Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Gazeti la al Manar la Palestina: Israel imetuma madaktari kumtibu bin Salman

    Gazeti la al Manar la Palestina: Israel imetuma madaktari kumtibu bin Salman

    May 28, 2018 21:06

    Gazeti la al Manar linalochapishwa Baytul Muqaddas huko Palestina limeandika kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel umetuma timu maalumu ya madaktari mjini Riyadh Saudi Arabia kwenda kusimamia matibabu ya mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman aliyejeruhiwa vibaya kwa risasi.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu Ulaya wawaunga mkono mashahidi wa Palestina

    Wanaharakati wa haki za binadamu Ulaya wawaunga mkono mashahidi wa Palestina

    May 28, 2018 10:29

    Wanaharakati wa haki za binadamu mjini Brussels Ubelgiji wameweka pea 4500 za viatu mbele ya jengo la Baraza la Umoja wa Ulaya ikiwa ni katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina wanaouliwa shahidi kila leo na wanajeshi katili wa Israel.

  • Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!

    Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Palestina imeanzia Mto Jordan hadi Bahari ya Sham!

    May 28, 2018 07:06

    Palestina ni suala kuu na la kwanza la Ulimwengu wa Kiislamu; na kufanyika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kunatilia mkazo suala hilo muhimu na la kihistoria.

  • Kifaru cha Israel chaua shahidi Wapalestina 3 Gaza

    Kifaru cha Israel chaua shahidi Wapalestina 3 Gaza

    May 27, 2018 09:13

    Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi kufuatia shambulizi la kifaru cha utawala wa Kizayuni wa Israel mashariki mwa mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Marekani mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds; Marekani mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 26, 2018 22:02

    Siku ya Kimataifa ya Quds ambayo ni siku ya kupazwa duniani sauti ya kudhulumiwa taifa la Palestina na kuchukizwa ulimwengu na utawala katili wa Israel unaoua watoto wadogo, inawadia.

  • Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    May 26, 2018 03:18

    Kijana mmoja wa Palestina ameuawa shahidi huku watu wengine 109 wakijeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea' yaliyofanyika jana Ijumaa katika Ukanda wa Gaza.

  • Marekani yakasirishwa na hatua ya UN kuiruhusu Palestina ijiunge na taasisi zake

    Marekani yakasirishwa na hatua ya UN kuiruhusu Palestina ijiunge na taasisi zake

    May 24, 2018 09:59

    Marekani imeonesha kughadhibishwa na hata kutishia kuupunguzia ufadhili Umoja wa Mataifa kutokana na UN kuiruhusu Palestina ijunge na taasisi zake.

  • Wapalestina waitaka ICC ichunguze ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel

    Wapalestina waitaka ICC ichunguze ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel

    May 22, 2018 09:12

    Palestina imeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ianzishe uchunguzi kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel hususan harakati za utawala huo za kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Wapalestina unaozikalia kwa mabavu.

  • Walowezi wa  Kizayuni wauhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Walowezi wa Kizayuni wauhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    May 20, 2018 22:03

    Walowezi zaidi ya 300 wa Kizayuni wameuhujumu Msikiti wa al Aqsa ulioko katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Jumatatu, Mei 21, 2018

    Jumatatu, Mei 21, 2018

    May 20, 2018 21:59

    Leo ni Jumatatu, tarehe 5 Ramadhani, mwaka 1439 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 21 Mei mwaka 2018 Miladia, na sanjari na tarehe 31 Ordibehesht mwaka 1397 Hijria Shamsia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS