Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • UN: Jeshi la Israel limewabaka, limewapiga vibaya na kuwanyima chakula na dawa wanawake Wapalestina

    UN: Jeshi la Israel limewabaka, limewapiga vibaya na kuwanyima chakula na dawa wanawake Wapalestina

    Feb 20, 2024 03:36

    Mamia ya wanawake na wasichana wa Kipalestina katika maeneo ya Ghazza na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu wamekuwa wakiwekwa kizuizini kiholela na jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel tangu Oktoba 7, na kuripoti kuwa wamebakwa, kupigwa vibaya na kunyimwa chakula na dawa na askari wa jeshi hilo.

  • ICJ yaanza kusikiliza shauri la kihistoria kuhusu uhalali wa Israel kukalia ardhi za Palestina kwa miaka 57

    ICJ yaanza kusikiliza shauri la kihistoria kuhusu uhalali wa Israel kukalia ardhi za Palestina kwa miaka 57

    Feb 19, 2024 07:40

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ, ambayo ndiyo mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa leo imeanza kusikiliza shauri la kihistoria la kuamua kuhusu uhalali wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wa kuzivamia na kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina kwa muda wa miaka 57.

  • Israel kuruhusu Wapalestina waliopindukia miaka 70 tu kuingia Msikiti wa Al Aqsa wakati wa Ramadhani

    Israel kuruhusu Wapalestina waliopindukia miaka 70 tu kuingia Msikiti wa Al Aqsa wakati wa Ramadhani

    Feb 19, 2024 07:38

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha mpango wa kuwawekea vizuizi vikali Wapalestina wanaoishi kwenye ardhi zilizoanza kukaliwa kwa mabavu mwaka 1948 na wa mji wa Baitul Muqaddas (Jeruselem) vya kuingia kwenye Msikiti wa Al Aqsa wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, utakaoanza wiki ya pili ya mwezi ujao wa Machi.

  • Hizbullah: Mhimili wa Muqawama umedhamiria kwa dhati kuikomboa Palestina kwa gharama yoyote

    Hizbullah: Mhimili wa Muqawama umedhamiria kwa dhati kuikomboa Palestina kwa gharama yoyote

    Feb 16, 2024 04:23

    Harakati ya Muqawama wa Lebanon ya Hizbullah imesema Mhimili wa Muqawama katika eneo umeazimia kuikomboa Palestina kutoka kwenye makucha ya uvamizi na ukatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa gharama yoyote.

  • Askari katili wa Israel wamuua baba na mama Wapalestina mbele ya watoto wao wadogo

    Askari katili wa Israel wamuua baba na mama Wapalestina mbele ya watoto wao wadogo

    Feb 15, 2024 23:55

    Katika muendelezo wa mauaji ya kimbari dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Ghazza, askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewaua kwa kuwapiga risasi wazazi wa watoto kadhaa wa Kipalestina mbele ya macho yao.

  • Ukumbi wa Tamthilia wa Uhuru wa Ukingo wa Magharibi ulioharibiwa na Israel wateuliwa kwa Tuzo ya Amani ya Nobel

    Ukumbi wa Tamthilia wa Uhuru wa Ukingo wa Magharibi ulioharibiwa na Israel wateuliwa kwa Tuzo ya Amani ya Nobel

    Feb 15, 2024 04:20

    Ukumbi wa tamthilia wa Uhuru ulioharibiwa kwa risasi za jeshi za Israel huko Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu umeteuliwa kwa ajili ya Tuzo ya Amani ya Nobel huku Wapalestina wakitumai kuwa, kituo hicho cha masuala ya kitamaduni kitaendelea kuzalisha wapigania uhuru kupitia sanaa kutoka ndani ya kambi ya wakimbizi ya Jenin.

  • Hizbullah yaapa kujibu mashambulizi ya Israel yaliyoua raia wakiwemo watoto wawili

    Hizbullah yaapa kujibu mashambulizi ya Israel yaliyoua raia wakiwemo watoto wawili

    Feb 15, 2024 04:19

    Afisa wa ngazi ya juu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amelaani mashambulizi ya hivi karibuni zaidi ya Israel kusini mwa Lebanon yaliyosababisha vifo vya watu kadhaa wakiwemo watoto wawili, ikiapa kwamba majibu ya harakati ya Muqawama ya Lebanon yako njiani.

  • Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi

    Abdollahian aonana na Haniya, asema Wapalestina hawataburuzwa na maajinabi

    Feb 14, 2024 04:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Wapalestina kamwe hawatakubali kuburuzwa na nchi za kigeni na kusisitiza kuwa, hatima ya taifa la Palestina ipo mikononi mwa Wapalestina wenyewe.

  • Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Netanyahu apinga pendekezo la kufikia makubaliano na HAMAS

    Feb 14, 2024 04:04

    Waziri Mkuu wa Israel amepuuzilia mbali pendekezo la mashirika ya kijasusi ya Mossad na Shin Bet ya utawala huo wa Kizayuni juu ya kufikia mapatano ya kubadilishana wafungwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS).

  • Ripota Maalumu wa UN aikosoa Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina

    Ripota Maalumu wa UN aikosoa Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina

    Feb 13, 2024 09:07

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa ameishambulia vikali Israel kwa kumzuia kuingia katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS