Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

onyo

  • Hamas yatoa indhari kwa utawala haramu wa Kizayuni

    Hamas yatoa indhari kwa utawala haramu wa Kizayuni

    Oct 21, 2018 23:18

    Mshauri wa masuala ya habari wa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameutahadharisha utawala wa Kizayuni dhidi ya kutenda jinai ya aina yoyote dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Indhari ya jamii ya kimataifa kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea vita na mzingiro dhidi ya Yemen

    Indhari ya jamii ya kimataifa kuhusu matokeo mabaya ya kuendelea vita na mzingiro dhidi ya Yemen

    Oct 16, 2018 14:38

    Baada ya kupita miezi kadhaa ya kuzingirwa kila upande Yemen na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia, sasa kumeibuka wasiwasi mkubwa wa kushadidi hali mbaya ya kibinadamu hasa baada ya asasi mbalimbali za kimataifa kutoa indhari kuhusiana na suala hilo.

  • Katibu Mkuu wa Jihad al-Islami auonya utawala haramu wa Israel

    Katibu Mkuu wa Jihad al-Islami auonya utawala haramu wa Israel

    Oct 07, 2018 02:27

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina ameonya kwamba, mapambano na muqawama una uwezo wa kuvifanya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko jirani na Ghaza visiwe kukalika.

  • Iran yatoa onyo kali kwa watawala mafashisti wa Israel

    Iran yatoa onyo kali kwa watawala mafashisti wa Israel

    Oct 06, 2018 08:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amewatahadharisha viongozi wabaguzi, maghururi na wasio na mantiki wala adabu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu athari mbaya za lugha yao chafu, isiyo na mantili na vilevile fikra zao kuhusiana na taifa kubwa la Iran.

  • Korea Kaskazini na China zatoa onyo kwa Marekani na Japan kwa kufanya pamoja maneva ya majeshi ya anga na baharini

    Korea Kaskazini na China zatoa onyo kwa Marekani na Japan kwa kufanya pamoja maneva ya majeshi ya anga na baharini

    Sep 30, 2018 01:26

    Huku maneva ya kijeshi ya pamoja kati ya Japan na nchi za Magharibi yanayoyashirikisha majeshi ya anga na baharini yakiendelea, serikali za Korea Kaskazini na China zimetoa onyo kali na kuItaja Luteka hiyo kuwa ni hatari kubwa kwa ajili ya usalama na amani ya maeneo ya mashariki na kusini mwa Asia.

  • Askofu Mkuu wa New York: Kashfa za ngono zinavunja imani ya watu kwa kanisa Katoliki

    Askofu Mkuu wa New York: Kashfa za ngono zinavunja imani ya watu kwa kanisa Katoliki

    Sep 14, 2018 23:57

    Askofu Mkuu wa New York nchini Marekani amezungumzia kashfa kubwa ya vitendo vya kuwanajisi watoto katika kanisa Katoliki na kusema kuwa, hali hiyo itaondoa imani ya watu kwa taasisi hiyo ya kidini.

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya wimbi jipya la kipindupindu Yemen

    Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya wimbi jipya la kipindupindu Yemen

    Aug 31, 2018 14:07

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu uwezekano wa kuibuka tena wimbi jipya la maradhi ya kipindupindu nchini Yemen.

  • Korea Kaskazini yaionya Marekani kwa miamala yake mibaya katika mazungumzo

    Korea Kaskazini yaionya Marekani kwa miamala yake mibaya katika mazungumzo

    Aug 29, 2018 14:50

    Serikali ya Korea Kaskazini imewaonya viongozi wa Marekani juu ya uwezekano wa kuvunjika mazungumzo kati ya pande mbili, kufuatia hatua ya Washington ya kumzuia Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mike Pompeo kutembelea Pyongyang.

  • Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran

    Onyo la maafisa wa zamani wa kijasusi wa Marekani kuhusu nyaraka bandia za Netanyahu dhidi ya Iran

    Aug 07, 2018 06:15

    Israel ambayo inahesabiwa kuwa mmoja wa maadui wakubwa wa Iran katika eneo la Mashariki ya Kati daima inafanya njama na kueneza madai ya uongo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu hususan katika mradi wake wa amani wa nyuklia lengo lake kuu likiwa ni kutaka kupoteza imani ya jamii ya kimataifa na kuifanya ichukue hatua dhidi ya Iran.

  • Indhari za kimataifa; Yemen katika maafa ya kibinadamu

    Indhari za kimataifa; Yemen katika maafa ya kibinadamu

    Aug 05, 2018 02:30

    Kufuatia kushtadi mashambulizi ya vikosi vamizi vya Saudi Arabia na waitifaki wake huko Yemen, taasisi za misaada ya kibinadamu za kimataifa zimetahadharisha kuhusu kutokea maafa ya kibinadamu nchini humo khususan katika bandari iliyokumbwa na mgogoro ya al Hudaydah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS