Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Israel: Hatuhitaji baraka za Marekani kughusubu ardhi zaidi za Palestina

    Israel: Hatuhitaji baraka za Marekani kughusubu ardhi zaidi za Palestina

    May 25, 2017 09:39

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema Tel Aviv haihitaji baraka wala ruhusu ya Marekani ili kuendeleza ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    UN yaeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya mateka wa Palestina

    May 25, 2017 09:21

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasi wasi wake kuhusu hali ya kiafya ya mateka wa Kipalestina waliosusia chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mateka 60 wa Kipalestina waliogoma kula wahamishiwa hospitalini

    Mateka 60 wa Kipalestina waliogoma kula wahamishiwa hospitalini

    May 25, 2017 03:21

    Mateka wasiopungua 60 wa Kipalestina miongoni mwa maelfu ya wafungwa hao waliosusia kula chakula katika magereza ya utawala wa Kizayuni wa Israel wamehamishiwa hospitalini baada ya hali zao kuzidi kuwa mbaya.

  • Mahmoud Abbas: Ukaliaji ardhi wa mabavu na ujenzi wa vitongoji ndilo tatizo kuu la Wapalestina

    Mahmoud Abbas: Ukaliaji ardhi wa mabavu na ujenzi wa vitongoji ndilo tatizo kuu la Wapalestina

    May 23, 2017 11:24

    Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema, tatizo kuu la Wapalestina ni ukaliaji wa mabavu na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na Israel katika ardhi za Palestina.

  • Ayatullah Araki asisitiza kuimarishwa uhusiano wa nchi za Kiislamu

    Ayatullah Araki asisitiza kuimarishwa uhusiano wa nchi za Kiislamu

    May 17, 2017 23:05

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, nchi za Shirikisho la Urusi zinaweza kuwa na nafasi muhimu katika Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla katika kukuza uhusiano wa nchi za Kiislamu na vilevile kuinua kiwango chao cha nafasi ya kisiasa na kiuchumi duniani.

  • Chama cha Leba cha UK kuitambua Palestina kikiingia madarakani

    Chama cha Leba cha UK kuitambua Palestina kikiingia madarakani

    May 16, 2017 23:09

    Chama cha Leba cha Uingereza kimesema kitaitambua Palestina iwapo kitaibuka mshindi katika uchaguzi wa Juni 8 nchini humo.

  • Jumatano, Mei 17, 2017

    Jumatano, Mei 17, 2017

    May 16, 2017 22:00

    Leo ni Jumatano tarehe 20 Shaaban 1438 Hijria mwafaka na tarehe 17 Mei mwaka 2017 Miladia.

  • Makamu wa Rais Afrika Kusini asusia kula kuwaunga mkono Wapalestina waliogoma kula

    Makamu wa Rais Afrika Kusini asusia kula kuwaunga mkono Wapalestina waliogoma kula

    May 15, 2017 09:40

    Makamu wa rais wa Afrika Kusini na mawaziri wengine nchini humo wamesusia chakula kama njia ya kuonyesha kufungamana kwao na Wapalestina waliogoma kula katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ulimwengu Wachukizwa na Utawala wa Kizayuni katika Siku ya Nakba

    Ulimwengu Wachukizwa na Utawala wa Kizayuni katika Siku ya Nakba

    May 14, 2017 02:59

    Huku dunia ikikaribia kukumbuka mwaka wa 69 wa kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina na baada ya hapo kuasisiwa utawala bandia wa Israel, siku ambayo Wapalestina wanaitaja kuwa siku ya Nakba yaani nakama au maafa, walimwengu wanashuhudia wimbi jipya la kimataifa la kuchikizwa na utawala wa Kizayuni na ongezeko la uungaji mkono kwa Wapalestina.

  • Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    Wapalestina waadhimisha Siku ya Nakaba chini ya anga ya mgomo wa kula

    May 14, 2017 02:44

    Wapalestina kote duniani wanaadhimisha Siku ya Nakba hii leo, kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 69 tangu ulipoundwa utawala bandia na haramu wa Israel mwaka 1948.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS