Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Baraza la Usalama lalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan

    Baraza la Usalama lalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan

    Feb 01, 2023 07:32

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani vikali shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan.

  • Iran, dunia zalaani shambulio la kigaidi lililoua 88 msikitini Pakistan

    Iran, dunia zalaani shambulio la kigaidi lililoua 88 msikitini Pakistan

    Jan 31, 2023 06:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana msikitini kaskazini magharibi mwa Pakistan na kuua na kujeruhi makumi ya watu.

  • Makumi ya Waislamu wauawa katika shambulizi lililolenga msikiti Peshawar, Pakistan

    Makumi ya Waislamu wauawa katika shambulizi lililolenga msikiti Peshawar, Pakistan

    Jan 30, 2023 12:37

    Watu wasiopungua 56 wameuawa katika shambulizi la kujilipua kwa bomu lililotokea katika msikiti wa mji wa Peshawar huko kaskazini magharibi mwa Pakistan.

  • Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 40 nchini  Pakistan

    Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 40 nchini Pakistan

    Jan 29, 2023 13:19

    Kwa akali watu 40 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya basi iliyotokea huko kusini magharibi mwa Pakistan.

  • Iran, Pakistan, Uturuki zalaani kuchomwa moto nakala ya Qurani Sweden

    Iran, Pakistan, Uturuki zalaani kuchomwa moto nakala ya Qurani Sweden

    Jan 22, 2023 08:04

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejiunga na ulimwengu wa Kiislamu katika kulaani vikali kitendo cha kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden.

  • Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'

    Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'

    Dec 16, 2022 11:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amemwita waziri mkuu wa India Narednra Modi "Chinjachinja wa Gujarat" baada ya waziri mwenzake wa India kuishutumu Pakistan kuwa "kitovu cha ugaidi" huku majirani hao wenye silaha za nyuklia wakikabiliana kwa vita vya maneno katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan abadilisha msimamo kuhusu Marekani

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan abadilisha msimamo kuhusu Marekani

    Nov 16, 2022 01:03

    Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ametoa matamshi yanayotafautiana na msimamo wake wa huko nyuma kuhusu Marekani kwa kusema: "endapo nitashinda uchaguzi, nitahakikisha tunakuwa na uhusiano na Washington utakaotupa izza na heshima".

  • WHO yatahadharisha juu ya madhara ya mafuriko nchini Pakistan

    WHO yatahadharisha juu ya madhara ya mafuriko nchini Pakistan

    Nov 07, 2022 02:45

    Shirika la Afya Duniani WHO kwa mara nyingine tena limetahadharisha kuhusu tishio la kiafya katika maeneo yaliyokumbwa na mafuriko huko Pakistan.

  • Jaribio la mauaji dhidi ya Imran Khan na kuibuka mivutano katika miji mbalimbali ya Pakistan

    Jaribio la mauaji dhidi ya Imran Khan na kuibuka mivutano katika miji mbalimbali ya Pakistan

    Nov 06, 2022 10:16

    Maandamano ya upinzani yameshuhudiwa katika miji kadhaa ya Pakistan baada ya jaribio lililofeli la kutaka kumuua Imran Khan Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo.

  • Imran Khan: Waziri Mkuu wa Pakistan amehusika na njama ya kutaka kuniua

    Imran Khan: Waziri Mkuu wa Pakistan amehusika na njama ya kutaka kuniua

    Nov 05, 2022 11:18

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan amemtuhumu mfuatizi wake kuwa amehusika katika njama ya kutaka kumuua.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS