Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Jul 22, 2024 10:58

    Mjukuu wa Nelson Mandela, shujaa na kiongozi wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Harakati ya Ansarullah na vikosi vya wanajeshi wa Yemen kushadidisha operesheni zao dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.

  • Jumatatu, Julai 22, 2024

    Jumatatu, Julai 22, 2024

    Jul 22, 2024 02:29

    Leo ni Jumatatu tarehe 16 Mfunguo Nne Muharram 1446 Hijria sawa na Julai 22, 2024 Milaadia.

  • Iran yapongeza hukumu ya ICJ, yataka kura ya maoni kuamua mustakbali wa Palestina

    Iran yapongeza hukumu ya ICJ, yataka kura ya maoni kuamua mustakbali wa Palestina

    Jul 21, 2024 02:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, njia bora zaidi ya kulipatia ufumbuzi suala la Palestina na kukomeshwa jinai za utawala haramu wa Israel, ni kufanyika kura ya maoni itakayowashirikisha Wapalestina wa ardhi zote za taifa hilo ili waamue mustakbali wao.

  • Riyadh yaipongeza ICJ kuvitaja vitongoji vya Wazayuni kuwa haramu

    Riyadh yaipongeza ICJ kuvitaja vitongoji vya Wazayuni kuwa haramu

    Jul 20, 2024 07:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imekaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kuvitaja vitongoji ya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kuwa ni kinyume cha sheria.

  • Wapalestina wapongeza uamuzi wa ICJ dhidi ya Israel

    Wapalestina wapongeza uamuzi wa ICJ dhidi ya Israel

    Jul 20, 2024 06:22

    Makundi ya kisiasa na kijamii ya Palestina yamepongeza uamuzi uliotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) wa kutazama ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika eneo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na Israel la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kuwa haramu na kinyume cha sheria.

  • Iran: Pingamizi la kuundwa taifa la Palestina limeanika dhati ya ubaguzi ya Israel

    Iran: Pingamizi la kuundwa taifa la Palestina limeanika dhati ya ubaguzi ya Israel

    Jul 20, 2024 02:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupinga kuasisiwa taifa huru la Palestina kwa mara nyingine tena imeidhihirishia dunia dhati ya ubaguzi wa rangi ya utawala huo haramu.

  • Russia: Migogoro ya Asia Magharibi inasababishwa na sera mbovu za Marerkani

    Russia: Migogoro ya Asia Magharibi inasababishwa na sera mbovu za Marerkani

    Jul 18, 2024 09:19

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, hali mbaya katika eneo la Asia Magharibi ni matokeo ya kushindwa sera mbovu za Marekani katika eneo.

  • Tume ya haki za binadamu Palestina yatahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu Gaza

    Tume ya haki za binadamu Palestina yatahadharisha kuhusu mgogoro wa kibinadamu Gaza

    Jul 18, 2024 02:32

    Tume huru ya haki za binadamu ya Palestina imetangaza kuwa kuendelea kuzingirwa Ukanda wa Gaza kutapeleke eneo hilo la ardhi ya Palestina kuathiriwa mgogoro wa kibindamu ambayo haujawahi kushuhudiwa.

  • Vikosi vya Yemen na Iraq vyafanya operesheni za kuitetea Palestina

    Vikosi vya Yemen na Iraq vyafanya operesheni za kuitetea Palestina

    Jul 16, 2024 07:18

    Vikosi vya wanamaji na vya makombora vya Yemen vimefanya operesheni nyingine dhidi ya meli za mafuta zilizokuwa zikielekea katika bandari za utawala wa Kizayuni unaokalia ardhi za Palestina kwa mabavu.

  • Rais wa Brazil: Dunia isinyamazie kimya mauaji ya Wapalestina Gaza

    Rais wa Brazil: Dunia isinyamazie kimya mauaji ya Wapalestina Gaza

    Jul 16, 2024 02:54

    Rais Luiz Inacio Lula da Silva wa Brazil amelaani vikali kimya cha jamii ya kimataifa mkabala wa mashambulizi ya kinyama na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS