-
Abdollahian asisitiza kupanua ushirikiano kati ya Iran na Pakistan
Oct 19, 2022 08:08Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa uhusiano wa Tehran na Islamabd uko katika hali nzuri na kusisitiza juu ya kupanuliwa ushirikiano kati ya Iran na Pakistan katika nyanja zote khususan katika suala la usalama.
-
UN yapitisha azimio la kuisaidia Pakistan, yatoa indhari ya kukumbwa na janga la kiafya
Oct 08, 2022 07:04Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio la kuonyesha mshikamano na kufanikisha usaidizi kwa serikali na watu wa Pakistan ikiwemo misaada ya kibinadamu, ukarabati na ujenzi mpya sambamba na kuepusha majanga zaidi iwapo taifa hilo litakumbwa na janga la mafuriko kama la sasa.
-
Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel
Sep 26, 2022 03:35Serikali ya Pakistan kwa mara nyingine tena imepinga wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuatia uchochezi wa baadhi ya tawala za Kiarabu zenye fikra mgando za kuitaka ifuate mkondo huo.
-
Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu kuenezwa chuki dhidi ya Waislamu
Sep 26, 2022 03:05Waziri Mkuu wa Pakistan ametaka kukomeshwa mara moja chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu, hasa nchini India.
-
Kugonga mwamba juhudi za Israel za kuanzisha uhusiano wa kawaida na Pakistan
Sep 05, 2022 02:28Viongozi kadhaa wa kidini, kisiasa, wanafikra na wasomi wa Kipakistan wamesema katika kongamano la kifikra kuhusu Palestina kwamba, juhudi za hivi karibuni za Marekani na vibaraka wake za kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya Pakistan na Israel zimegonga mwamba.
-
Iran: Matukio ya karibuni ya Ukraine ni matunda ya uingiliaji wa Marekani
Sep 02, 2022 07:49Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani na nchi za Magharibi zinataka kutekeleza siasa zao za kibeberu katika maeneo yote hassasi na ya kiistratijia duniani na kwamba matukio ya Ukraine ni matunda ya mtazamo huo wa kiistikbari wa Magharibi.
-
Iran yatangaza utayari wa kuwasaidia waathirika wa mafuriko Pakistan
Aug 28, 2022 07:48Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran iko tayari kutoa msaada wa aina yoyote kwa watu walioathiriwa na mafuriko katika nchi ndugu na jirani ya Pakistan.
-
Hali ya dharura yatangazwa Pakistan baada ya mafuriko kuua zaidi ya 900
Aug 27, 2022 11:14Serikali ya Pakistan imetangaza hali ya dharura baada ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali za msimu kusababisha vifo vya mamia ya watu.
-
Imran Khan kufikishwa mbele ya mahakama ya kupambana na ugaidi ya Pakistan
Aug 23, 2022 07:46Joto la siasa za Pakistan linazidi kutokota na kuongeza hali ya taharuki baada ya aliyekuwa waziri mkuuu wa nchi hiyo Imran Khan kushtakiwa na Polisi chini ya sheria ya kupambana na ugaidi kufuatia matamshi ya tuhuma aliyotoa katika mkutano wa hadhara dhidi ya jaji na polisi ya nchi hiyo.
-
Putin: Ushirikiano wetu na Pakistan utaimarisha usalama wa kikanda
Aug 14, 2022 11:24Rais Vladimir Putin wa Russia amewatumia ujumbe viongozi wa Pakistan na kuwahakikishia kuwa ushirikiano baina ya nchi zao utaimarisha usalama katika ukanda huu mzima.