Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • 'Makundi ya Lashkar-e-Jhangvi na Sipah-e-Sahaba ni wasaidizi wa ISIS nchini Pakistan'

    'Makundi ya Lashkar-e-Jhangvi na Sipah-e-Sahaba ni wasaidizi wa ISIS nchini Pakistan'

    Mar 21, 2017 00:17

    Katibu mkuu wa Baraza la Umoja wa Waislamu katika jimbo la Sindh nchini Pakistan amesema kuwa, makundi ya Lashkar-e-Jhangvi na Sipah-e-Sahaba ni wasaidizi wakuu wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) nchini humo.

  • Rouhani: ECO itakuwa ufunguo wa maelewano ya Mashariki na Magharibi

    Rouhani: ECO itakuwa ufunguo wa maelewano ya Mashariki na Magharibi

    Mar 01, 2017 03:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, mataifa yanayostawi kiuchumi barani Asia yataufanya uchumi wa dunia utoke Magharibi na kuelekea Mashariki na mabadiliko hayo yatapelekea bara hilo kuwa mbele katika karne ya 21.

  • Jumatatu, Januari 20, 2017

    Jumatatu, Januari 20, 2017

    Feb 19, 2017 23:19

    Leo ni Jumatatu tarehe 22 Mfunguo Nane Jamadil Awwal 1438 Hijria sawa na Februari 20, 2017 Milaadia.

  • Maelfu ya Wapakistani waandamana kulaani jinai za Marekani na makundi ya kigaidi

    Maelfu ya Wapakistani waandamana kulaani jinai za Marekani na makundi ya kigaidi

    Feb 18, 2017 12:43

    Maelfu ya Wapakistani wamefanya maandamano makubwa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulalamikia jinai za Marekani na makundi ya kigaidi ya Jamaat al-Ahrar, Daesh, Lashgar Jahangui na Sepah Sahabah, ambayo yamekuwa yakihusika na mauaji ndani ya taifa hilo.

  • Iran yalaani mauaji ya watu 80 katika Haram ya Sufi nchini Pakistan

    Iran yalaani mauaji ya watu 80 katika Haram ya Sufi nchini Pakistan

    Feb 17, 2017 11:29

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Alkhamisi katika mkoa wa Sindh nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds

    Pakistan yapinga kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Quds

    Jan 19, 2017 10:55

    Mwakilishi wa Kudumu wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga hatua yoyote ya uhamishaji wa ubalozi wa Marekani kutoka Tel-Aviv, Israel kwenda Baytul-Muqaddas na kwamba, kitendo hicho ni ukiukaji wa wazi wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi nchini Pakistan

    Nov 13, 2016 12:38

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana Jumamosi katika mkoa wa Baluchestan nchini Pakistan, ambapo makumi ya watu waliuawa na wengine wengi kujeruhiwa.

  • Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan

    Magaidi washambulia chuo cha polisi na kuua 55 nchini Pakistan

    Oct 25, 2016 01:08

    Makumi ya makurutu wameuawa baada ya genge la kigaidi kushambulia chuo cha kutoa mafunzo ya polisi kusini magharibi mwa Pakistan.

  • Magaidi wawili raia wa Pakistan wakamatwa nchini Iran

    Magaidi wawili raia wa Pakistan wakamatwa nchini Iran

    Sep 20, 2016 23:15

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) limetangaza habari ya kutiwa mbaroni raia wawili wa Pakistan katika mji wa Saravan wa mkoa wa Sistan va Baluchestan kwenye mpaka wa Iran na Pakistan.

  • Mgogoro wa Kashmiri na juhudi za Pakistan za kuufanya kuwa wa kimataifa

    Mgogoro wa Kashmiri na juhudi za Pakistan za kuufanya kuwa wa kimataifa

    Sep 20, 2016 09:31

    Katika hali ambayo eneo lenye Waislamu wengi la Kashmiri, upande unaodhibitiwa na India, linaendelea kushuhudia malalamiko ya wananchi Waislamu, viongozi wa serikali ya Pakistan wanafanya juhudi za kuufanya mgogoro huo kuwa wa kimataifa kupitia kuishawishi jamii ya kimataifa iingilie kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS