-
Wanariadha wa Ireland waonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina
Jul 14, 2024 10:09Wanariadha wa Ireland katika mji mkuu wa nchi hiyo Dublin wameonyesha mshikamano na wananchi wa Palestina wakipinga vita na mauaji ya kimbari yanayoendelea kkufanywa na Israel Ukanda wa Gaza.
-
Iran: Israel haijali mstari wowote mwekundu wa maadili
Jul 14, 2024 07:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai mpya iliyofanywa na utawala wa Kizayuni katika eneo la Al-Mawasi huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya wakimbizi wa Kipalestina na kujeruhi mamia ya wengine.
-
Japan inatafakari kulitambua rasmi taifa huru la Palestina
Jul 14, 2024 06:48Serikali ya Japan imefichua kuwa, inatathmini kwa uzito mkubwa suala la kulitambua rasmi taifa huru la Palestina.
-
Jeshi la Israel limeua na kujeruhi makumi ya wakazi wa Khan Yunis kusini mwa Gaza + Video
Jul 13, 2024 11:48Ndege za kivita za jeshi la utawala katili wa Israel limeushambulia mji wa Khan Yunis kusini mwa Ukanda wa Gaza na kuuwa wakazi wa mji huo wasiopungua 71 na kujeruhi wengine 289 hadi hivi sasa.
-
Wasiwasi wa Washington juu ya ushawishi wa Iran kati ya watetezi wa Palestina huko Marekani
Jul 12, 2024 10:41Harakati ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Marekani iliyotikisa maeneo yote ya hiyo na kusababisha mamia ya maandamano, mikusanyiko na migomo katika vyuo vikuu kulalamikia jinai na uhalifu wa Israel hususan mauaji ya kimbari ya watu wa Gaza imekabiliwa na hasira kali ya serikali ya Washington.
-
Katibu Mkuu wa Hizbullah asisitiza kuendelezwa uungaji mkono kwa watu wa Palestina
Jul 10, 2024 12:30Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, mapambano ya kuunga mkono watu wa Ukanda wa Gaza yataendelea hadi kutimizwa malengo ya wananchi wa Palestina na ya wanamapambano wa ukombozi.
-
Rais wa Bolivia: Mapambano ya Wapalestina ni ya kupigania kurejesha ardhi yao
Jul 10, 2024 02:26Rais wa Bolivia amesema kuwa, mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni kutaka kurejesha ardhi zao zilizoporwa ni haki ya taifa la Palestina.
-
Lancet: Wapalestina waliouawa Gaza wanapindukia 186,000
Jul 09, 2024 07:05Jarida mashuhuri la masuala ya tiba na afya la The Lancet la Uingereza limeripoti kuwa, yumkini idadi halisi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza inazidi watu 186,000.
-
Wanahabari 5 ni miongoni mwa Wapalestina 29 waliouawa Gaza
Jul 06, 2024 11:20Wizara ya Afya ya Ukanda wa Gaza imesema waandishi wa habari watano ni miongoni mwa Wapalestina 29 waliouawa shahidi ndani ya saa 24 zilizopita na wanajeshi makatili wa Israel katika eneo hilo la Palestina linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni.
-
Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Jenin, Jabalia
Jul 06, 2024 02:37Wakazi watano wa mji wa Jenin ni miongoni mwa makumi ya Wapalestina waliouawa shahidi kwa kupigwa risasi na kushambuliwa kwa mabomu na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo mbali mbali ya Palestina jana Ijumaa.