-
AU yaungana na dunia kulaani mauaji ya umati yaliyofanywa na Wazayuni dhidi ya Wapalestina
May 15, 2018 09:20Umoja wa Afrika umelaani vikali mauaji ya halaiki yaliyofanywa na utawala katili wa Kizayuni dhidi ya raia madhlum wa Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Maandamano ya Wapalestina katika mpaka wa Gaza yataendelea
May 15, 2018 03:32Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa maandamano ya amani ya Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Gaza ya kupinga ubalozi wa Marekani Tel Aviv kuhamishiwa Baitul Muqaddas yataendelea.
-
Kuzidi kulaaniwa Israel vamizi, upeo mpya kwa Palestina
May 14, 2018 02:13Wapenda haki duniani leo (Jumatatu) wameamua kufanya maandamano katika nchi 46 ulimwenguni ili kuilaani Israel suala ambalo limewafanya wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni washadidishe ulinzi Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na Ukanda wa Ghaza.
-
Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US
May 13, 2018 03:16Mamia ya Waisraeli wamejiunga na Wapalestina katika maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.
-
Mataifa ya Kiislamu yaandamana kupinga US kuuhamishia ubalozi wake Quds
May 12, 2018 02:54Maelfu ya watu wameshiriki maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.
-
Kuchukua wigo mpana zaidi malalamiko ya Wapalestina dhidi ya njama za Trump huko Beitul-Muqaddas
May 10, 2018 07:21Ripoti mbalimbali kutoka Palestina zinaonyesha juu ya kushadidi upinzani na malalamiko ya vyama na makundi mbalimbali ya Kipalestina dhidi ya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya mji wa Beitul-Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Leo ni Jumanne tarehe 8 Mei, 2018
May 07, 2018 21:48Leo ni Jumanne tarehe 21 Shaabani 1439 Hijria sawa na Mei 8, 2018.
-
Utawala wa Kizayuni, tokea kudumisha jinai hadi kusitisha mpango wa uanachama katika Baraza la Usalama
May 07, 2018 02:15Utawala wa Kizayuni wa Israel Ijumaa iliyopita ulilegeza kamba na kutupilia mbali mpango wake wa kuchuana na nchi mbili za Ulaya kuwania uanachama usio wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Sambamba na uamuzi huo, utawala wa Kizayuni umeendeleza jinai zake dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Mlipuko waua Wapalestina 6 Ukanda wa Gaza, Israel yalaumiwa
May 06, 2018 02:55Wapalestina wasiopungua sita wanachama wa harakakati ya muqawama ya Palestina Hamas wameuawa katika mripuko wa bomu ulioukumba Ukanda wa Gaza jana Jumamosi.
-
Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel
May 03, 2018 23:38Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimetangaza kuwa zitashiriki katika mashindano ya pikipiki yaliyoitishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel yanayoanza leo Ijumaa.