Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Imran Khan asema ametishiwa tena kuuawa, arekodi mkanda wa video wa majina ya wahusika

    Imran Khan asema ametishiwa tena kuuawa, arekodi mkanda wa video wa majina ya wahusika

    May 15, 2022 08:00

    Waziri Mkuu wa Pakistan aliyeuzuliwa Imran Khan amesema, njama za kutishia maisha yake zinaendelea kufanywa ndani na nje ya nchi hiyo na kwamba amesharekodi mkanda wa video wenye majina ya watu wote wanaokula njama dhidi yake.

  • Shehbaz Sharif achaguliwa kuwa Waziri Mkuu Pakistan baada ya Khan kutimuliwa

    Shehbaz Sharif achaguliwa kuwa Waziri Mkuu Pakistan baada ya Khan kutimuliwa

    Apr 12, 2022 02:29

    Bunge la Pakistani limemchagua Shehbaz Sharif kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo baada ya mtangulizi wake, Imran Khan, kuondolewa na wabunge wengi wa chama chake kujiuzulu kutoka katika Bunge la Kitaifa.

  • Kwa mara ya kwanza katika historia: Bunge la Pakistan latoa nara ya

    Kwa mara ya kwanza katika historia: Bunge la Pakistan latoa nara ya "Mauti kwa Marekani"

    Apr 04, 2022 07:37

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya Bunge la Pakistan, wabunge wa nchi hiyo wametoa nara ya "Kifo kwa Marekani" huku bunge hilo likipinga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, iliyotaka kumuondoa madarakani Imran Khan, ambaye ameyatuhumu madola ya kigeni kuwa yanaingilia demokrasia ya nchi hiyo.

  • Bunge la Pakistan lazuia kuuzuliwa Imran Khan, lakosoa uingiliaji wa maajinabi

    Bunge la Pakistan lazuia kuuzuliwa Imran Khan, lakosoa uingiliaji wa maajinabi

    Apr 04, 2022 02:35

    Bunge la Pakistan limetupilia mbali mpango wa kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Imran Khan, likieleza kuwa limechukua hatua hiyo kutokana na uingiliaji wa madola ya kigeni kwenye mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Pakistan asema, Marekani inapanga njama ya kumuondoa madarakani

    Waziri Mkuu wa Pakistan asema, Marekani inapanga njama ya kumuondoa madarakani

    Apr 03, 2022 07:23

    Waziri Mkuu wa Pakistani, Imran Khan amedokeza kuwa huenda akakataa matokeo ya kura ya kumuondoa madarakani akieleza kuwa kura hiyo ni njama iliyoratibiwa na Marekani ambayo ameituhumu kwa kujaribu kupindua utawala wake.

  • Bunge la Pakistan kujadili muswada wa kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Imran Khan

    Bunge la Pakistan kujadili muswada wa kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Imran Khan

    Mar 30, 2022 02:59

    Wabunge wa upinzani nchini Pakistan wamewasilisha pendekezo la kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Imran Khan bungeni, wakitumai kuiondoa madarakani serikali yakke huku kukiwa na shutuma kwamba amesimamia vibaya uchumi wa taifa hilo.

  • Indhari ya Imran Khan kuhusu njama za madola ya kigeni za kuiondoa madarakani serikali ya Pakistan

    Indhari ya Imran Khan kuhusu njama za madola ya kigeni za kuiondoa madarakani serikali ya Pakistan

    Mar 30, 2022 02:19

    Waziri Mkuu wa Pakistan ametahadharisha kuhusu uingliaji wa nchi ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa lengo la kuiondoa madarakani serikali yake na kusisitiza kuwa hatasalimu amri mbele ya wapinzani wa ndani na njama za nchi kigeni.

  • Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu mjini Islamabad

    Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu mjini Islamabad

    Mar 23, 2022 10:46

    Mkutano wa 48 wa siku mbili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ulianza jana Jumanne mjini Islamabad, mji mkuu wa Pakistan.

  • Jumatano tarehe 23 Machi mwaka 2022

    Jumatano tarehe 23 Machi mwaka 2022

    Mar 23, 2022 02:45

    Leo ni Jumatato tarehe 20 Shaabani 1443 Hijria sawa na Machi 23 mwaka 2022.

  • Pakistan yasisitiza kuimarishwa hadhi ya kimataifa ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC)

    Pakistan yasisitiza kuimarishwa hadhi ya kimataifa ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC)

    Mar 22, 2022 12:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema katika hafla ya ufunguzi wa kikao cha 48 cha Baraza la Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kwamba: "Kuimarishwa na kutatua matatizo ya nchi zote wanachama ndilo lengo kuu la OIC."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS