-
UN: Jamii ya Kimataifa ndiyo inayobeba dhima ya 'Apatheid' ya utawala wa Kizayuni
Mar 26, 2022 22:01Umoja wa Mataifa umesema kuwa, kuendelea kuweko mfumo wa ubaguzi wa rangi aina ya Apatheid unaofanywa na utawala wa Kizayuni katika ardhi za Palestina, sababu yake ni udhaifu wa jamii ya kimataifa na jamii hiyo ndiyo iliyopelekea kutokea ubaguzi huo.
-
Wazayuni walaumiwa kwa kupungua idadi ya Wakristo mjini Quds
Mar 25, 2022 21:53Viongozi wa Kikristo wameeleza hofu yao kutokana na kupungua kwa kiwango cha kushtua idadi ya Wakristo katika mji wa Quds (Jerusalem) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Wanaakademia wataka Vyuo Vikuu duniani visimame dhidi ya Israel
Mar 23, 2022 07:17Makumi ya wasomi na wanaakademia wa Uingereza wametoa mwito kwa Vyuo Vikuu na taasisi zote za elimu ya juu kote duniani kusimama kidete mkabala wa kitendo cha utawala ghasibu wa Israel kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
Ripoti ya Chuo Kikuu cha Harvard yalaani uvamizi na uhalifu wa ubaguzi wa rangi wa Israel huko Palestina
Mar 22, 2022 08:23Ripoti ya Kituo cha Haki za Binadamu cha Harvard imeibua hasira miongoni mwa maafisa wa utawala haramu wa Israel na duru zinazoiunga mkono Tel Aviv, baada kulaani uvamizi wa utawala huo huko Palestina ikiutaja kuwa ni "uhalifu wa ubaguzi wa rangi, apartheid."
-
HAMAS na Jihadul-Islami zawatolea mwito Wapalestina wa kushadidisha muqawama
Mar 17, 2022 07:18Viongozi wa harakati za muqawama wa Kiislamu za Palestina za Jihadul-Islami na Hamas wametaka kushadidishwa muqawama dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Jihadul Islami: Israel ni 'mwanaharamu' wa ukoloni wa Magharibi
Mar 12, 2022 22:51Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imeutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kama mwanaharamu wa ubeberu na ukoloni wa nchi za Magharibi.
-
Harakati ya Palestina: Hakuna nchi inayounga mkono ukombozi wa Quds kama Iran
Mar 11, 2022 04:33Harakati ya Mujahideen ya Palestina imesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono kwa dhati suala la kukombolewa kwa mji mtukufu wa Quds, unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.
-
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yaitaka ICC kufuatilia uhalifu wa kivita wa Israel
Mar 11, 2022 01:11Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuendeleza uchunguzi wake kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina.
-
Palestina: Mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuwa vigezo vya mfumo wa kimataifa ni vya kibaguzi
Mar 10, 2022 08:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema, mgogoro wa Ukraine umeonyesha kuwa vipimo na vigezo vinavyotumiwa na mfumo wa kimataifa ni vya kibaguzi na undumakuwili.
-
HAMAS: Israel inacheza na moto kwa kuwakandamiza mateka Wapalestina
Mar 03, 2022 23:12Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetahadharisha kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unacheza na moto kwa kuzidisha mbinyo na ukandamizaji dhidi ya mateka wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika jela na magereza ya utawala huo pandikizi.