-
Baraza la Usalama lalaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan
Feb 01, 2023 07:32Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limelaani vikali shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu msikitini Pakistan.
-
Iran, dunia zalaani shambulio la kigaidi lililoua 88 msikitini Pakistan
Jan 31, 2023 06:46Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea jana msikitini kaskazini magharibi mwa Pakistan na kuua na kujeruhi makumi ya watu.
-
Makumi ya Waislamu wauawa katika shambulizi lililolenga msikiti Peshawar, Pakistan
Jan 30, 2023 12:37Watu wasiopungua 56 wameuawa katika shambulizi la kujilipua kwa bomu lililotokea katika msikiti wa mji wa Peshawar huko kaskazini magharibi mwa Pakistan.
-
Ajali mbaya ya barabarani yaua watu 40 nchini Pakistan
Jan 29, 2023 13:19Kwa akali watu 40 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya basi iliyotokea huko kusini magharibi mwa Pakistan.
-
Iran, Pakistan, Uturuki zalaani kuchomwa moto nakala ya Qurani Sweden
Jan 22, 2023 08:04Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejiunga na ulimwengu wa Kiislamu katika kulaani vikali kitendo cha kuchomwa moto nakala ya Qur'ani Tukufu nchini Sweden.
-
Katika vita vikali vya maneno, Pakistan yamwita waziri mkuu wa India 'Chinjachinja wa Gujarat'
Dec 16, 2022 11:59Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amemwita waziri mkuu wa India Narednra Modi "Chinjachinja wa Gujarat" baada ya waziri mwenzake wa India kuishutumu Pakistan kuwa "kitovu cha ugaidi" huku majirani hao wenye silaha za nyuklia wakikabiliana kwa vita vya maneno katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan abadilisha msimamo kuhusu Marekani
Nov 16, 2022 01:03Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ametoa matamshi yanayotafautiana na msimamo wake wa huko nyuma kuhusu Marekani kwa kusema: "endapo nitashinda uchaguzi, nitahakikisha tunakuwa na uhusiano na Washington utakaotupa izza na heshima".
-
WHO yatahadharisha juu ya madhara ya mafuriko nchini Pakistan
Nov 07, 2022 02:45Shirika la Afya Duniani WHO kwa mara nyingine tena limetahadharisha kuhusu tishio la kiafya katika maeneo yaliyokumbwa na mafuriko huko Pakistan.
-
Jaribio la mauaji dhidi ya Imran Khan na kuibuka mivutano katika miji mbalimbali ya Pakistan
Nov 06, 2022 10:16Maandamano ya upinzani yameshuhudiwa katika miji kadhaa ya Pakistan baada ya jaribio lililofeli la kutaka kumuua Imran Khan Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo.
-
Imran Khan: Waziri Mkuu wa Pakistan amehusika na njama ya kutaka kuniua
Nov 05, 2022 11:18Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan amemtuhumu mfuatizi wake kuwa amehusika katika njama ya kutaka kumuua.