Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu 11 watekwa nyara kaskazini mwa Cameroon

    Watu 11 watekwa nyara kaskazini mwa Cameroon

    Aug 23, 2019 02:27

    Wanamgambo wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Boko haram wamewateka nyara watu 11 katika eneo moja la kaskazini mwa Cameroon.

  • Watu 16 wauawa katika mashambulio dhidi ya vijiji kadhaa nchini Nigeria

    Watu 16 wauawa katika mashambulio dhidi ya vijiji kadhaa nchini Nigeria

    Aug 21, 2019 03:21

    Watu wasiopungua 16 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kushambulia vijiji kadhaa katiika jimbo la Katsina kaskazini mwa Nigeria.

  • Waislamu waandamana Abuja, Nigeria wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Waislamu waandamana Abuja, Nigeria wakitaka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Aug 20, 2019 22:21

    Waislamu katika mji wa Abuja nchini Nigeria wameandamana wakitaka kuachwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo.

  • Serikali ya Nigeria yaendeleza njama dhidi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo

    Serikali ya Nigeria yaendeleza njama dhidi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo

    Aug 20, 2019 07:38

    Askari usalama wa Nigeria wameendeleza vitimbi na njama zao dhidi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky na kumpeleka mahala pasipojulikana.

  • Njama ya serikali ya Nigeria; safari ya kitiba ya Sheikh Zakzaky yakatizwa

    Njama ya serikali ya Nigeria; safari ya kitiba ya Sheikh Zakzaky yakatizwa

    Aug 17, 2019 06:41

    Katika hali ambayo Waislamu wa Nigeria walikuwa na matumaini makubwa ya kutibiwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakayi ya Kiislamu ya Nigeria huko India, serikali ya Niigeria imetoa mashinikizo na kumlazimu sheikh huyo na mkewe kurea mjini Abuja.

  • Serikali ya Nigeria inajaribu kumuua Sheikh Zakzaky

    Serikali ya Nigeria inajaribu kumuua Sheikh Zakzaky

    Aug 16, 2019 02:33

    Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria imetangaza kuwa, serikali ya nchi hiyo inajaribu kumuua kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kwenda India; matunda ya juhudi za Waislamu wa Nigeria

    Kuruhusiwa Sheikh Zakzaky kwenda India; matunda ya juhudi za Waislamu wa Nigeria

    Aug 13, 2019 07:09

    Hatimaye juhudi za Waislamu wa Nigeria zimezaa matunda baada ya mahakama nchini Nigeria kuruhusu Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo asafiri kuelekea nchini India kwa ajili ya matibabu.

  • Madaktari wa nchi 7 waiandikia barua serikali ya Nigeria, wataka Sheikh Zakzaky apewe matibabu

    Madaktari wa nchi 7 waiandikia barua serikali ya Nigeria, wataka Sheikh Zakzaky apewe matibabu

    Aug 11, 2019 22:14

    Makumi ya madaktari kutoka nchi 7 duniani wameiandikia barua serikali ya Nigeria wakikumbusha hali mbaya ya kiafya ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky na kutaka apewe matibabu haraka iwezakanavyo.

  • Serikali ya Nigeria yaweka masharti mapya ya kuachiwa Sheikh Zakzaky kwa ajili ya matibabu

    Serikali ya Nigeria yaweka masharti mapya ya kuachiwa Sheikh Zakzaky kwa ajili ya matibabu

    Aug 09, 2019 02:48

    Serikali ya Nigeria imetangaza masharti mapya kwa ajili ya kutoa ruhusa ya safari kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky na mkewe kwenda nje ya nchi kwa ajili ya matibabu.

  • Save the Children: Zaidi ya watoto 500 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola huko DRC

    Save the Children: Zaidi ya watoto 500 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola huko DRC

    Aug 08, 2019 03:43

    Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Watoto la Save the Children limetangaza kuwa, zaidi ya watoto 500 wamekufa kwa maradhi ya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, tangu ugonjwa huo ulipoanza kushuhudiwa nchini humo mwaka mmoja uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS