-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Wajibu wa kupambana na utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 26, 2017 09:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei leo amehutubia Baraza la Iddil Fitri lililowakutanisha pamoja viongozi, matabaka mbalimbali ya wananchi na mabalozi wa nchi za Kiislamu mjini Tehran na akisisitiza kuwa kupuuza na kulisahaulisha suala la Palestina ni hatari kubwa.
-
Hali ya Palestina katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 23, 2017 03:21Leo tarehe 23 Juni inayosadifiana na Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani ambayo ilitangazwa na mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayati Imam Ruhullah Khomeini kuwa ni Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Kesho Ijumaa ni Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 21, 2017 23:51Mamilioni ya wapenda haki kote duniani kesho watajitokeza katika pembe mbalimbali za ulimwengu kwa ajili ya kushiriki katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yenye lengo la kutangaza himaya na uungaji mkono kwa taifa madhulumu la Palestina.
-
Kiongozi: Kupambana na utawala wa Kizayuni ni kupambana na ubeberu na uistikbari
Jun 21, 2017 23:06Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameitaja Siku ya Kimataifa ya Quds kuwa yenye umuhimu mkubwa na kuongeza kuwa: "Siku hii mbali na kuwa ni siku ya kuunga mkono taifa lililodhulumiwa pia ni nembo ya kupambana na uistikbari na ubeberu duniani."
-
Waislamu kote duniani watakiwa kushiriki kwa wingi Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 20, 2017 03:31Mjumbe wa harakati ya Jihad Islami ya Palestina mjini Tehran ametoa mwito kwa Waislamu kote duniani kushiriki kwa wingi katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa ijayo.
-
Israel yatengua haki ya Wapalestina kutembeleana Ramadhani
Jun 18, 2017 09:51Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ametangaza kubatilisha 'haki' ya Wapalestina kutembeleana katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani kufuatia mauaji ya mwanajeshi wa kike wa utawala huo wa Kizayuni.
-
Jihad Islami: Baadhi ya Waarabu wanafanya njama dhidi ya Quds tukufu
Jun 15, 2017 23:53Msemaji wa harakati ya Jihad Islamu ya Palestina amesema kuwa, Siku ya Kimataifa ya Qud mwaka huu inaadhimishwa huku mji huo mtukufu ukiwa katika hali mbaya sana na baadhi ya nchi za Kiarabu zikifanya njama dhidi ya eneo hilo.
-
UN yalaani Israel kuwazimia umeme Wapalestina Ghaza
Jun 15, 2017 02:55Umoja wa Mataifa umelaani hatua ya utawala haramu wa Israel kuwazimia kwa muda mrefu umeme Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
UN yatetea shirika lake linalohudumia wakimbizi wa Palestina
Jun 13, 2017 09:32Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuunga mkono shirika la umoja huo linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina, baada ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kutoa wito wa kuvunjwa taasisi hiyo ya kimataifa.
-
Jumanne 13 Juni, 2017
Jun 12, 2017 21:53Leo ni Jumanne tarehe 18 Ramadhani 1438 Hijiria sawa na tarehe 13 Juni 2017.