Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wazayuni wanataka kuwakatisha tamaa vijana wa Palestina

    Wazayuni wanataka kuwakatisha tamaa vijana wa Palestina

    Jun 19, 2023 07:27

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran akizungumza leo Jumatatu mjini Tehran katika kikao na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na ujumbe alioandamana nao wa viongozi wa harakati hiyo amesisitiza kuwa, Wazayuni wanataka kuwakatisha tamaa vijana wa Palestina.

  • Jeshi la Israel laua na kujeruhi makumi ya Wapalestina Jenin

    Jeshi la Israel laua na kujeruhi makumi ya Wapalestina Jenin

    Jun 19, 2023 07:03

    Jeshi la utawala wa Kizayuni Israel limeua na kujeruhi makumi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • "Uporaji wa ardhi wa Israel, sababu kuu ya matatizo ya Wapalestina"

    Jun 17, 2023 07:37

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema kuporwa na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina kunakofanywa na utawala ghasibu wa Israel ndiyo sababu kubwa ya kukumbwa na matatizo jamii ya Wapalestina katika kila sekta.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Adui Mzayuni amechanganyikiwa

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; Adui Mzayuni amechanganyikiwa

    Jun 17, 2023 02:46

    Akizungumza karibuni na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na ujumbe aliofuatana nao, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya sasa ya utawala wa Kizayuni wa Israel inatofautiana sana na ya miaka sabini iliyopita na kusisitiza: Hii leo adui Mzayuni yuko katika hali ya kutojua la kufanya na hali hii inaonyesha kuwa Jihad Islami ya Palestina na makundi mengine ya mapambano yametambua vyema njia ya kufuata na yanasonga mbele kwa busara.

  • Amnesty: Hujuma za Israel dhidi ya Gaza yumkini ni jinai za kivita

    Amnesty: Hujuma za Israel dhidi ya Gaza yumkini ni jinai za kivita

    Jun 15, 2023 03:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema huenda Israel ilifanya jinai za kivita katika mashambulizi ya anga ya utawala huo haramu wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza mwezi uliopita wa Mei.

  • China na Palestina zaafikiana kuanzisha ushirikiano wa kistratajia

    China na Palestina zaafikiana kuanzisha ushirikiano wa kistratajia

    Jun 15, 2023 03:04

    Rais Xi Jinping wa China amekutana na kufanya mazungumzo na Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina mjini Beijing, ambapo wawili hao wameafikiana juu ya kuanzisha ushirikiano wa kistratajia.

  • Arab League yatahadharisha:Jamii ya kimataifa imepuuza kadhia ya Palestina

    Arab League yatahadharisha:Jamii ya kimataifa imepuuza kadhia ya Palestina

    Jun 14, 2023 04:14

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) ametahadharisha kuhusu hatua ya jamii ya kimataifa ya kupuuza suala la Palestina chini ya kivuli cha utawala wa Kizayuni wenye misimamo mikali wa mrengo wa kulia.

  • China: Tutaendelea kuunga mkono kadhia ya Palestina

    China: Tutaendelea kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Jun 12, 2023 01:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa China amesema Beijing itaendelea kuunga mkono mapambano halali ya Wapalestina ya kupigania haki zao za kitaifa, na kusisitiza kwamba kadhia ya Palestina ni katika masuala muhimu ya eneo la Asia Magharibi.

  • Mpango wa mashirika 100 ya Kimarekani wa kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa utawala wa Israel

    Mpango wa mashirika 100 ya Kimarekani wa kukabiliana na ubaguzi wa rangi wa utawala wa Israel

    Jun 09, 2023 22:12

    Mashirika mia moja ya Kimarekani yameanzisha mpango uliopewa jina la "Jamii Zisizo na Ubaguzi wa Rangi" kwa lengo la kusitisha uungaji mkono wa nchi yao kwa utawala wa kibaguzi wa Israel.

  • UN 'yaguswa' na ukatili wa Israel wa kumuua mtoto wa miaka 2

    UN 'yaguswa' na ukatili wa Israel wa kumuua mtoto wa miaka 2

    Jun 06, 2023 02:09

    Umoja wa Mataifa umelaani mauaji ya mtoto mdogo wa Kipalestina yaliyofanywa na vyombo vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS