Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake

    HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake

    Jul 26, 2024 09:29

    Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: "Madai ya Washington kwamba inatiwa wasiwasi na hali ya kibinadamu na inasikitishwa na machungu na mateso wanayopata watu wa Ghaza ni uongo wa Kimarekani".

  • Amnesty International: Marekani mshirika wa Israel katika mauaji ya kimbari Palestina

    Amnesty International: Marekani mshirika wa Israel katika mauaji ya kimbari Palestina

    Jul 25, 2024 03:41

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International imeonya Marekani kuhusu kuupa silaha utawala wa Kizayuni katika vita vya Gaza na kutangaza kuwa, Washington ni mshirika wa utawala huo katika mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.

  • Kufanyika kura ya maoni Palestina; mkakati na suluhisho la Iran

    Kufanyika kura ya maoni Palestina; mkakati na suluhisho la Iran

    Jul 23, 2024 10:29

    Nasser Kanani, msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, "suluhisho bora zaidi la kuhitimisha hali haramu ya sasa katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni kufanyika kura ya maoni jumuishi kwa kushirikisha wakaazi wote na raia asili wa ardhi hiyo."

  • Ripota wa Umoja wa Mataifa akosoa vitendo vya kibaguzi vya utawala wa Israel

    Ripota wa Umoja wa Mataifa akosoa vitendo vya kibaguzi vya utawala wa Israel

    Jul 22, 2024 22:55

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu huko Palestina amekosoa mienendo ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Jul 22, 2024 07:28

    Mjukuu wa Nelson Mandela, shujaa na kiongozi wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Harakati ya Ansarullah na vikosi vya wanajeshi wa Yemen kushadidisha operesheni zao dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.

  • Jumatatu, Julai 22, 2024

    Jumatatu, Julai 22, 2024

    Jul 21, 2024 22:59

    Leo ni Jumatatu tarehe 16 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria sawa na Julai 22, 2024 Milaadia.

  • Iran yapongeza hukumu ya ICJ, yataka kura ya maoni kuamua mustakbali wa Palestina

    Iran yapongeza hukumu ya ICJ, yataka kura ya maoni kuamua mustakbali wa Palestina

    Jul 20, 2024 23:04

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, njia bora zaidi ya kulipatia ufumbuzi suala la Palestina na kukomeshwa jinai za utawala haramu wa Israel, ni kufanyika kura ya maoni itakayowashirikisha Wapalestina wa ardhi zote za taifa hilo ili waamue mustakbali wao.

  • Riyadh yaipongeza ICJ kuvitaja vitongoji vya Wazayuni kuwa haramu

    Riyadh yaipongeza ICJ kuvitaja vitongoji vya Wazayuni kuwa haramu

    Jul 20, 2024 04:24

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imekaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kuvitaja vitongoji ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kuwa ni kinyume cha sheria.

  • Wapalestina wapongeza uamuzi wa ICJ dhidi ya Israel

    Wapalestina wapongeza uamuzi wa ICJ dhidi ya Israel

    Jul 20, 2024 02:52

    Makundi ya kisiasa na kijamii ya Palestina yamepongeza uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kutazama ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kuwa haramu na kinyume cha sheria.

  • Iran: Pingamizi la kuundwa taifa la Palestina limeanika dhati ya ubaguzi ya Israel

    Iran: Pingamizi la kuundwa taifa la Palestina limeanika dhati ya ubaguzi ya Israel

    Jul 19, 2024 22:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupinga kuasisiwa taifa huru la Palestina kwa mara nyingine tena imeidhihirishia dunia dhati ya ubaguzi wa rangi ya utawala huo haramu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS