Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Hamas yalipiza kisasi baada ya wanachama wake 2 kuuawa na jeshi la Israel

    Hamas yalipiza kisasi baada ya wanachama wake 2 kuuawa na jeshi la Israel

    Dec 13, 2018 10:24

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imewaangamiza Wazayuni wawili kwa kuwafyatulia risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, chini ya masaa 24 baada ya jeshi katili la Israel kuwaua shahidi Wapalestina watatu, wakiwamo wanachama wawili wa harakati hiyo ya Muqawama.

  • Mshauri wa zamani: Saudia iliidhinisha mauaji ya Yassir Arafat

    Mshauri wa zamani: Saudia iliidhinisha mauaji ya Yassir Arafat

    Dec 11, 2018 03:18

    Aliyekuwa mshauri mwandamizi wa Yasser Arafat, Rais wa zamani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amefichua kuwa kiongozi huyo wa zamani wa Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) hakufa kifo cha kawaida baada kuugua, bali aliuawa, na kwamba Saudi Arabia ndiyo iliyoidhinisha mauaji yake.

  • Pigo la kihistoria kwa Marekani katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika mwaka wa kwanza wa uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Pigo la kihistoria kwa Marekani katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika mwaka wa kwanza wa uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Dec 07, 2018 20:52

    Muswada uliokuwa umependekezwa na Marekani dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa haukupasishwa na kumfanya Nikki Haley, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ashuhudie pigo la kihistoria dhidi ya nchi yake katika siku zake hizi za mwisho za majukumu yake katika umoja huo.

  • Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Dec 07, 2018 11:07

    Makundi ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Hamas na Jihadu Islami yamesema kupigwa mweleka katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa muswada wa kuilaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na kuitaja kama kundi la kigaidi ni pigo kubwa kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni

    Umuhimu wa mkutano wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni

    Dec 06, 2018 02:39

    Mkutano wa 92 wa Ofisi za Kieneo za Kuususia Utawala wa Kizayuni umefanyika katika makao makuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu mjini Cairo Misri na kushirikishwa wawakilishi kutoka nchi za Kiarabu na wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.

  • Hamas yaiomba Afrika Kusini kusadia mapambano ya ukombozi ya Wapalestina

    Hamas yaiomba Afrika Kusini kusadia mapambano ya ukombozi ya Wapalestina

    Dec 04, 2018 11:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeiomba Afrika Kusini izidishe uungaji mkono na misaada yake kwa taifa la Palestina katika mapambano yake ya ukombozi dhidi ya utawala haramu wa Israel.

  • Jeshi la Israel laua na kuwateka nyara vijana wa Palestina

    Jeshi la Israel laua na kuwateka nyara vijana wa Palestina

    Dec 04, 2018 11:07

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemfyatulia risasi na kumuua shahidi kijana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 22, katika hujuma ya leo asubuhi katika mji wa Tulkarem, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jumatatu, 3 Disemba, 2018

    Jumatatu, 3 Disemba, 2018

    Dec 02, 2018 21:35

    Leo ni Jumatatu tarehe 25 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria sawa na Disemba 3 mwaka 2018.

  • Maazimio 15 dhidi ya Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika kipindi cha wiki mbili

    Maazimio 15 dhidi ya Israel katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika kipindi cha wiki mbili

    Dec 02, 2018 04:07

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mnamo Novemba 30 lilipitisha maazimio 6 dhidi ya utawala wa Israel kwa lengo la kuunga mkono Palestine.

  • Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu

    Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu

    Dec 01, 2018 06:58

    Assalamu Alaykum msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran popote pale ulipo wakati huu na karibu kusikiliza kipindi hiki maalumu cha Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu uliofanyika hapa mjini Tehran kuanzia tarehe 24 hadi 26 Novemba 2018, kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja ya maadhimisho ya kuzaliwa Kiongozi na Muunganishi wa Umma wa Kiislamu, Bwana Mtume Muhammad SAW. Endelea basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mazungumzo yetu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS