-
Nchi 65 zashiriki kongamano la kuiunga mkono Palestina katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq
Aug 29, 2023 03:25Mkutano wa kimataifa wenye anuani ya Wito wa Al-Aqsa umefanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq, kwa kuhudhuriwa na wajumbe kutoka nchi 65 duniani.
-
Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya
Aug 28, 2023 23:15Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa shukrani rasmi kwa wananchi wa LIbya kwa hatua yao ya kuonesha msimamo imara wa kulaani hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Libya ya kuonana na waziri wa mambo ya nje wa Israel.
-
OIC yatoa wito wa kulindwa Msikiti wa Al-Aqsa
Aug 22, 2023 23:06Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeisitiza umuhimu wa kulindwa hadhi ya kihistoria na kisheria ya maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo huko al-Quds (Jerusalem).
-
HAMAS: Operesheni za silaha dhidi ya Israel hazitasimama
Aug 20, 2023 03:08Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, kambi ya muqawama itaendelea kufanya operesheni zao za kimapambano kwa kutumia silaha dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Walowezi wa Kizayuni wenye kufurutu ada wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa
Aug 09, 2023 22:52Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu mpaka kwa mara nyingine tena wameuvamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kulivunjia heshima eneo hilo takatifu lenye historia kongwe.
-
Walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina mara 900 Julai
Aug 06, 2023 04:21Kamisheni ya mapambano ya Palestina imesema katika ripoti yake mpya kuwa, vikosi vya utawala haramu wa Israel pamoja na walowezi wa Kizayuni waliwashambulia Wapalestina na maeneo yao matakatifu karibu mara 900 mwezi uliopita wa Julai.
-
Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon
Aug 04, 2023 04:27Msemaji wa Wiziara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inatoa mwito wa kukomeshwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon.
-
Pango la Simba: Tutafanya operesheni nyingi zaidi dhidi ya Israel
Jul 29, 2023 06:43Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Arin al Usud (Pango la Simba) imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba ujiandae kupokea vipigo vikali zaidi kutoka kundi hilo la mapambano.
-
Iran: Israel ikomeshe ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu
Jul 28, 2023 08:40Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusisitiza kuwa, mgogoro wa Palestina unaweza kupatiwa ufumbuzi tu kupitia kuhitimishwa ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Wapalestina unaofanywa na Wazayuni maghasibu.
-
Ripoti: Israel imeua Wapalestina 200 na kukamata watoto 570, 2023
Jul 24, 2023 07:31Vikosi vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewaua shahidi mamia ya Wapalestina kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu 2023 hadi sasa.