Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    HAMAS yafanyia majaribio kombora lake jipya Ukanda wa Gaza

    Jun 27, 2023 04:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imefanyia majaribio kombora lake jipya katika Ukanda wa Gaza.

  • UN yatahadharisha kuhusu mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    UN yatahadharisha kuhusu mashambulizi ya walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Jun 24, 2023 06:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu hali ya isiyodhibitiwa katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya walowezi wa Kiyahudi katika maeneo kadhaa ya Wapalestina.

  • Mashirika: Ni kosa kutoiweka Israel kwenye orodha ya fedheha ya UN

    Mashirika: Ni kosa kutoiweka Israel kwenye orodha ya fedheha ya UN

    Jun 23, 2023 07:32

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosolewa vikali na mashirika ya kutetea haki za binadamu kwa kutoliweke jina la utawala haramu wa Israel kwenye orodha ya tawala wauaji wa watoto.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti Nablus, wachoma moto Qurani

    Walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti Nablus, wachoma moto Qurani

    Jun 23, 2023 06:24

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo mikali ya kufurutu ada wamevamia msikiti mmoja na kuvunjia heshima Qurani Tukufu katika mji wa Nablus, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga

    Jun 22, 2023 06:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Palestina kwamba, jinai za utawala huo dhalimu na uhalifu wake unazidi kuipunguzia uhai Israel katika ramani ya dunia.

  • Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Spika wa Bunge la Tunisia asifu misimamo ya kimapinduzi ya Iran kuhusu suala la Palestina.

    Jun 22, 2023 03:38

    Spika mpya wa Baraza la Wawakilishi la Tunisia ameshukuru na kusifu misimamo chanya na ya kimapinduzi ya Iran kuhusu kadhia ya Palestina na kusisitiza utayarifu wa nchi yake wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 3 kwa droni Ukingo wa Magharibi

    Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 3 kwa droni Ukingo wa Magharibi

    Jun 22, 2023 03:24

    Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendeleza umwagaji damu kwa kuwaua shahidi Wapalestina watatu katika shambulizi la ndege isiyo na rubani (droni) huko kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Wazayuni kadhaa waangamizwa katika shambulizi la kulipiza kisasi

    Wazayuni kadhaa waangamizwa katika shambulizi la kulipiza kisasi

    Jun 21, 2023 08:38

    Makundi ya muqawama ya Palestina yamefanya operesheni ya ulipizaji kisasi na kuwaangamiza Wazayuni wanne na kujeruhi wengine wanne karibu na Ramallah katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Lieberman atoa wito wa kurejeshwa kwa sera ya mauaji ya kigaidi Ukanda wa Gaza

    Lieberman atoa wito wa kurejeshwa kwa sera ya mauaji ya kigaidi Ukanda wa Gaza

    Jun 20, 2023 04:06

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amelitaka jeshi la utawala huo kutekeleza tena sera ya kuwaua kigaidi makamanda wa harakati za mapambano ya ukombozii ya Palestina katika Ukanda wa Gaza na kutekeleza operesheni kubwa za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Wazayuni: Mapigano yalikuwa makali Jenin, tumehisi kama tunakabiliana na Hizbullah ya Lebanon

    Wazayuni: Mapigano yalikuwa makali Jenin, tumehisi kama tunakabiliana na Hizbullah ya Lebanon

    Jun 19, 2023 23:46

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimelazimika kukiri kwamba mapambano yaliyotokea jana Jumatatu kwenye mji wa Jenin huko Palestina yalikuwa tata na ya kipekee kutoka kwa wanamapambano wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS