Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • UN, nchi za Kiarabu zalaani uropokaji wa Waziri wa Fedha wa Israel

    UN, nchi za Kiarabu zalaani uropokaji wa Waziri wa Fedha wa Israel

    Mar 21, 2023 22:49

    Umoja wa Mataifa na ulimwengu wa Kiarabu umelaani matamshi ya kichochezi yaliyotolewa hivi karibuni na Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Palestina.

  • Hizbullah: Mauaji ya makamanda wa muqawama hayatafanikisha njama za Israel

    Hizbullah: Mauaji ya makamanda wa muqawama hayatafanikisha njama za Israel

    Mar 20, 2023 22:59

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali mauaji ya kamanda wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina na kusisitiza kuwa, mauaji ya makamanda wa muqawama kamwe hayatafanikisha njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ombi la OIC la kutaka Palestina ikubaliwe kuwa mwanachama kamili na rasmi wa Umoja wa Mataifa

    Ombi la OIC la kutaka Palestina ikubaliwe kuwa mwanachama kamili na rasmi wa Umoja wa Mataifa

    Mar 20, 2023 06:59

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imetaka yatolewe mashinikizo ili kuhakikisha Palestina inakubaliwa kuwa mwanachama rasmi wa Umoja wa Mataifa.

  • Ijumaa, tarehe 17 Machi, mwaka 2023

    Ijumaa, tarehe 17 Machi, mwaka 2023

    Mar 16, 2023 22:44

    Leo ni Ijumaa tarehe 24 Shaaban 1444 Hijria sawa na tarehe 17 Machi mwaka 2023.

  • Tehran, mwenyeji wa kongamano la kubainisha ubaguzi na jinai za Israel

    Tehran, mwenyeji wa kongamano la kubainisha ubaguzi na jinai za Israel

    Mar 14, 2023 22:54

    Kongamano la kupambana na ubaguzi na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina lilifanyika jana Jumanne hapa Tehran, mji mkuu wa Iran na kuhudhuria na wajumbe wa makundi ya muqawama ya Palestina, maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu na wa nchi kadhaa za Kiarabu.

  • Barghouthi: Hitilafu zinazoizonga Israel zinadhihirisha kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo

    Barghouthi: Hitilafu zinazoizonga Israel zinadhihirisha kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo

    Mar 13, 2023 22:38

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Kitaifa ya Palestina amesisitiza namna hitilafu na migawanyiko inayoikabili Israel sasa inavyodhihirisha kwa walimwengu kiwango cha ufashisti na ubaguzi wa utawala huo ghasibu na kueleza kuwa muqawama wa Palestina unaweza kustafidi na fursa ya mfarakano huu unaoukabili utawala wa Kizayuni.

  • Jumanne, tarehe 14 Machi, 2023

    Jumanne, tarehe 14 Machi, 2023

    Mar 13, 2023 22:36

    Leo ni Jumanne tarehe 21 Shaabani 1444 Hijria sawa na Machi 14 mwaka 2023.

  • Wapalestina wengine 3 wauawa shahidi Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina wengine 3 wauawa shahidi Ukingo wa Magharibi

    Mar 12, 2023 06:18

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameendeleza jinai zao za umwagaji damu kwa kuwaua shahidi Wapalestina watatu katika mji wa Nablus katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Viongozi wa HAMAS: Tuko mstari wa mbele katika mapambano ya Ukingo wa Magharibi na Quds

    Viongozi wa HAMAS: Tuko mstari wa mbele katika mapambano ya Ukingo wa Magharibi na Quds

    Mar 11, 2023 23:09

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imefanya mkusanyiko huko Beit Lahya kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kwa ajili ya kuunga mkono msikiti wa al-Aqswa, mateka wa Kipalestina na muqawama wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • 'Pango la Simba' kulipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Jenin

    'Pango la Simba' kulipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Jenin

    Mar 08, 2023 06:23

    Kundi la Muqawama wa Kiislamu la Arin al Usud (Pango la Simba) limesema litalipiza kisasi cha mauaji ya kikatili ya Wapalestina katika mji wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS