Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • OIC yalaani hatua ya Marekani kuzuia azma ya Palestina kuwa mwanachama kamili wa UN

    OIC yalaani hatua ya Marekani kuzuia azma ya Palestina kuwa mwanachama kamili wa UN

    Apr 19, 2024 23:29

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imelaani hatua ya Marekani ya kuzuia ombi la Palestina la kutaka uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa, huku Israel ikiendeleza mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza kwa msaada wa baadhi ya nchi za Magharibi hususan Marekani.

  • Kupingwa njama za Netanyahu za kutaka kususiwa shughuli za UNRWA ndani ya Baraza la Usalama

    Kupingwa njama za Netanyahu za kutaka kususiwa shughuli za UNRWA ndani ya Baraza la Usalama

    Apr 19, 2024 11:57

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao kujadili shughuli za Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA) kufutia maombi ya Algeria na Jordan.

  • Marekani yalipigia kura ya veto azimio la kuipatia Palestina uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa

    Marekani yalipigia kura ya veto azimio la kuipatia Palestina uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa

    Apr 19, 2024 03:59

    Marekani, ambayo ni muungaji mkono mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, imeendeleza sera yake ya kudhoofisha kupatikana haki za Wapalestina kwa kutumia vibaya haki yake ya kura ya turufu na kukwamisha azimio la kuipatia Palestina uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa.

  • Mkuu wa UNRWA alaumu vikali hila ya Israel ya kutaka shirika hilo la kusaidia Wapalestina livunjwe

    Mkuu wa UNRWA alaumu vikali hila ya Israel ya kutaka shirika hilo la kusaidia Wapalestina livunjwe

    Apr 18, 2024 02:51

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na kuwasaidia Wapalestina, UNRWA, Philippe Lazzarini amelaumu vikali kampeni ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kulisambaratisha shirika hilo.

  • Marekani inawashinikiza kwa siri wanachama wa UNSC wapinge Palestina kuwa mwanachama kamili wa UN

    Marekani inawashinikiza kwa siri wanachama wa UNSC wapinge Palestina kuwa mwanachama kamili wa UN

    Apr 18, 2024 02:51

    Marekani inazishinikiza kwa siri nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukataa ombi la Palestina kuwa mwanachama kamili wa taasisi hiyo kuu ya kimataifa.

  • Watoto elfu 19 wa Kipalestina wamekuwa mayatima kutokana na jinai za Israel Ukanda wa Gaza

    Watoto elfu 19 wa Kipalestina wamekuwa mayatima kutokana na jinai za Israel Ukanda wa Gaza

    Apr 18, 2024 00:54

    Watoto 19,000 wa Kipalestina wamekuwa mayatima kufuatia jinai za kinyama za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Kwa upinzani wa Marekani, UNSC haijaweza kufikia mwafaka wa kuipatia Palestina uanachama kamili

    Kwa upinzani wa Marekani, UNSC haijaweza kufikia mwafaka wa kuipatia Palestina uanachama kamili

    Apr 12, 2024 06:50

    Rais wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) amesema, japokuwa baraza hilo limefufua matumaini ya Palestina kujiunga na Umoja wa Mataifa kwa kupatiwa uanachama kamili, lakini muafaka juu ya suala hilo bado haujaweza kufikiwa.

  • Ismail Haniya: Ninamshukuru Allah kwa heshima hii aliyotupa ya kufa shahidi wanangu watatu na wajukuu zangu

    Ismail Haniya: Ninamshukuru Allah kwa heshima hii aliyotupa ya kufa shahidi wanangu watatu na wajukuu zangu

    Apr 11, 2024 00:09

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amethibitisha habari ya kuuawa shahidi watoto na wajukuu zake katika shambulio la kinyama la utawala wa Kizayuni na akasema: "kwa machungu haya na kwa damu hii tunajenga matumaini, mustakbali na uhuru wa watu wetu, piganio letu na taifa letu".

  • Waislamu wa Ghaza wasali Sala ya Idi juu ya vifusi, maelfu wasali Idi katika Msikiti wa al Aqsa

    Waislamu wa Ghaza wasali Sala ya Idi juu ya vifusi, maelfu wasali Idi katika Msikiti wa al Aqsa

    Apr 10, 2024 22:57

    Waislamu wa Ukanda wa Ghaza jana Jumatano walitekeleza ibada ya Sala ya Idul Fitr juu ya vifusivya Misikiti na shule zilizobomolewa kikatili na utawala wa Kizayuni huku maelfu ya Waislamu wa Palestina wakitekeleza ibada hiyo kwenye Msikiti wa al Aqsa katika mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas.

  • Kiongozi Muadhamu: Israel ilifanya makosa, 'itaadhibiwa' kwa kushambulia ubalozi mdogo wa Iran

    Kiongozi Muadhamu: Israel ilifanya makosa, 'itaadhibiwa' kwa kushambulia ubalozi mdogo wa Iran

    Apr 10, 2024 04:22

    Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS