-
UN: Thuluthi moja ya Wasudan wanakabiliwa na njaa
Jun 17, 2022 11:22Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema zaidi ya asilimia 30 ya wananchi wa Sudan wanasumbuliwa na mgogoro mkubwa wa chakula uliosababishwa na mabadiliko ya tabianchi, mzozo wa kisiasa na kupanda bei za chakula katika soko la dunia.
-
Watu 200,000 wapo katika hatari ya kufa njaa nchini Somalia
Jun 07, 2022 08:02Taasisi za Umoja wa Mataifa zimesema karibu robo milioni ya wananchi wa Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na baa la njaa lililosababishwa na ukame na mfumko wa bei za bidhaa kote duniani.
-
Kuongezeka idadi ya watu wanaokabiliwa na baa la njaa duniani kufuatia vita vya Ukraine
May 11, 2022 02:39Baa la njaa limegeuka na kuwa tatizo kubwa linaoukabili ulimwengu katika hali ya hivi sasa.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro mkubwa wa chakula Afrika
May 08, 2022 02:43Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa kupanda pakubwa bei ya chakula na mafuta kutokana na vita vya Ukraine, kumeibua mgogoro mkubwa wa chakula barani Afrika ambao haujawahi kushuhudiwa.
-
UN: Idadi ya watu walio katika hatari ya njaa duniani inaongezeka
May 05, 2022 02:20Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa idadi ya watu walio katika hatari ya njaa duniani inaongezeka.
-
UN: Kiwango cha njaa nchini Yemen kuongezeka mara tano mwaka huu
Mar 15, 2022 08:15Umoja wa Mataifa unatabiri kuwa kiwango cha njaa kali nchini Yemen kitaongezeka mara tano katika mwaka huu 2022 kutokana na kuzorota kwa hali ya kibinadamu nchini Yemen.
-
UNICEF: Mamilioni ya watoto wa Yemen katika hatari ya kufa njaa
Mar 12, 2022 12:44Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, mamilioni ya watoto wa Yemen wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na kusakamwa na njaa, huku muungano wa kivita unaoongozwa na Saudi Arabia ukiendelea kufanya mashambulizi na kuliwekea mzingiro wa kila upande taifa hilo maskini la Kiarabu.
-
Mama na wanawe wawili wafa njaa nchini Somalia
Feb 14, 2022 03:11Mwanamke mmoja na watoto wake wawili wameaga dunia kutokana na makali ya njaa na kiu huko kusini magharibi mwa Somalia.
-
Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya eneo la Pembe ya Afrika
Feb 10, 2022 02:57Huku mizozo ya kisiasa na kijamii ikiendelea katika ukanda wa Afrika Mashariki, nchi nyingi za kanda hiyo zinakabiliwa na ukame mkubwa; na ambamba na hayo Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa ukame umesababisha takriban watu milioni 13 katika Pembe ya Afrika kukumbwa na njaa.
-
Zaidi ya Wazayuni milioni mbili na laki 5 wanaishi chini ya mstari wa umaskini
Dec 22, 2021 07:33Taasisi za misaada za utawala wa Kizayuni zimetoa ripoti mpya na kusema kuwa, Wazayuni milioni 2 na laki 5 na 40,000 wanaishi chini ya mstari wa umaskini.