Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Mar 30, 2018 11:24

    Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    UNRWA: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kibinadamu

    Mar 29, 2018 02:06

    Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuwahudumia Wakimbizi wa Palestina Bw. Pierre Krahenbuhl ameonya kuhusu kuendelea kuwa mbaya hali ya kibinadamu ya Wapalestina katika eneo la Ukanda wa Gaza ambalo liko chini ya mzingiro wa Utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Oman yahimiza kuungwa mkono haki za wananchi wa Palestina

    Mar 28, 2018 11:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman ameyahimiza mataifa ya dunia kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina na mapambano yao hadi watakapopata ushindi na uhuru wao.

  • HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuzuia kufanyika maandamano ya haki ya kurejea makwao Wapalestina

    HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuzuia kufanyika maandamano ya haki ya kurejea makwao Wapalestina

    Mar 28, 2018 02:43

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, vitisho vya utawala dhalimu wa Israel katu haviwezi kuzuia kufanyika maandamano makubwa ya haki ya kurejea makwao Wapalestina.

  • Jeshi la Israel lawateka nyara makumi ya Wapalestina

    Jeshi la Israel lawateka nyara makumi ya Wapalestina

    Mar 27, 2018 03:16

    Vikosi vya utawala wa Kizayuni vimewateka nyara makumi ya Wapalestina wakiwemo wanawake, katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Ripoti: Facebook inahudumia malengo ya Israel

    Ripoti: Facebook inahudumia malengo ya Israel

    Mar 26, 2018 21:58

    Wizara ya Sheria ya Israel imetangaza kuwa, idara inayosimamia mtandao wa kijamii wa Facebook ilikubali asilimia karibu 85 ya matakwa ya utawala huo haramu ya kuondolewa na kuzuiwa maelezo yanayohusiana na Wapalestina na jinsi wanavyokandamizwa katika kurasa za mtandao huo.

  • Palestina yakaribisha maazimio ya UN dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Palestina yakaribisha maazimio ya UN dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Mar 25, 2018 23:49

    Msemaji wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Palestina amekaribisha kupasishwa katika Umoja wa Mataifa maazimio matano ya haki za binadamu dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas

    Israel imebomoa nyumba elfu tano za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas

    Mar 15, 2018 03:50

    Ripoti mpya iliyotolewa na Kituo cha Utafiti wa Ardhi (LRC) cha Palestina inaonyesha kuwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umebomoa nyumba zipatazo 5,000 za Wapalestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) tangu ulipouvamia na kuanza kuukalia kwa mabavu mji huo mwaka 1967.

  • Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Wapalestina wasusia mkutano wa White House, Israel na Waarabu kuhusu Gaza

    Mar 14, 2018 10:47

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa kushiriki mkutano uliofanyika katika Ikulu ya Marekani ya White House, na kuwaleta pamoja viongozi wa nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Hizbullah ya Lebanon: Quds itabakia milele kuwa mji mkuu wa Palestina

    Mar 14, 2018 00:05

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa njia ya ufumbuzi wa kadhia ya Palestina haiko mikononi mwa Marekani, bali kinachopasa kufanywa ni kuzifuatilia jinai zinazotendwa na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS