassa yaingia Lagos, idadi ya waliokufa kwa homa hiyo Nigeria yapindikua 100

    Feb 20, 2020 23:12

    Kesi ya kwanza ya mlipuko wa homa ya Lassa imethibitishwa katika mji mkuu wa kibiashara wa Nigeria, Lagos huku idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na ugonjwa huo nchini humo ikiongezeka.

  • Makundi yenye silaha yaendelea kumwaga damu Nigeria

    Makundi yenye silaha yaendelea kumwaga damu Nigeria

    Feb 18, 2020 04:35

    Watu waliojizatiti kwa silaha wameshambulia jimbo la Delta kusini mwa Nigeria na kuua watu 10. Mashuhuda wanasema waliotekeleza ukatili huo walikuwa wamevalia magwanda ya kijeshi.

  • Makumi wauawa katika hujuma ya wabeba silaha Nigeria

    Makumi wauawa katika hujuma ya wabeba silaha Nigeria

    Feb 16, 2020 00:07

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulizi la watu waliojizatiti kwa silaha katika jimbo la Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Radiamali za nchi zilizowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Radiamali za nchi zilizowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Feb 02, 2020 04:04

    Serikali ya Eritrea imekosoa vikali hatua ya Washington ya kuwawekea vizingiti raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika wanaotaka kwenda Marekani ikisisitiza kuwa, vikwazo hivyo vya usafiri havikubaliki.

  • Homa ya Lassa yaua watu 41 nchini Nigeria

    Homa ya Lassa yaua watu 41 nchini Nigeria

    Jan 30, 2020 03:41

    Kituo Kudhibiti Magonjwa ya Kuambukiza nchini Nigeria (NCDC) kimetangaza habari ya kufariki dunia watu 41 kutokana na kuzuka wimbi jipya la homa ya Lassa nchini humo.

  • Mfuasi wa Sheikh Zakzaky auawa na polisi katika maandamano Abuja

    Mfuasi wa Sheikh Zakzaky auawa na polisi katika maandamano Abuja

    Jan 22, 2020 08:40

    Vikosi vya usalama nchini Nigeria vimemuua kwa kumpiga risasi mfuasi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria katika maandamano ya kulalamikia kuendelea kushikiliwa gerezani kiongozi wa harakati hiyo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Jan 22, 2020 08:37

    Marekani ina mpango wa kuziongeza nchi nyingine saba zikiwemo Tanzania na Nigeria kwenye orodha ya nchi ambazo raia wake wanatarajiwa kuwekewa vikwazo na vizingiti vya kuingia nchini humo.

  • Sheikh Zakzaky na dhulma za kimyakimya dhidi ya Waislamu wa Nigeria

    Sheikh Zakzaky na dhulma za kimyakimya dhidi ya Waislamu wa Nigeria

    Jan 13, 2020 10:26

    Nigeria ina historia ya ukandamizaji wa harakati za Kiislamu. Ukatili, mauaji na ukandamizaji wa harakati za Kiislamu nchini Nigeria vilishadidi zaidi mwaka 2011.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS