Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Netanyahu atoa wito wa kuvunjwa UNRWA

    Jun 11, 2017 22:53

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa wito wa kuvunjwa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa (UNRWA), linalowasaidia mamilioni ya wakimbizi wa Kipalestina.

  • Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Polisi ya Israel yafunga Msikiti wa al-Aqsa, wazuia ibada za Waislamu

    Jun 11, 2017 09:36

    Maafisa wa polisi ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamefunga na kuuzingira Msikiti wa al-Aqsa sambamba na kuwazuia waumini wa Kiislamu kuingia na kutoka kwenye msikiti huo, ambacho ni Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Hamas yakataa wito wa Shirika la Msalaba Mwekundu

    Hamas yakataa wito wa Shirika la Msalaba Mwekundu

    Jun 10, 2017 23:55

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga wito uliotolewa na Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu la kutaka kujua hatima ya askari wawili wa Kizayuni waliotoweka katika enro la Ukanda wa Gaza.

  • Palestina yataka Arab League iitishe kikao cha dharura kujadili ushawishi wa Israel Afrika

    Palestina yataka Arab League iitishe kikao cha dharura kujadili ushawishi wa Israel Afrika

    Jun 07, 2017 21:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ametaka Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) iitishe kikao cha dharura kujadili kuenea satua na ushawishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika bara la Afrika.

  • Hasira za Israel baada ya Umoja wa Mataifa kuunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina

    Hasira za Israel baada ya Umoja wa Mataifa kuunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jun 07, 2017 06:10

    Danny Danon Balozi wa Utawala wa Kizayuni katika Umoja wa Mataifa amekosoa vikali matamshi ya katibu mkuu wa umoja huo Antonio Gutterres ambaye ameunga mkono uundwaji nchi huru ya Palestina.

  • HRW yalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    HRW yalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    Jun 05, 2017 09:52

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali jinai, ukandamizaji, ubaguzi na ukaliwaji wa mabavu wa ardhi za Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa zaidi ya miongo mitano sasa.

  • Ripoti: Wanajeshi wa Israel wameua watoto elfu 3 wa Kipalestina

    Ripoti: Wanajeshi wa Israel wameua watoto elfu 3 wa Kipalestina

    Jun 01, 2017 09:55

    Wizara ya Habari ya Palestina imesema, watoto zaidi ya elfu tatu wa Kipalestina wameuliwa shahidi na jeshi katili la Israel tangu ilipoanza Intifadha ya Pili mwezi Septemba 2000.

  • Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina

    Mayahudi waandamana kuunga mkono taifa la Palestina

    May 28, 2017 09:09

    Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano mjini Tel Aviv kuunga mkono kuundwa taifa huru la Palestina sambamba na kulaani miaka 50 ya utawala haramu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • Ubomozi wa vituo vya afya na tiba Palestina na Yemen; sera za pamoja za Israel na Saudia

    Ubomozi wa vituo vya afya na tiba Palestina na Yemen; sera za pamoja za Israel na Saudia

    May 26, 2017 22:16

    Huku akiashiria mashambulio yanayolenga vituo vya afya na tiba na kisha kutolewa vijisababu kuwa yalifanyika kimakosa, mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa kwa mtazamo wa Iran, mashambulio hayo yanapaswa kulaaniwa kila sehemu yanapofanyika na hasa katika nchi za Palestina, Yemen na Syria.

  • Wazayuni wamuua shahidi Mpalestina mwingine

    Wazayuni wamuua shahidi Mpalestina mwingine

    May 26, 2017 03:09

    Mpalestina mwingine amekufa shahidi siku chache baada ya kufyatuliwa risasi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel na kujeruhiwa vibaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS