Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Nchi 65 zashiriki kongamano la kuiunga mkono Palestina katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq

    Nchi 65 zashiriki kongamano la kuiunga mkono Palestina katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq

    Aug 29, 2023 03:25

    Mkutano wa kimataifa wenye anuani ya Wito wa Al-Aqsa umefanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq, kwa kuhudhuriwa na wajumbe kutoka nchi 65 duniani.

  • Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya

    Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya

    Aug 28, 2023 23:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa shukrani rasmi kwa wananchi wa LIbya kwa hatua yao ya kuonesha msimamo imara wa kulaani hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Libya ya kuonana na waziri wa mambo ya nje wa Israel.

  • OIC yatoa wito wa kulindwa Msikiti wa Al-Aqsa

    OIC yatoa wito wa kulindwa Msikiti wa Al-Aqsa

    Aug 22, 2023 23:06

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kulindwa hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).

  • HAMAS: Operesheni za silaha dhidi ya Israel hazitasimama

    HAMAS: Operesheni za silaha dhidi ya Israel hazitasimama

    Aug 20, 2023 03:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, kambi ya muqawama itaendelea kufanya operesheni zao za kimapambano kwa kutumia silaha dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Aug 09, 2023 22:52

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.

  • Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina mara 900 Julai

    Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina mara 900 Julai

    Aug 06, 2023 04:21

    Kamisheni ya mapambano ya Palestina imesema katika ripoti yake mpya kuwa, vikosi vya utawala haramu wa Israel pamoja na walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina na maeneo yao matakatifu karibu mara 900 mwezi uliopita wa Julai.

  • Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon

    Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon

    Aug 04, 2023 04:27

    Msemaji wa Wiziara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inatoa mwito wa kukomeshwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon.

  • Pango la Simba: Tutafanya operesheni nyingi zaidi dhidi ya Israel

    Pango la Simba: Tutafanya operesheni nyingi zaidi dhidi ya Israel

    Jul 29, 2023 06:43

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Arin al Usud (Pango la Simba) imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba ujiandae kupokea vipigo vikali zaidi kutoka kundi hilo la mapambano.

  • Iran: Israel ikomeshe ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu

    Iran: Israel ikomeshe ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu

    Jul 28, 2023 08:40

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusisitiza kuwa, mgogoro wa Palestina unaweza kupatiwa ufumbuzi tu kupitia kuhitimishwa ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Wapalestina unaofanywa na Wazayuni maghasibu.

  • Ripoti: Israel imeua Wapalestina 200 na kukamata watoto 570, 2023

    Ripoti: Israel imeua Wapalestina 200 na kukamata watoto 570, 2023

    Jul 24, 2023 07:31

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewaua shahidi mamia ya Wapalestina kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu 2023 hadi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS