Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Spika wa Bunge la Pakistan: Mapambano ya Iran yamekuwa mfano wa kuigwa kwa mataifa mengine

    Spika wa Bunge la Pakistan: Mapambano ya Iran yamekuwa mfano wa kuigwa kwa mataifa mengine

    May 11, 2023 11:17

    Spika wa Bunge la Taifa la Pakistan amesema mapambano ya kishujaa ya Iran mbele ya changamoto mbalimbali yamekuwa mfano wa kkuigwa kwa mataifa mengine duniani.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban aelekea Pakistan kukutana na wenzake wa China na Pakistan

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban aelekea Pakistan kukutana na wenzake wa China na Pakistan

    May 06, 2023 12:04

    Mawlawi Amir Khan Muttaqi, Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan, amewasili Islamabad akiongoza ujumbe maalumu kwa madhumuni ya kukutana na kufanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa China Qin Gang na wa Pakistan Bilawal Bhutto-Zardari.

  • Kulalamikia Chama cha Tahreek-e-Insaf uhusiano wa kibiashara wa Pakistan na utawala haramu wa Israel

    Kulalamikia Chama cha Tahreek-e-Insaf uhusiano wa kibiashara wa Pakistan na utawala haramu wa Israel

    Apr 04, 2023 02:10

    Chama cha Tahreek-e-Insaf cha Pakistan kimelalamikia kuweko uhusiano wa biashara ya bidhaa za chakula baina ya nchi hiyo na utawala haramu wa Israel na kimeitaka Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya nchi hiyo kutoa maelezo kuhusiana na suala hilo.

  • Alkhamisi, tarehe 23 Machi, 2023

    Alkhamisi, tarehe 23 Machi, 2023

    Mar 23, 2023 02:12

    Leo ni Alkhamisi tarehe Mosi Ramadhani 1444 Hijria sawa na 23 Machi 2023.

  • Imran Khan adai lengo la serikali ya Pakistan si kumkamata, ni kumteka nyara na kumuua

    Imran Khan adai lengo la serikali ya Pakistan si kumkamata, ni kumteka nyara na kumuua

    Mar 15, 2023 07:29

    Waziri Mkuun wa zamani wa Pakistan Imran Khan amesema katika ujumbe wa twitter alioandika mapema leo kuwa jaribio la polisi ya nchi hiyo la kumkamata ni "maonyesho tu" lakini nia yao hasa ni "kumteka nyara na kumuua".

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan: Uislamu ni mlindaji mkubwa zaidi wa haki za wanawake

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan: Uislamu ni mlindaji mkubwa zaidi wa haki za wanawake

    Mar 09, 2023 07:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema, Uislamu ni mlindaji mkubwa zaidi wa haki za wanawake.

  • Serikali ya Pakistan yapiga marufuku TV kutangaza hotuba za Imran Khan

    Serikali ya Pakistan yapiga marufuku TV kutangaza hotuba za Imran Khan

    Mar 06, 2023 10:36

    Mamlaka ya Udhibiti wa Vyombo vya Habari vya Kielektroniki vya Pakistan (PEMRA) imezipiga marufuku chaneli za televisheni kurusha hewani hotuba za aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo Imran Khan. Hii ni baada ya kumtuhumu waziri mkuu huyo wa zamani kwamba anazishambulia taasisi za serikali na kuchochea chuki ndani ya nchi.

  • Mahakama Pakistan yaamuru waziri mkuu wa zamani Imran Khan akamatwe

    Mahakama Pakistan yaamuru waziri mkuu wa zamani Imran Khan akamatwe

    Feb 28, 2023 13:35

    Mahakama ya Islamabad imetoa waranti wa kukamatwa waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan.

  • Alkhamisi, tarehe 23 Februari, 2021

    Alkhamisi, tarehe 23 Februari, 2021

    Feb 23, 2023 02:31

    Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Shaaban 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 23 Februari 2023.

  • Pervez Musharraf, rais wa zamani wa Pakistan afariki dunia

    Pervez Musharraf, rais wa zamani wa Pakistan afariki dunia

    Feb 05, 2023 10:34

    Pervez Musharraf, rais wa zamani wa Pakistan amefariki dunia katika Umoja wa Falme za Kiarabu akiwa na umri wa miaka 79.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS