-
'Israel inahaha mbele ya uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon'
Oct 19, 2018 21:39Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Kidemokrasia kwa ajili ya Ukombozi wa Palestina amesema kuwa, utawala haramu wa Kizayuni unahaha hivi sasa kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi wa Hizbullah ya Lebanon na hauthubutu kuanzisha vita vingine.
-
Arab League yaitaka jamii ya kimataifa iisaidie Palestina
Oct 14, 2018 03:34Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imelaani kushtadi wimbi la mauaji na jinai za kutisha dhidi ya Wapalestina zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel, huku ikiitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura kukabiliana na jinai hizo.
-
Israel yaazimia kuwabana zaidi wafungwa wa Kipalestina
Oct 12, 2018 04:12Utawala wa Kizayuni wa Israel unatazamiwa kushadidisha mateso na kuwawekea mbinyo zaidi wafungwa wa Kipalestina unaowazuilia katika jela zake za kuogofya.
-
Jumatatu, Oktoba 8, 2018
Oct 07, 2018 23:02Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Oktoba 8, mwaka 2018 Milaadia.
-
Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina
Oct 06, 2018 11:43Mufti Mkuu wa Syria, Sheikh Ahmad Badreddin Hassoun amesema kuwa ushindi wa Syria dhidi ya ugaidi ni ushindi wa Palestina.
-
Naibu Waziri wa zamani wa US: Serikali ya Trump haitaki mkataba wowote wa kimataifa
Oct 04, 2018 03:43Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani Wendy Sherman amekosoa hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kujitoa kwenye Mkataba wa Uhusiano Mwema wa mwaka 1955 iliyosaini baina yake na Iran na kueleza kwamba si kitu cha ajabu kwa serikali isiyopenda kuheshimu makubaliano yoyote ya kimataifa kuchukua hatua hiyo.
-
Israel yakerwa baada ya Madrid kumuenzi mwanaharakati wa Palestina
Sep 30, 2018 23:09Utawala wa Kizayuni wa Israel umeghadhabishwa mno na hatua ya klabu mashuhuri ya soka ya Uhispania ya Real Madrid kumuenzi kwa kumtunuku jezi nambari 9 Ahed Tamimi, binti mwanamapambano wa Kipalestina.
-
Hatua ya Wapalestina kuishitaki Marekani katika Mahakama ya Uadilifu ya The Hague
Sep 30, 2018 23:06Kwa mujibu wa tangazo la Mahakama ya Uadilifu ya The Hague yenye makao yake nchini Uholanzi, serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, sambamba na kuashiria hatua ya Marekani ya kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv, Israel kwenda Quds inayokaliwa kwa mabavu, imeishitaki Washington katika mahakama hiyo.
-
Palestina yaishtaki Marekani ICJ kwa kuuhamishia ubalozi wake Quds
Sep 29, 2018 04:47Palestina imewasilisha faili la malalamiko dhidi ya Marekani katika Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), ikitaka kuangaliwa upya hatua ya Washington ya kuuhamishia ubalozi wake wa Israel katika mji mtukufu wa Quds, kutoka Tel Aviv.
-
Jeshi la Israel laendeleza ukatili wake, laua Wapalestina 7 Gaza
Sep 29, 2018 04:43Kwa akali Wapalestina saba wameuawa shahidi huku wengine zaidi ya 500 wakijeruhiwa baada ya jeshi la Israel kuwamiminia risasi na kuvurumishia mabomu ya kutoa machozi waandamanaji wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.